Wanaume Wote Tungekuwa SIGMA Ingependeza.

Wanaume Wote Tungekuwa SIGMA Ingependeza.

Sisa Og

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
201
Reaction score
504
Natuamaini hamjambo wana JF?

Niende kwenye mada sasa.

SIGMA MALE NI NINI?
Hawa ni wanaume Tiger. Wanafananishwa na Tiger sababu ya sifa zao kama: kujitegemea (hawana vizinga), hawana maneno mengi (sio wakimya ila ukipiga nao stori sahau habari za umbea, mitandao au udaku), mysterious sana. Utakaa na sigma zaidi ya mwaka na usije kujua mahusiano yake. Lakini pia hawa jamaa unaweza wachukulia washamba maana hawafuati fashion, mitandao na sio rahisi kumkuta Sigma social media akipost matukio.

Suala la muhusiano kwao sio kesi, na wanaongoza kwa kuignore wanawake. Wana taratibu zao ambazo ukizikwepa wanakukimbia bila byebye wala kuzozana. Wako alone muda mwingi, wanawake wanaopenda kuruka viwanja na maboy zenu, vizinga msijichanganye kwa haya madume. Atakusoma mapema na hatokwambia utashangaa hakupi attention tena na hana muda wa kubembeleza ukijinunisha. Sigma ana treat watu equally hata uwe mama au dem. Usitegemee kumkomoa sigma hizo njama pelekeni kwa sisi nice man wazee wa kulialia. Hawana muda na pisi kali. Hata ujirembe vipi kwa Sigma unaonekana wa kawaida ndo maana madem wengi ndo hujileta kwa Sigma na wengi huondoka wenyewe.

Sigma male ni wachache sana. Unaweza usije kukutana nao ndo maana wanasema Sigma ni nadharia Lakini SIGMA wapo na nimekutana nao wawili maishani mwangu. Ntajaribu kuwaelezea.

*Sigma wa kwanza kukutana nae alikuwa mwalimu. Jamaa alikuwa confident sana, hachekicheki. Wote mnaweza angua kicheko yeye akaishia kutabasamu. Jamaa alikuwa anapenda michezo na alikuwa anapenda mpira ila afungwe hasifungwe mood yake ni ileile. Alikuwa akishika zamu anawapa sheria zake. Ukizifuata umepona ukizingua adhabu yake kama alivypsema. Jamaa alikuwa anaheshimika shule nzima. Ukikutana naye kwenye msala usiongee uongo. Alikuwa good listener anakuacha unaongea anakuchapa swali moja tu unatubu mwenyewe. Jamaa alikuwa hatumii hisia. Kuna siku niliomba bimkubwa aniombee ruhusa kwake kwamba naumwa niende hospital hivyo niende home. Nilifanya hivyo maana home kulikua na harusi. Jamaa baada ya kuongea na bimkubwa aliniita na kuniambie nisirudie kumshirikisha bimkubwa kwenye dhambi ya uwongo. Alinipa ruhusa japo aliniambia kuwa anajua siendi hospital na hakutaka kujua.

*Sigma mwingine nilikutana naye chuo. Nimeenda hostel nakutana na huyu jamaa.
Jamaa alikuwa analala saa nne anaamka saa kumi na moja. Nikaja kugundua jamaa alikuwa anakula saa moja anaasoma kuanzia saa moja na nusu mpaka saa tatu na nusu. Jamaa alikuwa hana marafiki. Simi yake ikiita jua kuna disucussion au bimkubwa wake. Alikuwa na principles zake tofauti na sisi. Mfano: akitaka kufua alikuwa anachagua siku moja anafua usiku wa manane.
Kuna dada mmoja alikuwa anamshobokea sana japo jamaa hakuwa interested. Nilisikia siku moja anamwambia hasiwe anapiga simu ikishafika saa nne usiku. Nilimuuliza why anamkatisha tamaa dada watu? Jamaa aliniambia usiruhusu mtu abadilishe mipaka yako. Nilikuja kugundua mwishoni kabisa jamaa alikwa content writer kwenye website fulani na alikuwa freelancer. Jamaa alikuwa na ukaidi fulani, kuna siku walinzi walikuwa wanapitisha msako kila chumba akaniambia nisifungue mlango. Jamaa wakaja akawambia hafungui mlango labda wasubiri saa 11. Jamaa walitishia lakini mwamba hakuzidi kubishana nao mwishowe kesho yake tukapelekwa kwa warden lakini tulishinda kesi ndani ya dakika.

SIGMA Male ni true definition of a man
 
Natuamaini hamjambo wana JF?

Niende kwenye mada sasa.

SIGMA MALE NI NINI?
Hawa ni wanaume Tiger. Wanafananishwa na Tiger sababu ya sifa zao kama: kujitegemea (hawana vizinga), hawana maneno mengi (sio wakimya ila ukipiga nao stori sahau habari za umbea, mitandao au udaku), mysterious sana. Utakaa na sigma zaidi ya mwaka na usije kujua mahusiano yake. Lakini pia hawa jamaa unaweza wachukulia washamba maana hawafuati fashion, mitandao na sio rahisi kumkuta Sigma social media akipost matukio.

Suala la muhusiano kwao sio kesi, na wanaongoza kwa kuignore wanawake. Wana taratibu zao ambazo ukizikwepa wanakukimbia bila byebye wala kuzozana. Wako alone muda mwingi, wanawake wanaopenda kuruka viwanja na maboy zenu, vizinga msijichanganye kwa haya madume. Atakusoma mapema na hatokwambia utashangaa hakupi attention tena na hana muda wa kubembeleza ukijinunisha. Sigma ana treat watu equally hata uwe mama au dem. Usitegemee kumkomoa sigma hizo njama pelekeni kwa sisi nice man wazee wa kulialia. Hawana muda na pisi kali. Hata ujirembe vipi kwa Sigma unaonekana wa kawaida ndo maana madem wengi ndo hujileta kwa Sigma na wengi huondoka wenyewe.

Sigma male ni wachache sana. Unaweza usije kukutana nao ndo maana wanasema Sigma ni nadharia Lakini SIGMA wapo na nimekutana nao wawili maishani mwangu. Ntajaribu kuwaelezea.

*Sigma wa kwanza kukutana nae alikuwa mwalimu. Jamaa alikuwa confident sana, hachekicheki. Wote mnaweza angua kicheko yeye akaishia kutabasamu. Jamaa alikuwa anapenda michezo na alikuwa anapenda mpira ila afungwe hasifungwe mood yake ni ileile. Alikuwa akishika zamu anawapa sheria zake. Ukizifuata umepona ukizingua adhabu yake kama alivypsema. Jamaa alikuwa anaheshimika shule nzima. Ukikutana naye kwenye msala usiongee uongo. Alikuwa good listener anakuacha unaongea anakuchapa swali moja tu unatubu mwenyewe. Jamaa alikuwa hatumii hisia. Kuna siku niliomba bimkubwa aniombee ruhusa kwake kwamba naumwa niende hospital hivyo niende home. Nilifanya hivyo maana home kulikua na harusi. Jamaa baada ya kuongea na bimkubwa aliniita na kuniambie nisirudie kumshirikisha bimkubwa kwenye dhambi ya uwongo. Alinipa ruhusa japo aliniambia kuwa anajua siendi hospital na hakutaka kujua.

*Sigma mwingine nilikutana naye chuo. Nimeenda hostel nakutana na huyu jamaa.
Jamaa alikuwa analala saa nne anaamka saa kumi na moja. Nikaja kugundua jamaa alikuwa anakula saa moja anaasoma kuanzia saa moja na nusu mpaka saa tatu na nusu. Jamaa alikuwa hana marafiki. Simi yake ikiita jua kuna disucussion au bimkubwa wake. Alikuwa na principles zake tofauti na sisi. Mfano: akitaka kufua alikuwa anachagua siku moja anafua usiku wa manane.
Kuna dada mmoja alikuwa anamshobokea sana japo jamaa hakuwa interested. Nilisikia siku moja anamwambia hasiwe anapiga simu ikishafika saa nne usiku. Nilimuuliza why anamkatisha tamaa dada watu? Jamaa aliniambia usiruhusu mtu abadilishe mipaka yako. Nilikuja kugundua mwishoni kabisa jamaa alikwa content writer kwenye website fulani na alikuwa freelancer. Jamaa alikuwa na ukaidi fulani, kuna siku walinzi walikuwa wanapitisha msako kila chumba akaniambia nisifungue mlango. Jamaa wakaja akawambia hafungui mlango labda wasubiri saa 11. Jamaa walitishia lakini mwamba hakuzidi kubishana nao mwishowe kesho yake tukapelekwa kwa warden lakini tulishinda kesi ndani ya dakika.

SIGMA Male ni true definition of a man
What about alpha male i think it’s real definition of a man
 
Haya majina sijui Sigma, sijui Alpha au wale nyota sijawahi kutaka kujua, utapeli tu
Ninachojua Im a king on my own kingdom.
 
Natuamaini hamjambo wana JF?

Niende kwenye mada sasa.

SIGMA MALE NI NINI?
Hawa ni wanaume Tiger. Wanafananishwa na Tiger sababu ya sifa zao kama: kujitegemea (hawana vizinga), hawana maneno mengi (sio wakimya ila ukipiga nao stori sahau habari za umbea, mitandao au udaku), mysterious sana. Utakaa na sigma zaidi ya mwaka na usije kujua mahusiano yake. Lakini pia hawa jamaa unaweza wachukulia washamba maana hawafuati fashion, mitandao na sio rahisi kumkuta Sigma social media akipost matukio.

Suala la muhusiano kwao sio kesi, na wanaongoza kwa kuignore wanawake. Wana taratibu zao ambazo ukizikwepa wanakukimbia bila byebye wala kuzozana. Wako alone muda mwingi, wanawake wanaopenda kuruka viwanja na maboy zenu, vizinga msijichanganye kwa haya madume. Atakusoma mapema na hatokwambia utashangaa hakupi attention tena na hana muda wa kubembeleza ukijinunisha. Sigma ana treat watu equally hata uwe mama au dem. Usitegemee kumkomoa sigma hizo njama pelekeni kwa sisi nice man wazee wa kulialia. Hawana muda na pisi kali. Hata ujirembe vipi kwa Sigma unaonekana wa kawaida ndo maana madem wengi ndo hujileta kwa Sigma na wengi huondoka wenyewe.

Sigma male ni wachache sana. Unaweza usije kukutana nao ndo maana wanasema Sigma ni nadharia Lakini SIGMA wapo na nimekutana nao wawili maishani mwangu. Ntajaribu kuwaelezea.

*Sigma wa kwanza kukutana nae alikuwa mwalimu. Jamaa alikuwa confident sana, hachekicheki. Wote mnaweza angua kicheko yeye akaishia kutabasamu. Jamaa alikuwa anapenda michezo na alikuwa anapenda mpira ila afungwe hasifungwe mood yake ni ileile. Alikuwa akishika zamu anawapa sheria zake. Ukizifuata umepona ukizingua adhabu yake kama alivypsema. Jamaa alikuwa anaheshimika shule nzima. Ukikutana naye kwenye msala usiongee uongo. Alikuwa good listener anakuacha unaongea anakuchapa swali moja tu unatubu mwenyewe. Jamaa alikuwa hatumii hisia. Kuna siku niliomba bimkubwa aniombee ruhusa kwake kwamba naumwa niende hospital hivyo niende home. Nilifanya hivyo maana home kulikua na harusi. Jamaa baada ya kuongea na bimkubwa aliniita na kuniambie nisirudie kumshirikisha bimkubwa kwenye dhambi ya uwongo. Alinipa ruhusa japo aliniambia kuwa anajua siendi hospital na hakutaka kujua.

*Sigma mwingine nilikutana naye chuo. Nimeenda hostel nakutana na huyu jamaa.
Jamaa alikuwa analala saa nne anaamka saa kumi na moja. Nikaja kugundua jamaa alikuwa anakula saa moja anaasoma kuanzia saa moja na nusu mpaka saa tatu na nusu. Jamaa alikuwa hana marafiki. Simi yake ikiita jua kuna disucussion au bimkubwa wake. Alikuwa na principles zake tofauti na sisi. Mfano: akitaka kufua alikuwa anachagua siku moja anafua usiku wa manane.
Kuna dada mmoja alikuwa anamshobokea sana japo jamaa hakuwa interested. Nilisikia siku moja anamwambia hasiwe anapiga simu ikishafika saa nne usiku. Nilimuuliza why anamkatisha tamaa dada watu? Jamaa aliniambia usiruhusu mtu abadilishe mipaka yako. Nilikuja kugundua mwishoni kabisa jamaa alikwa content writer kwenye website fulani na alikuwa freelancer. Jamaa alikuwa na ukaidi fulani, kuna siku walinzi walikuwa wanapitisha msako kila chumba akaniambia nisifungue mlango. Jamaa wakaja akawambia hafungui mlango labda wasubiri saa 11. Jamaa walitishia lakini mwamba hakuzidi kubishana nao mwishowe kesho yake tukapelekwa kwa warden lakini tulishinda kesi ndani ya dakika.

SIGMA Male ni true definition of a man
Nishawahi kukutana na jamaa kama huyu, jamaa yuko smart sana na anajuwa vitu cingi lakini kiukweli sikuwahi kubahatika kumjuwa demu wake na nilimshuku sana kwa maisha yake ya kuwa singo japo ana uwezo. Kufunga macho na kufungua tukaja gundua kuwa jamaa alikuwa na mahusiano na mwanamme mwenzie (Kama Diamond na P. Diddy), yaani jamaa ndiye aliyekuwa anapakwa 'Baby Oil,' kabla ya kushikishwa ukuta. Baada ya kuğunda hili, nikakata mawasiliano naye mpaka leo sina habari zake tena.
 
Natuamaini hamjambo wana JF?

Niende kwenye mada sasa.

SIGMA MALE NI NINI?
Hawa ni wanaume Tiger. Wanafananishwa na Tiger sababu ya sifa zao kama: kujitegemea (hawana vizinga), hawana maneno mengi (sio wakimya ila ukipiga nao stori sahau habari za umbea, mitandao au udaku), mysterious sana. Utakaa na sigma zaidi ya mwaka na usije kujua mahusiano yake. Lakini pia hawa jamaa unaweza wachukulia washamba maana hawafuati fashion, mitandao na sio rahisi kumkuta Sigma social media akipost matukio.

Suala la muhusiano kwao sio kesi, na wanaongoza kwa kuignore wanawake. Wana taratibu zao ambazo ukizikwepa wanakukimbia bila byebye wala kuzozana. Wako alone muda mwingi, wanawake wanaopenda kuruka viwanja na maboy zenu, vizinga msijichanganye kwa haya madume. Atakusoma mapema na hatokwambia utashangaa hakupi attention tena na hana muda wa kubembeleza ukijinunisha. Sigma ana treat watu equally hata uwe mama au dem. Usitegemee kumkomoa sigma hizo njama pelekeni kwa sisi nice man wazee wa kulialia. Hawana muda na pisi kali. Hata ujirembe vipi kwa Sigma unaonekana wa kawaida ndo maana madem wengi ndo hujileta kwa Sigma na wengi huondoka wenyewe.

Sigma male ni wachache sana. Unaweza usije kukutana nao ndo maana wanasema Sigma ni nadharia Lakini SIGMA wapo na nimekutana nao wawili maishani mwangu. Ntajaribu kuwaelezea.

*Sigma wa kwanza kukutana nae alikuwa mwalimu. Jamaa alikuwa confident sana, hachekicheki. Wote mnaweza angua kicheko yeye akaishia kutabasamu. Jamaa alikuwa anapenda michezo na alikuwa anapenda mpira ila afungwe hasifungwe mood yake ni ileile. Alikuwa akishika zamu anawapa sheria zake. Ukizifuata umepona ukizingua adhabu yake kama alivypsema. Jamaa alikuwa anaheshimika shule nzima. Ukikutana naye kwenye msala usiongee uongo. Alikuwa good listener anakuacha unaongea anakuchapa swali moja tu unatubu mwenyewe. Jamaa alikuwa hatumii hisia. Kuna siku niliomba bimkubwa aniombee ruhusa kwake kwamba naumwa niende hospital hivyo niende home. Nilifanya hivyo maana home kulikua na harusi. Jamaa baada ya kuongea na bimkubwa aliniita na kuniambie nisirudie kumshirikisha bimkubwa kwenye dhambi ya uwongo. Alinipa ruhusa japo aliniambia kuwa anajua siendi hospital na hakutaka kujua.

*Sigma mwingine nilikutana naye chuo. Nimeenda hostel nakutana na huyu jamaa.
Jamaa alikuwa analala saa nne anaamka saa kumi na moja. Nikaja kugundua jamaa alikuwa anakula saa moja anaasoma kuanzia saa moja na nusu mpaka saa tatu na nusu. Jamaa alikuwa hana marafiki. Simi yake ikiita jua kuna disucussion au bimkubwa wake. Alikuwa na principles zake tofauti na sisi. Mfano: akitaka kufua alikuwa anachagua siku moja anafua usiku wa manane.
Kuna dada mmoja alikuwa anamshobokea sana japo jamaa hakuwa interested. Nilisikia siku moja anamwambia hasiwe anapiga simu ikishafika saa nne usiku. Nilimuuliza why anamkatisha tamaa dada watu? Jamaa aliniambia usiruhusu mtu abadilishe mipaka yako. Nilikuja kugundua mwishoni kabisa jamaa alikwa content writer kwenye website fulani na alikuwa freelancer. Jamaa alikuwa na ukaidi fulani, kuna siku walinzi walikuwa wanapitisha msako kila chumba akaniambia nisifungue mlango. Jamaa wakaja akawambia hafungui mlango labda wasubiri saa 11. Jamaa walitishia lakini mwamba hakuzidi kubishana nao mwishowe kesho yake tukapelekwa kwa warden lakini tulishinda kesi ndani ya dakika.

SIGMA Male ni true definition of a man
Kweli kabisa....ngumu sana kueleweka..utulivu wetu wengine hasa wanawake wanautafsiri kuwa ni ulofa..kosa kubwa sana.
 
Nishawahi kukutana na jamaa kama huyu, jamaa yuko smart sana na anajuwa vitu cingi lakini kiukweli sikuwahi kubahatika kumjuwa demu wake na nilimshuku sana kwa maisha yake ya kuwa singo japo ana uwezo. Kufunga macho na kufungua tukaja gundua kuwa jamaa alikuwa na mahusiano na mwanamme mwenzie (Kama Diamond na P. Diddy), yaani jamaa ndiye aliyekuwa anapakwa 'Baby Oil,' kabla ya kushikishwa ukuta. Baada ya kuğunda hili, nikakata mawasiliano naye mpaka leo sina habari zake tena.
😂
 
Hv anayetunga hayo majina ni nani, atakuwa janja janja sana kuwadanganya wenzake 😂
 
Kuna sisi mademu wala hatuwazukii asee anikatae afanyaje wala sio shida yangu. shida yangu nikifika sehemu baada ya dk chache tu nimeshajuana na watu kama wote kuna jamaa amewa nambia wewe ni sangwini sijui kama nimepatia spelling zake wala sikujari ana manisha nini.

Demu awe mzuri ama mbaya atajua mwenyewe ataliwa na kuacha akileta zake muda mwingine hata bila sababu atalaani kwa laana zote wala haikusitui kabisa
 
Kuna sisi mademu wala hatuwazukii asee anikatae afanyaje wala sio shida yangu. shida yangu nikifika sehemu baada ya dk chache tu nimeshajuana na watu kama wote kuna jamaa amewa nambia wewe ni sangwini sijui kama nimepatia spelling zake wala sikujari ana manisha nini.

Demu awe mzuri ama mbaya atajua mwenyewe ataliwa na kuacha akileta zake muda mwingine hata bila sababu atalaani kwa laana zote wala haikusitui kabisa
Sanguine. Hii character kwa mwanaume ni nzuri pia. Ni watu hupenda kujumuika na watu muda mwingi. Hupenda kuanzisha mazungumzo sehem aliko Sanguine hapapoi 😂. Japo huwa na mambo mengi kwa wakati mmoja. Sanguine akikwambia nisubiri anaweza hasirudi au akasahau kabisa.

Wdada kuanzia 16 - 30 wengi washachakazwa na Sanguine. Maana wana swaga sana na wako funny. Kwakuwa wadada hupenda waaume wenye kujiamini hivyo hufeel secure kuwa nao. Na wanajua kudanganya sana. In short jamaa wana idea kali muda wote japo kwenye action zero ndo maana wengi huishia kuajiriwa hasa kwenye secta za burudani maana wanajua kuunda idea mpya za kuleta watu. Wasanii wengi wa kuchekesha, wanasiasa na machawa wapo huku.

NB
ukijijua we ni Sanguine, jitahidi uwe na maarifa ili ukiwa unaongea watu wanapata madini. La sivyo utaishia kuwa na maadui wengi na utakuwa cheap - watu watakutumia kukuenjoy au kukuza mambo yao.
 
Sisi ambao hatuwezi kukaa ndani bila kwenda kijiweni kukusanya Kijiji ili niwape habari za JF ndiyo tunaitwaje kwa kingereza ?
 
We jamaa umemuelezea Mr angu kabisa na ndio kitu kilinivutia. Sina waswas nae mwaka wa 10 huu hajawah kubadilika hana muda na chochote ana mind maisha yake.

Ni mpenzi wa mpira sana ila huwez kumuona hata siku moja anapelekeshwa na matokeo ya timu zake iwe imefunga au imefungwa.

Ana wa treat watu wote kwa staha na usawa haijalish ndugu yake au maskin/Tajiri.

Hapost wala kuangalia status, instagram ana wafollow wacheza mpira na wanamuzik wachache.

Mara ya kwanza kua nae karibu nilimuomba msaada wa jambo baada ya hapo tukawa tunaongea ila hakuniomba namba kwa muda mrefu na nilimuonesha kumuelewa. Baada ya kua na mahusiano ndio mpaka leo hajawah nibadilikia wala kuhangaika na wanawake wengine. Nampenda my man najskia salama kua nae.
 
Kuna sisi mademu wala hatuwazukii asee anikatae afanyaje wala sio shida yangu. shida yangu nikifika sehemu baada ya dk chache tu nimeshajuana na watu kama wote kuna jamaa amewa nambia wewe ni sangwini sijui kama nimepatia spelling zake wala sikujari ana manisha nini.

Demu awe mzuri ama mbaya atajua mwenyewe ataliwa na kuacha akileta zake muda mwingine hata bila sababu atalaani kwa laana zote wala haikusitui kabisa
Hard to please...
 
Back
Top Bottom