Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo hata nyie ni malaya kama akija handsome unamkubali ila akiwa frafroza ndo unagoma.
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.
Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:
1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU
My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.
"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome" by Bebii wa JF
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.
Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:
1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU
My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.
"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome" by Bebii wa JF
tuassume wanaume wote humu ndani ya JF wamekubaliana na wewe.@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.
Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:
1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU
My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.
"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome" by Bebii wa JF
tuassume wanaume wote humu ndani ya JF wamekubaliana na wewe.
Sasa swali ni kua hao malaya wa kiume humalayika na nani kama sio wanawake??
mfano mi juma nakuchapa we leo, kesho mwingine, keshokutwa mwingine halaf leo hii yule nitaemchapa kesho
anachapwa na hamisi, halaf yule nitaemchapa keshokutwa leo nachapwa na bakari, halaf bakari kesho atamchapa
yule anaechapwa na hamisi leo n.k hapa malaya ni wanaume tuu??
Hivi hii kanuni hapo juu unaweza kui-prove vipi??Kanuni ya mahusiano inakwenda hivi: Mwanamke malaya hupata mwanaume malaya na kinyume chake vile vile. Kila unachoona unapata ujue ndo stahili yako kulingana na tabia na mwenendo wako. Hata hao wanawake wenzio wote unaoona wamepata wanaume malaya ujue wamepata kulingana na tabia na mienendo yao. Ikiwa unaona hakuna mwanaume mwaminifu, kwa uhakika kabisa ujue hakuna mwanamke mwaminifu.
Wanaume malaya kwani wanatembea na migomba?? Rudi tena ukafanye utafiti usiopendelea upande wowote! Ushahidi wa kimazingira unaonesha kuwa wanawake malaya na wanaume malaya idadi yao sawa!! Tena kwa kuwa wanawake ndo wengi kidogo kulinganisha na wanaume wanawake malaya ni wengi zaidi kuliko wanaume.
Sana sana tunatofautiana kwa jinsi tunavyojificha na kuamini kuwa hatujulikani. Mwanamke anayeamini kuwa wanaume wote malaya, ujue yeye ni malaya wa kutisha zaidi kwani hao anaoona malaya, si ajabu ni wanaume aliowakubali halafu wakamkimbia baada ya kujua wamechukua nini. Kila unapobadilisha mwanaume kwa nia ya kupata mzuri au mwenye fedha zaidi au asiye malaya; unazidi kuwa malaya wewe, mwishowe unaishia kuwa na roho ya kutu kwani umechafuliwa na umechafuka kweli.
Uaminifu huwezi kuuona tena kwani ndege wanaofanana huruka pamoja! Viruka njia huonana wenyewe tu, halafu huamini kuwa dunia yote ni waot tu!!
UMEKOSEA KABISA,WANAUME HATUKO HIVYO,INGEKUWA TEST NINGEKUPA 0%, BADO UNASAFARI NDEFU YA KUTUJUA,: WANAUME TUNA:yaani wanaume ni wabaya wabaya wabaya
waongo
matapeli
wanafiki
washamba
malaya
mashetani
viruka njia
makupe
;
;
'
evil creatures
tunakaa nao basi tu