Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrefu,mwembamba,mweusi,mpole,hofu ya Mungu ohoooo…nilijua hawa watu hawapoduniani.
Aki nakupenda mpka nakupenda tena.
Unakanafasi kako hivi moyoni[emoji3590][emoji3590]
Nakupenda sana na Mungu akutunze kwa ajili yangu..aaawww umejua kuniteka.
View attachment 2653184
mbna hujasema "mm kuwa malaya" kama ulivyomsemea mumeo?
Jiheshim muungwana.Lazima Bandari ziuzwe Tu Kwa staili hii
Haya makabila sijui yamenipa nini🥰🥰🥰🥰🙆♀️🙆♀️🙆♀️Wanaume weusi warefu, watam...hasa wamasai + Wasukuma!
Furahia kikunio kipyaDfn ya Malaya ni ipi? Yeye ni chovya chovya Kila shimo yumo hajui anataka nini
Mm nimepata mahusiano mengine kwasababu yake nimekuwa nae kwenye mahusiano for the 7yrs sijawahi kumsaliti na hata Sasa sijamcheat
🙆🙆🙆🙆Haya makabila sijui yamenipa nini🥰🥰🥰🥰🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mbingu mnayo hakuna vikwazo
yeuyeeeeeee💞💞💞Huyo ni mmasai + tanga
Nini sasa🙆🙆🙆🙆
acha dharau! Hata sasa hujamcheat??Dfn ya Malaya ni ipi? Yeye ni chovya chovya Kila shimo yumo hajui anataka nini
Mm nimepata mahusiano mengine kwasababu yake nimekuwa nae kwenye mahusiano for the 7yrs sijawahi kumsaliti na hata Sasa sijamcheat
Nashukuru sana mama, nimepokea maua kwa niaba, iyo ni trela tu karibu pm iko wazi kwa picha kamili 🙏😘Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Nimemuomba Mungu anifundishe kunyamazaNini sasa
Wanaume warefu weusi wenye sharubu.Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Tunaendelea kuzipokeaWanaume warefu weusi wenye sharubu.
Nawasalim kwa jina la Jamhuri.
😁😁😎Mhhh na ww kabisa mhhh mhhh mhhh mhh.Tunaendelea kuzipokea
Karibu ujionee pm😁😁😎Mhhh na ww kabisa mhhh mhhh mhhh mhh.