Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake la kwanza kutolewa kinywani mwake.

Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke asiyekupenda.

Wanawake ni wanadamu pia, wana machaguo ya mwanaume wanayemtaka moyoni na akilini mwao. Kwahiyo ukipendwa na mwanamke hutapewa kamwe majibu hayo hapo juu. Utapewa NDIYO ya moja kwa moja

Ukimkomalia ama kuendelea kumshawishi kwa mali na fedha basi atavutiwa na mali na fedha lkn wewe ulishakataliwa na kamwe hutapendwa.

Namalizia kwa kuwatakeni wanaume muache kuwa ving'ang'anizi. Mwanamke anayekupenda hutatumia nguvu kumpata.
Kwani wewe ni wa kike wa kiume?!
 
Ukweli mchungu kwangu jn namcheki mke yupo mkoa tunaongea vzr nikakata simu mara nikaka kidogo nampigia Whatsapp call anatumika nampigia kawaida anatumika bdy nampigia namuliza anasema hakuwa anatumika narudi tunaongea nasikiaa kbs hana utulivu na simu yake anaongea mambo siyaelewi kbs kama hn amani bady kama saa ngap ananipigia yup kawaida kbs ndio hali hls tunayopitia wanaume saivi kwa hawa viumbe
 
bdy nampigia namuliza anasema hakuwa anatumika narudi tunaongea nasikiaa kbs hana utulivu na simu yake anaongea mambo siyaelewi kbs kama hn amani bady kama saa ngap ananipigia yup kawaida kbs ndio hali hls tunayopitia wanaume saivi kwa hawa viumbe
Alikuwa anachakatwa huyu
 
Utofauti kati ya wanaotongoza na kufanikiwa na wale wasiofanikiwa ni kutokata tamaana. Quitters never win.
 
Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake la kwanza kutolewa kinywani mwake.

Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke asiyekupenda.

Wanawake ni wanadamu pia, wana machaguo ya mwanaume wanayemtaka moyoni na akilini mwao. Kwahiyo ukipendwa na mwanamke hutapewa kamwe majibu hayo hapo juu. Utapewa NDIYO ya moja kwa moja

Ukimkomalia ama kuendelea kumshawishi kwa mali na fedha basi atavutiwa na mali na fedha lkn wewe ulishakataliwa na kamwe hutapendwa.

Namalizia kwa kuwatakeni wanaume muache kuwa ving'ang'anizi. Mwanamke anayekupenda hutatumia nguvu kumpata.
Mimi hata nikiwa natongoza first impression tuu huwa inanipa majibu kwa hiyo sihangaikagi Sana ..

Hakuna kitu kibaya kama kulazimisha kupendwa na lazima upigwe pesa na ufanyiwe maigizo,huo ujinga ulishaga nishinda .
 
Ndiyo mkuu. Sasa unakuta mtu anaanza kumganda mtoto wa watu kwa vitu na fedha mpk mwanamke anavutika navyo. Halafu yeye anajua kapendwa
Tena mtu qnasema kabisq ' mimi yule demu lazima nimt********mbe.
 
Ukweli mchungu kwangu jn namcheki mke yupo mkoa tunaongea vzr nikakata simu mara nikaka kidogo nampigia Whatsapp call anatumika nampigia kawaida anatumika bdy nampigia namuliza anasema hakuwa anatumika narudi tunaongea nasikiaa kbs hana utulivu na simu yake anaongea mambo siyaelewi kbs kama hn amani bady kama saa ngap ananipigia yup kawaida kbs ndio hali hls tunayopitia wanaume saivi kwa hawa viumbe
Kuna jamaa alikuwa anampandisha genye.
 
Sasa kwa tarifa yako kuna dem wiki chache zilizo pita nilikutananaye stand ya mwendokasi nili msalimia tu katika stori mbili 3 nikachukua namba .... sikumtfta kama wiki .... baada ya hapo nkarusha ndoano aka goma nika mkaushia ikapita mwezi ..... jana kanitumia mesej kwahiyo ndo umekasirika au ... mpaka sasa cjamjibu chchte .....
Wanawake wana akili sana na wanaume wachache wanaweza wakasema no kwa mwanamke anapoamua kumtongoza mwanaume.Mwanamke ukiona anakujibu jeuri ujue ana mtu wala usitafute majibu.Lakini ukimuona mwanamke aliyekuzingua anakutafuta ujue mambo yameharibika either ugonjwa au msala mwingine umetokea kule alipokuwa.Wanaume tafuteni hela na wekezeni kwani ukifika uzee ni fainali ngumu sana kwa wanaume wengi.
 
Moyo wa kupenda nishatoa nikatupia mbwa...sasa naish maisha ya nyimbo ya 2nda man...bad man
 
Back
Top Bottom