Wanavyuo Mwanza watoa kongole kwa Rais Samia

Wanavyuo Mwanza watoa kongole kwa Rais Samia

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
WANAVYUO MWANZA WATOA KONGOLE KWA RAIS SAMIA

Leo Jumamosi 26 Machi, 2022 Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Mwanza wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Mwaka Mmoja Madarakani.

Kongamano hilo limeongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka na kuhudhuriwa na viongozi Mbalimbali wa Chama na Serikali ngazi ya Wilaya na Mkoa, Makundi ya vijana wa bodaboda, makondakta, machinga na wananchi wengine.

#365zaSamia
#KaziKubwaImefanyika
#KaziIendelee

IMG-20220326-WA0108.jpg


IMG-20220326-WA0107.jpg


IMG-20220326-WA0112.jpg


IMG-20220326-WA0110.jpg


IMG-20220326-WA0105.jpg


IMG-20220326-WA0106.jpg


IMG-20220326-WA0103.jpg


IMG-20220326-WA0104.jpg


IMG-20220326-WA0111.jpg


IMG-20220326-WA0102.jpg


IMG-20220326-WA0109.jpg


IMG-20220326-WA0101.jpg
 
Safi sana hadi Raha. Kazi kubwa inafanyika. Ni lazima tuwatie moyo viongozi wetu
 
Hakuna ajira , tunapandisha watumishi madaraja kwanza.
Question!?
 
Back
Top Bottom