NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hilo ni swali ambalo Mmiliki wa liverpool John w.Henry aliwahi kuuliza hasa msimu wa 2012/2013 pale ambapo Arsenal walitaka kumsajili Suarez kwa Paund mil. 40 wakaambiwa waongeze hela wakaongeza Paund mil. 1 na kuwa 41! Yeye W. Heny aliwaona kama mateja wasiojielewa wanataka nini!!
Nimeikumbuka kauli hii leo baada ya kuona eti Arteta anaenda kuwa Meneja mpya wa Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu kwa mshahara ule ule wa Unai Emery wa Paund mil. 5 kwa mwaka!!! Najiuliza hv pale Arsenal wanavuta chaa Arusha tena chenye mbegu kabisa?
Mike Arteta hana historia ya kufundisha hata championship! Kama Emery mwenye CV nzuri ameshindwa je Arteta anaweza nini??
Naambiwa Arsene Wenger wakati anaondoka alipendekeza CARLO ANCELOTI wao wakapiga chini wazo lake! Nasikia walimwita Max Allegri kwenye interview ,Allegri aliwauliza arsenal 'Kwanini mnataka mimi kuwa meneja wenu? Arsenal wakakasirika wakamuona ni mjivuni na mkorofi hivyo hafai kabisa!
Nasikia Walivutiwa na Emery kwasabb jamaa alikuja na video analysis ya kila mchezaji wa arsenal ikionesha uimara na udhaifu wa kila mchezaji na akaonyesha namna atakavo improve wachezaji hao!Arsenal wakamuona anafaa kwasababu hatotumia fedha nyingi kwenye usajili!!!
Leo Arteta anapewa mkataba kisa anaijua arsenal na wachezaji wake!!!sababu hii ni ya ajabu!kwani Ljumberg haijui Arsenal?ina maana Arteta anaijua Arsenal kuliko Ljumberg?wakati fred ljumberg kafundisha Arsenal tim ya vijana na kila siku yupo viunga vya Arsenal tena aliichezea kwa mafanikio kuliko Arteta!Haya ni maajabu kabisa!!
Kumbe W.Henry hakukosea alipouliza "Do they smoke there at Arsenal"? Ngoja tuiione Arsenal ya MIKEL ARTETA!!!
Nimeikumbuka kauli hii leo baada ya kuona eti Arteta anaenda kuwa Meneja mpya wa Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu kwa mshahara ule ule wa Unai Emery wa Paund mil. 5 kwa mwaka!!! Najiuliza hv pale Arsenal wanavuta chaa Arusha tena chenye mbegu kabisa?
Mike Arteta hana historia ya kufundisha hata championship! Kama Emery mwenye CV nzuri ameshindwa je Arteta anaweza nini??
Naambiwa Arsene Wenger wakati anaondoka alipendekeza CARLO ANCELOTI wao wakapiga chini wazo lake! Nasikia walimwita Max Allegri kwenye interview ,Allegri aliwauliza arsenal 'Kwanini mnataka mimi kuwa meneja wenu? Arsenal wakakasirika wakamuona ni mjivuni na mkorofi hivyo hafai kabisa!
Nasikia Walivutiwa na Emery kwasabb jamaa alikuja na video analysis ya kila mchezaji wa arsenal ikionesha uimara na udhaifu wa kila mchezaji na akaonyesha namna atakavo improve wachezaji hao!Arsenal wakamuona anafaa kwasababu hatotumia fedha nyingi kwenye usajili!!!
Leo Arteta anapewa mkataba kisa anaijua arsenal na wachezaji wake!!!sababu hii ni ya ajabu!kwani Ljumberg haijui Arsenal?ina maana Arteta anaijua Arsenal kuliko Ljumberg?wakati fred ljumberg kafundisha Arsenal tim ya vijana na kila siku yupo viunga vya Arsenal tena aliichezea kwa mafanikio kuliko Arteta!Haya ni maajabu kabisa!!
Kumbe W.Henry hakukosea alipouliza "Do they smoke there at Arsenal"? Ngoja tuiione Arsenal ya MIKEL ARTETA!!!