Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

Kama hutuogopo huwaheshimu wanaume basi mogope Mungu.

Cheating sio nzuri maana kinachofuatwa ni kilekile-nimeprove.
 
Huyu ana matatizo kama siyo depression. Katika maisha haya ambayo mtu hawezi hata kujua lililopo ndani ya nafsi ya wenzako usijaribu ku-generalize mambo hata siku moja . Sikudanganyi dada yangu yapo ambayo upo sahihi ila MKE AU MME KUWA MALAYA ZIPO SABABU NYINGI SANA ZINACHANGIA NA ZINAANZIA KWENU WAHUSIKA
 
kwa hiyo hata nyie ni malaya kama akija handsome unamkubali ila akiwa frafroza ndo unagoma.

hakuna cha frafoza the matter is money kwa dunia ya sasa hakuna mwanamke atakaemkataa mwanaume mwenye hela atakama atakua mbaya kiasi gani
 
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome"
by Bebii wa JF

so kuwa handsome ndo kuwa malaya!! ,i got two words for u **** YOU!
 
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome"
by Bebii wa JF

kama imepitia tbs vile...ulifanya ka risechi nini? nimeipenda
 
sasa inabidi sisi wanaume tutulie cheki kadada kawatu kamepigwa kibuti hadi akawa chronic akamua kuanzisha thread kama hii, Duh pole sana.
 
duh kuna ka ukweli, ila tusiridhike na hili kabisa
 
Naunga mkono hoja japokuwa hujatoa chanzo cha utafiti wako.Sababu zimejitosheleza
 
@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome"
by Bebii wa JF
tuassume wanaume wote humu ndani ya JF wamekubaliana na wewe.
Sasa swali ni kua hao malaya wa kiume humalayika na nani kama sio wanawake??
mfano mi juma nakuchapa we leo, kesho mwingine, keshokutwa mwingine halaf leo hii yule nitaemchapa kesho
anachapwa na hamisi, halaf yule nitaemchapa keshokutwa leo nachapwa na bakari, halaf bakari kesho atamchapa
yule anaechapwa na hamisi leo n.k hapa malaya ni wanaume tuu??
 
tuassume wanaume wote humu ndani ya JF wamekubaliana na wewe.
Sasa swali ni kua hao malaya wa kiume humalayika na nani kama sio wanawake??
mfano mi juma nakuchapa we leo, kesho mwingine, keshokutwa mwingine halaf leo hii yule nitaemchapa kesho
anachapwa na hamisi, halaf yule nitaemchapa keshokutwa leo nachapwa na bakari, halaf bakari kesho atamchapa
yule anaechapwa na hamisi leo n.k hapa malaya ni wanaume tuu??

Good one!
 
Of coz kuna kaukweli fulani hapa. Kama isingekuwa moral issues basi kwa hakika wanaume karibia wote wangependa kuwa na wanawake hata laki kila mmoja. Kinachotuzuia wengi wetu especially mimi ni moral standards nilizonazo tu. Ni kama vile watu wengi ambao ni wachamungu wenye kufuatilia dini, Sio kwamba wanapenda sana bali ni ile imani yao tu na kama Sir God akiwaambia jamani eeh mko huru fanyeni mtakavyo ninadhani dunia nzima inaweza kujikuta na wachamungu labda wawili tu lol
 
Kanuni ya mahusiano inakwenda hivi: Mwanamke malaya hupata mwanaume malaya na kinyume chake vile vile. Kila unachoona unapata ujue ndo stahili yako kulingana na tabia na mwenendo wako. Hata hao wanawake wenzio wote unaoona wamepata wanaume malaya ujue wamepata kulingana na tabia na mienendo yao. Ikiwa unaona hakuna mwanaume mwaminifu, kwa uhakika kabisa ujue hakuna mwanamke mwaminifu.

Wanaume malaya kwani wanatembea na migomba?? Rudi tena ukafanye utafiti usiopendelea upande wowote! Ushahidi wa kimazingira unaonesha kuwa wanawake malaya na wanaume malaya idadi yao sawa!! Tena kwa kuwa wanawake ndo wengi kidogo kulinganisha na wanaume wanawake malaya ni wengi zaidi kuliko wanaume.

Sana sana tunatofautiana kwa jinsi tunavyojificha na kuamini kuwa hatujulikani. Mwanamke anayeamini kuwa wanaume wote malaya, ujue yeye ni malaya wa kutisha zaidi kwani hao anaoona malaya, si ajabu ni wanaume aliowakubali halafu wakamkimbia baada ya kujua wamechukua nini. Kila unapobadilisha mwanaume kwa nia ya kupata mzuri au mwenye fedha zaidi au asiye malaya; unazidi kuwa malaya wewe, mwishowe unaishia kuwa na roho ya kutu kwani umechafuliwa na umechafuka kweli.

Uaminifu huwezi kuuona tena kwani ndege wanaofanana huruka pamoja! Viruka njia huonana wenyewe tu, halafu huamini kuwa dunia yote ni waot tu!!
Hivi hii kanuni hapo juu unaweza kui-prove vipi??
 
hiii yamoto kwangu ,
ila na nyie wanawake mko wengi sana . kama wanaume tukiwa wachoyo wengine hawatapata haki yao ya kimsingi.
napita jamani
 
wadada wasio na self respect na low self esteem ndio watakubali kuishi na mwanaume ambaye amecheat kisa hawawezi kupata mwanaume ambaye hacheat.....wanaume waaaminifu wapo kiba, akicheat muache ukimpata mwingine akicheat muache mpaka umpate ambaye hacheat believe me wapo.....
 
we vip una nisema mimi au? si utaje kilicho kukuta....coz unayosema kama ukweli hiiv....
 
yaani wanaume ni wabaya wabaya wabaya
waongo
matapeli
wanafiki
washamba
malaya
mashetani
viruka njia
makupe
;
;
'
evil creatures
tunakaa nao basi tu
UMEKOSEA KABISA,WANAUME HATUKO HIVYO,INGEKUWA TEST NINGEKUPA 0%, BADO UNASAFARI NDEFU YA KUTUJUA,: WANAUME TUNA:
1.KANUNI ZETU,
2.TARATIBU ZETU ,
3. ACTIONS NA HISIA ZETU.
4. HATUNA FOMULA MAALUM YA KUMHANDLE MWANAMKE.
Hutakaa utuelewe kwa vile wewe ni mwanamke na umeshaumizwa(pole)
Ukitujia vizuri sisi ni watu wema sana.......... Lakini ukija kiajabu ajabu, ni lazima utasema unayoyasema.
NAELEWA ULIEKUTANA NAE/NAO HADI UKATUTOLEA HUKUMU HII NI KWA VILE HUJAMWELEWA ????? POLE SANA.
5.KUNA KITU UNAKOSEA/MNAKOSEA,NA SI WEWE TU HATA WENYE MAWAZO KAMA YAKO KUNA MAHALI WAMEKOSEA,OTHERWISE SISI NI WATU SAFI. NA WANAWAKE WOTE WANAOJUA NAMNA YA KUTUHANDLE WANAKUBALIANA NAMI.
 
Back
Top Bottom