hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Miaka ya nyuma kidogo kulikua na kashikashi sana katika vyuo vya elimu ya juu nchini hasa vya serikali...
Nakumbuka niliwahi kuhudhuria mdahalo pale nkruhma hall UDSM nikiwa mwanafunzi wa kidato cha tano makongo na mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Tahliso chini ya Julius Mtatiro.
Lakini pia nikiwa mwanafunzi pale UDOM mwanzoni mwa miaka ya 2010 harakati za kudai mazingira mazuri ya kusoma ikiwa ni pamoja madai ya kuongezwa kwa pesa ya kujikimu na special faculty allowances yalipamba moto mpaka serikali ikasalimu amri na kuongeza pesa hiyo.
Lakini pia harakati za siasa na kijamii zilikua za moto sana,ilifikia hatua mpaka UDOM pakawa pamoto kwa viongozi wa kisiasa achilia mbali harakati UDSM na vyuo vingine vijana wasomi walikua na uthubutu wa kuhoji na kudai haki zao na za jamii kwa ujumla.
Leo hii kizazi hiki kipo kimya kwa kila jambo iwe mambo ya kisiasa,kijamii kama ukosefu wa ajira na mengine..
Vijana hawahoji,hawajadili na sana sana
Ni mwendo wa kubeti,kutafuta nguvu za kiume ili mishangazi ikae kwa kutulia na sana sana kunywa visungura
ITS A WAKE UP CALL taifa lisilo na vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji,kujadili na kuleta suluhu ya changamoto ni Taifa mufilisi
Nakumbuka niliwahi kuhudhuria mdahalo pale nkruhma hall UDSM nikiwa mwanafunzi wa kidato cha tano makongo na mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Tahliso chini ya Julius Mtatiro.
Lakini pia nikiwa mwanafunzi pale UDOM mwanzoni mwa miaka ya 2010 harakati za kudai mazingira mazuri ya kusoma ikiwa ni pamoja madai ya kuongezwa kwa pesa ya kujikimu na special faculty allowances yalipamba moto mpaka serikali ikasalimu amri na kuongeza pesa hiyo.
Lakini pia harakati za siasa na kijamii zilikua za moto sana,ilifikia hatua mpaka UDOM pakawa pamoto kwa viongozi wa kisiasa achilia mbali harakati UDSM na vyuo vingine vijana wasomi walikua na uthubutu wa kuhoji na kudai haki zao na za jamii kwa ujumla.
Leo hii kizazi hiki kipo kimya kwa kila jambo iwe mambo ya kisiasa,kijamii kama ukosefu wa ajira na mengine..
Vijana hawahoji,hawajadili na sana sana
Ni mwendo wa kubeti,kutafuta nguvu za kiume ili mishangazi ikae kwa kutulia na sana sana kunywa visungura
ITS A WAKE UP CALL taifa lisilo na vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji,kujadili na kuleta suluhu ya changamoto ni Taifa mufilisi