Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 66
Hili ni tatizo kubwa sana kwa wanafunzi wengi wa elimu ya juu katika vyuo vyetu. Mfano ni pale CBE Dar es salaam campus, 90% ya Filed work reports au reseach reports ni copy&paste tu. wanavyuo hawana ile brain-storming wao ni kucopy na kupaste na kutegemea ujanja ujanja kwenye mitihani tu. Huu ni mfano tu wa hali ilivyo katiak vyuo vyetu vya elimu ya juu hapa nchini.
Hii imefanya hata serikali yenyewe kuwadharau na kuamua wasipige kura, dharau ambayo nchi za wenzetu ambako wasomi wanafunzi wa vyuo vikuu ni chanzo cha mabadiliko kitu kama hiki kisingetokea.
Hii itatoa changamoto kwa wanafunzi na wasomi hawa wafahamu kuwa hii serikali iliyowatumia kupata kura mwaka 2005 hawakuwa na nia thabiti ya kuwasidia bali iliwatumia tu kama nguzo na pindi watakaporudi vyuoni walikumbuke hilo na wajiandae kukosa boom ikiwa CCm itarudishwa madarakani kwani CCM imetumia hela nyingi sana kufinance kampeni zake ambazo ni lazima watazichota serikalini kulipia madeni yao, ila ikiwa CHADEMA wataingia basi huenda ikawa neema kwao kwani CHADEMA watabana matumizi ili wao wasome na yale madeni ya kampeni CCM watatakiwa kulipa wenyewe na si serikali tena!!
Hii imefanya hata serikali yenyewe kuwadharau na kuamua wasipige kura, dharau ambayo nchi za wenzetu ambako wasomi wanafunzi wa vyuo vikuu ni chanzo cha mabadiliko kitu kama hiki kisingetokea.
Hii itatoa changamoto kwa wanafunzi na wasomi hawa wafahamu kuwa hii serikali iliyowatumia kupata kura mwaka 2005 hawakuwa na nia thabiti ya kuwasidia bali iliwatumia tu kama nguzo na pindi watakaporudi vyuoni walikumbuke hilo na wajiandae kukosa boom ikiwa CCm itarudishwa madarakani kwani CCM imetumia hela nyingi sana kufinance kampeni zake ambazo ni lazima watazichota serikalini kulipia madeni yao, ila ikiwa CHADEMA wataingia basi huenda ikawa neema kwao kwani CHADEMA watabana matumizi ili wao wasome na yale madeni ya kampeni CCM watatakiwa kulipa wenyewe na si serikali tena!!