Wanaume: You have to grow up


Ungekuwa naye huyo anaejitambua usingehangaika kuandika lijigazeti hapo juu... ungeacha waseme waliokutwa nayo!!!
you sound like mapenzi kwako sio kitu, unaangalia hela kwanza
 

What maters ujumbe mmeupata, hayo mengine walaa hayana msingi kihivyo.
 
Huhuhuuuuuuu jiwe hilooooo, haya jiteteeni wahusika ila ujumbe mmeupata.
 
Ungekuwa naye huyo anaejitambua usingehangaika kuandika lijigazeti hapo juu... ungeacha waseme waliokutwa nayo!!!
you sound like mapenzi kwako sio kitu, unaangalia hela kwanza

Bwana Junior. Cux hebu acha basi kwani lazima yanatoletwa humu yawe ni yale yaliyowagusa wahusika tu? Hata likimkuta jirani yako kama linafaa kushare si unashare tu? Hili ni tatizo na linakua kwa kasi sana kama ukosefu wa nguvu za kiume ujue! Sema tu watu nanaliignore.
 
Last edited by a moderator:
Wewe utakuwa na babu kwa pesa zake,halafu pembeni una ka mariooo umekipenda halafu kanakupiga mizinga balaa.Hela zote anazokupa babu mariooo anabeba unakuja kulia lia jf.nyambaaaf
 
Ungekuwa naye huyo anaejitambua usingehangaika kuandika lijigazeti hapo juu... ungeacha waseme waliokutwa nayo!!!
you sound like mapenzi kwako sio kitu, unaangalia hela kwanza

Mapenzi na pesa ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana, huo ndio ukweli mchungu hata kama huutaki. Yawezekana nishapitia hali hiyo thats why nimeliongelea ila pia ni ukweli usopingika kuwa hili jambo lipo kwa kiasi kikubwa mnoooo, ila am happy mume wangu yuko njema so nawaonea huruma wadogo zangu wanaohangaika na wanaume suruali wasiojitambua hata nini wanataka maishani.
 

tatizo lako umezoea kutembea na vijana wa shule za msingi, tafuta saizi yako shenzi.
 
Wewe utakuwa na babu kwa pesa zake,halafu pembeni una ka mariooo umekipenda halafu kanakupiga mizinga balaa.Hela zote anazokupa babu mariooo anabeba unakuja kulia lia jf.nyambaaaf

Teh teh teh! Vipi wivu umekushika?? Ukweli lazima usemwe hata kama mchungu kiasi gani, unaruhusiwa kufikiria hivyo pia sikulaumu as ndipo upeo wako ulipoishia.
 
Mmh hivi hata kina Halima Mdee,Joyce Kiria,Esther Bulaya hua wana hivi vimaneno au ni nyie mnaopenda kitonga tu
 

hahha angelileta vizuri sasa.. kuanza kuzunguka mbuyu mara watu wavivu, mara tunamapepo kumbe tatizo ni hela!!!
hili sio tatizo kama mnavotaka kulikuza, mbona rahisi tu ukiona mwanaume hana kipato unachokitaka wewe si unaondoka tu.. na yeye atatafuta mwanamke mwingine wa level zake atakaeweza kumhudumia

Tatizo mnataka kuishi kwa kucopy.. unakuta mtu yupo level za kawaida kabisa ila kwa vile kamiliki smartphone na marafik flani wa kishua atataka na ye date zake ziwe hyatt regency au double tree
 

Tatizo sio pesa... issue ni kiasi cha pesa unachokitaka!!! sa zingine hata ulipotoka ulikua huna access ya kiasi hicho cha fedha

muda mwingine ni vizuri mkajifunza kuvumilia... it may help you sometimes!!! Mwanaume ulietoka nae mbali atakuthamini kwa mengi kuliko umkute mtu kishajijenga na channel zote za hela... utafanywa mtumwa
 

Unaposema "wa kawaida" unaongelea nini haswa? Huo ukawaida wake ni wa nini? Hapa mnajaribu tu kupindisha mada iwe vile mnavyotaka ila kaongelea kitu cha msingi mnoo basi tu kwavile ni jambo ambalo wengi humu huwa hampendi kuambiwa, huo ujumbe wako hapo chini nanyi mngeuzingatia aisee walaaa msingekuwa mnasumbua humu na nyuzi zenu zileeeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…