BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
WANAVYUO MWANZA WATOA KONGOLE KWA RAIS SAMIA
Leo Jumamosi 26 Machi, 2022 Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Mwanza wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Mwaka Mmoja Madarakani.
Kongamano hilo limeongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka na kuhudhuriwa na viongozi Mbalimbali wa Chama na Serikali ngazi ya Wilaya na Mkoa, Makundi ya vijana wa bodaboda, makondakta, machinga na wananchi wengine.
#365zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee
Leo Jumamosi 26 Machi, 2022 Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Mwanza wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Mwaka Mmoja Madarakani.
Kongamano hilo limeongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka na kuhudhuriwa na viongozi Mbalimbali wa Chama na Serikali ngazi ya Wilaya na Mkoa, Makundi ya vijana wa bodaboda, makondakta, machinga na wananchi wengine.
#365zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee