watakuwa wamemwingiza mjini dada wa watu????sasa inabidi sisi wanaume tutulie cheki kadada kawatu kamepigwa kibuti hadi akawa chronic akamua kuanzisha thread kama hii, duh pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watakuwa wamemwingiza mjini dada wa watu????sasa inabidi sisi wanaume tutulie cheki kadada kawatu kamepigwa kibuti hadi akawa chronic akamua kuanzisha thread kama hii, duh pole sana.
wanaume ni malaya ila hawataki kuambiwa hilo na wanawakeduh kuna ka ukweli, ila tusiridhike na hili kabisa
usinibanie riziki mpaji molawarning kwa anayetaka kuoa mabinti kama hawa bt naweza jua umri wenu?!
mume au mke mwema hupangwa na Mungu
live ur full life at JF umewaambia ukweliBiologically mwanaume ni sawa na wanyama wengine tu. Yaani kuwa na wanawake wengi, kuzaa sana kwa kipindi kifupi.......wenzetu bado wanaendelea kuwa na wanawake wengi lakini sisi binadamu tumejitahidi kuwa na mwanamke mmoja.
......Ndani ya dakika 15 mwanamme anaweza aka....
........Kwa hiyo kutoka nje kwa mwanamme hiyo ni hulka yetu jamani.....
Niongezee katika hizo facts ulizoweka....ustaarabu tuliojiwekea binadam wa kumiliki mwanamke mmoja, unakinzana na asili yetu, sasa kwa kuwa huwezi kuikwepa asili yake, ndio hivyo wanaume tunafanya kwa kificho pale inabidi ili kujaribu kumaintain vyote kwa pamoja ''ustaarabu na asili''
.
wanajifanya wema ila hao hao ndio kila siku wanafumaniwaNimejitahidi kufuatilia thread hii mchango kwa mchango, lakini nimesikitishwa na baadhi ya wadau (wake kwa waume) kumshukia Marytina kama mwewe ashukiavyo kifaranga. Bahati mbaya wengine mmemshambulia kibinafsi badala ya kushambulia hoja.
Nawaomba wadau muichukulia thread ya Marytina kama changamoto, wanandoa tuombeane na kusaidiana. Naamini wanawake wana mchango mkubwa sana kwenye kulinda na kustawisha ndoa, lakini nawasihi wanaume acheni ujinga wa kutafuta visingizio vya kutoka nje ya ndoa.
yaan AD ungejua navyokupenda .........Marytina
Ulipotelea wapi mamito
Karibu tena..
Kuhusu hii thread yako hako ka
Statement cha mwisho kwenye thread
Hiyo iliyoandikwa na bebii..
Kana ka ukweli ndani yake..
wanajifanya wema ila hao hao ndio kila siku wanafumaniwa
thanks umenipooza
kinekhe ngosha
kwani tuliachana au kuna mdada alitaka kunipora