Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
kwa hiyo umekuja kutangazia umalaya wako huku.. haya niambie sh ngap K unauza?
 
Malaya na Mzinzi mmekutana, yaani kopo na mfuniko mnavichapisha weeeeee alafu mnarudi kugawiana maradhi kmmk. Namuhurimia sana huyo mtoto/watoto wenye mama wa hovyo kwa zaidi ya kiwango cha dipii wolidi contirakiti...☹️
 
Back
Top Bottom