Wanaume: You have to grow up

Wanaume: You have to grow up

nyakoo

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
255
Reaction score
322
Habari wana jf, poleni kwa shughuli za ujenzi wa taifa.

Huku mkiendelea kupokea matokeo ya uchaguzi, naomba niongelee jambo moja la msingi ambalo nimekuwa nkilishuhudia katika jamii zetu na hata humu jf ni very common.Wanaume mmekuwa kama mmepatwa sijui na pepo gani! Yaani ni kama nanyi mnataka kuolewa, mmekuwa watu wa kulalamika tuuuuuuu, kazi hamtaki na hata wenye kazi akili zimekuwa mgando anategemea mshahara mdogooo hata hajitanui kimawazo kusaka hela zaidi, au kazi yenyewe anafanya kivivuuuu muda mwingi yupo kwenye mitandao ya kijamii kujibizana na kutukanana na watu asiowafahamu na wivu usio na mpango kwa waliomzidi kipato.

Imefikia hatua mwanaume anamuonea wivu binti mdogo aliyeolewa na mwanaume (wa makamo) mwenye pesa, utakuta wamekaa wakimjadili binti na hata kumtukana na kuwachanganya wanawake woote kuwa wanapenda pesa (who doesnt), badala wakae wajiulize ni kwa namna gani huyo mwanaume mwenzao amefanikiwa kiasi hicho nao wajitahidi wamfikie au hata kumpita wamekalia majungu tuuuuuuu!! Utasikia mara free manson,mara pesa za madawa (maneno ya wakosaji).

Ni kweli kwamba maisha magumu and so on, ila isiwe excuse ya kuwafanya muwe marioo bila kujijua, wanaume wengi ni marios ila hawajijui tu, sasa si bora mijitanabaishe tuolewe wote tu na sio kuwa walalamishi that much, ni aibu sana tena sana kwakweli.Msije kujifanya hapa sijui wanawake tunapenda mteremko ndio maana tukaitwa wanawake nanyi wanaume, sisi ni jukumu lenu, sasa mambo yamebadilika siku hizi nasi tunafanya kazi ili tusaidieane ila sasa isiwe ndio chance ya nyie kubweteka na kuwa marioo, mwanaume lazima uwe "MWANAUME" hii itakupa heshima bila hataaa kutumia nguvu kuidai.

You have to man up na mchukue nafasi zenu kama wanaume, kulalamika hakutokufanya uwe Bakhressa au Mengi, wivu pekee unaotakiwa kuwa nao ni wa kupiga hatua na sio kumuonea wivu K'lyn kwa kuolewa na Mengi (vipi wataka kuwa mke mwenzie?)

Nawasilisha, likikugusa waruhusiwa kutukana si ndicho mkijuacho zaidi.
 
Imefikia hatua mwanaume anamuonea wivu binti mdogo aliyeolewa na mwanaume (wa makamo) mwenye pesa, utakuta wamekaa wakimjadili binti na hata kumtukana na kuwachanganya wanawake woote kuwa wanapenda pesa (who doesnt), badala wakae wajiulize ni kwa namna gani huyo mwanaume mwenzao amefanikiwa kiasi hicho nao wajitahidi wamfikie au hata kumpita wamekalia majungu tuuuuuuu!! Utasikia mara free manson,mara pesa za madawa (maneno ya wakosaji).

Msije kujifanya hapa sijui wanawake tunapenda mteremko ndio maana tukaitwa wanawake nanyi wanaume, sisi ni jukumu lenu, sasa mambo yamebadilika siku hizi nasi tunafanya kazi ili tusaidieane ila sasa isiwe ndio chance ya nyie kubweteka na kuwa marioo, mwanaume lazima uwe "MWANAUME" hii itakupa heshima bila hataaa kutumia nguvu kuidai.

Umeandika meengi ila wenye akili tushakusoma.

Hongera sana kwa kupata kibabu cha kukulea.............

Puuza maneo ya mtaani furahia dubwasha lako jipya..

Naelekea jukwaa la siasa kidogo kutibua kichwa kidogo, nitarudi

Hongera sana
 
Dada nani kakuudhi hivyo? Unaonaje ukimwita pembeni ukampa shule uone kama atakubishia? Una hoja nzuri ila kwakuwa unahasira umetukana bila hata kujua unatukana.
Wewe kama umeolewa na above 50 wako tulia nae na usijali maneno yao kwani hayo ni maisha yako. Binadamu daima watakuwa na la kusema. Na usiwalaume kwa kukulaumu kwani huenda walikupenda kweli ila ndoo hivyo bado wadogo hawajapata mkwanja. Wafanyeje?
 
Pale matumizi yako yanapozidi kipato cha familia maneno kama haya hayakwepeki!!!
we unafanya nini kumsaidia mwanaume wa aina hiyo au ndo kuja kumsema huku aendelee kuwa discouraged..
Habari wana jf, poleni kwa shughuli za ujenzi wa taifa.
Huku mkiendelea kupokea matokeo ya uchaguzi, naomba niongelee jambo moja la msingi ambalo nimekuwa nkilishuhudia katika jamii zetu na hata humu jf ni very common.

Wanaume mmekuwa kama mmepatwa sijui na pepo gani! Yaani ni kama nanyi mnataka kuolewa, mmekuwa watu wa kulalamika tuuuuuuu, kazi hamtaki na hata wenye kazi akili zimekuwa mgando anategemea mshahara mdogooo hata hajitanui kimawazo kusaka hela zaidi, au kazi yenyewe anafanya kivivuuuu muda mwingi yupo kwenye mitandao ya kijamii kujibizana na kutukanana na watu asiowafahamu na wivu usio na mpango kwa waliomzidi kipato.

Imefikia hatua mwanaume anamuonea wivu binti mdogo aliyeolewa na mwanaume (wa makamo) mwenye pesa, utakuta wamekaa wakimjadili binti na hata kumtukana na kuwachanganya wanawake woote kuwa wanapenda pesa (who doesnt), badala wakae wajiulize ni kwa namna gani huyo mwanaume mwenzao amefanikiwa kiasi hicho nao wajitahidi wamfikie au hata kumpita wamekalia majungu tuuuuuuu!! Utasikia mara free manson,mara pesa za madawa (maneno ya wakosaji).

Ni kweli kwamba maisha magumu and so on, ila isiwe excuse ya kuwafanya muwe marioo bila kujijua, wanaume wengi ni marios ila hawajijui tu, sasa si bora mijitanabaishe tuolewe wote tu na sio kuwa walalamishi that much, ni aibu sana tena sana kwakweli.
Msije kujifanya hapa sijui wanawake tunapenda mteremko ndio maana tukaitwa wanawake nanyi wanaume, sisi ni jukumu lenu, sasa mambo yamebadilika siku hizi nasi tunafanya kazi ili tusaidieane ila sasa isiwe ndio chance ya nyie kubweteka na kuwa marioo, mwanaume lazima uwe "MWANAUME" hii itakupa heshima bila hataaa kutumia nguvu kuidai.

You have to man up na mchukue nafasi zenu kama wanaume, kulalamika hakutokufanya uwe Bakhressa au Mengi, wivu pekee unaotakiwa kuwa nao ni wa kupiga hatua na sio kumuonea wivu k'lyn kwa kuolewa na Mengi (vipi wataka kuwa mke mwenzie?)

Nawasilisha, likikugusa waruhusiwa kutukana si ndicho mkijuacho zaidi.
 
Yote katika yote pia, baadhi yenu muwe mnaangalia ka pia wazazi wenu wanapendana sababu mmoja alikua na hela.
Hizi tabia za siku izi za kupenda wenye hela mmerithi kwa nani?

Mi nilijua watoto huiga tabia za wazazi wake.
Je kama kwenu ni masikini, unamdharau mama kwa kumpenda baba yako aliye masikini?
 
Pale matumizi yako yanapozidi kipato cha familia maneno kama haya hayakwepeki!!!
we unafanya nini kumsaidia mwanaume wa aina hiyo au ndo kuja kumsema huku aendelee kuwa discouraged..

Sijaja kumsema mtu wangu hapa, nashukuru nina mwanaume anyejitambua, he is a "MAN" hiyo ni kwa wanaume mliokalia kulalama tuuuu hamtaki hata kujiongeza, mtajifanya kutafuta visingizio na maneno ya kila namna ila ujumbe umefika, kataeni umasikini, umasikini ni dhambi.
 
Huu uzi una afya njema......Hapa unawazungumzia wanaume wa kanda za pwani.....wa Bara hawako hivi.
Ila ujumbe murua
Sema Halelu jah😛oa
 
Yote katika yote pia, baadhi yenu muwe mnaangalia ka pia wazazi wenu wanapendana sababu mmoja alikua na hela.
Hizi tabia za siku izi za kupenda wenye hela mmerithi kwa nani?

Mi nilijua watoto huiga tabia za wazazi wake.
Je kama kwenu ni masikini, unamdharau mama kwa kumpenda baba yako aliye masikini?

Kila mwanamke anapenda mwanaume mweye pesa ni kwavile tu mmezidi kujiendkeza inabidi tuwavumilie tu hivyo hivyo, kuzaliwa familia masikini ni kosa la baba ila kuolewa na mume masikini tena marioo its totaly my fault. So acheni mawazo mgando tafuteni pesa.
 
Umeandika meengi ila wenye akili tushakusoma.

Hongera sana kwa kupata kibabu cha kukulea.............

Puuza maneo ya mtaani furahia dubwasha lako jipya..

Naelekea jukwaa la siasa kidogo kutibua kichwa kidogo, nitarudi

Hongera sana

Ungekuwa na akili kama unavyodai walaa usingeandika hicho ulichoandika.
 
Halafu acha kuchanganya Noun na pronoun kwenye sentesi.
"Mwanaume YOU" ndo nini?
 
Dada nani kakuudhi hivyo? Unaonaje ukimwita pembeni ukampa shule uone kama atakubishia? Una hoja nzuri ila kwakuwa unahasira umetukana bila hata kujua unatukana.
Wewe kama umeolewa na above 50 wako tulia nae na usijali maneno yao kwani hayo ni maisha yako. Binadamu daima watakuwa na la kusema. Na usiwalaume kwa kukulaumu kwani huenda walikupenda kweli ila ndoo hivyo bado wadogo hawajapata mkwanja. Wafanyeje?

Haina haja ya kumuita yeyote pembeni maana wanaume dizain hiyo wapo kibao humu ndani, kazi kulalamaa tuuuu na kutukanana na watu mitandaoni wakati wnzao wanatajirika kwa kutumia hiyo hiyo mitandao, alafu eti ooooh serikali sijui imefanya nini kwani hao wanaofanikiwa wapo sayari gani na wana macho mangapi ?
 
hongera kwa mada yako ndefu...iliyojengeka katika misingi ya majungu na umbeya wa kikekike.....kibaya zaidi ume-generalize wanaume wote as if "you once happened to date all the men here in jf".....

ingekuwa busara na bora zaidi kama punch lines hizi au mistari konde hii ingemfikia mlengwa wako......throwing a stone in a stadium full of partying people has a chance of one millionth to hit your target.

next time ukitaka kuandika hapa jf fanya haya yafuatayo
1- andika kwenye karatasi points unazotaka kuziwasilisha
2- pumzika kwa muda wa takribani masaa matatu kabla ya kuandika kwenye computer or cellphone yako
3- punguza jazba na hasira dhidi ya unayemwandikia ujumbe huo
4- anza kuandika ujumbe wako
5- soma tena kabla ya kutuma ujumbe wako
6- ukijiridhisha kwa vyote ulivyoandika sasa unaweza kutuma ujumbe wako.
7- uwe mpole na mstaarabu wakati unasoma majibu na ujumbe toka kwa watu wengine waliosoma na kuelewa dhima ya ujumbe wako hata kama ni tofauti na wewe ulivyotaka ueleweke....we are not equal from the day we humans were created.

am just a normal person expressing my understanding of your post.....nothing personal
 
Habari wana jf, poleni kwa shughuli za ujenzi wa taifa.
Huku mkiendelea kupokea matokeo ya uchaguzi, naomba niongelee jambo moja la msingi ambalo nimekuwa nkilishuhudia katika jamii zetu na hata humu jf ni very common.

Wanaume mmekuwa kama mmepatwa sijui na pepo gani! Yaani ni kama nanyi mnataka kuolewa, mmekuwa watu wa kulalamika tuuuuuuu, kazi hamtaki na hata wenye kazi akili zimekuwa mgando anategemea mshahara mdogooo hata hajitanui kimawazo kusaka hela zaidi, au kazi yenyewe anafanya kivivuuuu muda mwingi yupo kwenye mitandao ya kijamii kujibizana na kutukanana na watu asiowafahamu na wivu usio na mpango kwa waliomzidi kipato.

Imefikia hatua mwanaume anamuonea wivu binti mdogo aliyeolewa na mwanaume (wa makamo) mwenye pesa, utakuta wamekaa wakimjadili binti na hata kumtukana na kuwachanganya wanawake woote kuwa wanapenda pesa (who doesnt), badala wakae wajiulize ni kwa namna gani huyo mwanaume mwenzao amefanikiwa kiasi hicho nao wajitahidi wamfikie au hata kumpita wamekalia majungu tuuuuuuu!! Utasikia mara free manson,mara pesa za madawa (maneno ya wakosaji).

Ni kweli kwamba maisha magumu and so on, ila isiwe excuse ya kuwafanya muwe marioo bila kujijua, wanaume wengi ni marios ila hawajijui tu, sasa si bora mijitanabaishe tuolewe wote tu na sio kuwa walalamishi that much, ni aibu sana tena sana kwakweli.
Msije kujifanya hapa sijui wanawake tunapenda mteremko ndio maana tukaitwa wanawake nanyi wanaume, sisi ni jukumu lenu, sasa mambo yamebadilika siku hizi nasi tunafanya kazi ili tusaidieane ila sasa isiwe ndio chance ya nyie kubweteka na kuwa marioo, mwanaume lazima uwe "MWANAUME" hii itakupa heshima bila hataaa kutumia nguvu kuidai.

You have to man up na mchukue nafasi zenu kama wanaume, kulalamika hakutokufanya uwe Bakhressa au Mengi, wivu pekee unaotakiwa kuwa nao ni wa kupiga hatua na sio kumuonea wivu k'lyn kwa kuolewa na Mengi (vipi wataka kuwa mke mwenzie?)

Nawasilisha, likikugusa waruhusiwa kutukana si ndicho mkijuacho zaidi.
Wanapenda kutelezea ganda la ndizi mbivu
 
Sijaja kumsema mtu wangu hapa, nashukuru nina mwanaume anyejitambua, he is a "MAN" hiyo ni kwa wanaume mliokalia kulalama tuuuu hamtaki hata kujiongeza, mtajifanya kutafuta visingizio na maneno ya kila namna ila ujumbe umefika, kataeni umasikini, umasikini ni dhambi.
kwenda uko uyo ulonae kwa kua ana vipesa ndo unasema anajielewa akiishiwa utamkimbia atakua hajielewi tena...we c useme tu kwamba unapenda mwenye pesa ili tukutafute wenye pesa tupo.
 
Back
Top Bottom