Wanavyuo wa leo hawajitambui au mambo yao yapo vizuri sana vyuoni kuliko miaka ya nyuma?

Wanavyuo wa leo hawajitambui au mambo yao yapo vizuri sana vyuoni kuliko miaka ya nyuma?

hitler2006

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
489
Reaction score
454
Miaka ya nyuma kidogo kulikua na kashikashi sana katika vyuo vya elimu ya juu nchini hasa vya serikali...
Nakumbuka niliwahi kuhudhuria mdahalo pale nkruhma hall UDSM nikiwa mwanafunzi wa kidato cha tano makongo na mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Tahliso chini ya Julius Mtatiro.

Lakini pia nikiwa mwanafunzi pale UDOM mwanzoni mwa miaka ya 2010 harakati za kudai mazingira mazuri ya kusoma ikiwa ni pamoja madai ya kuongezwa kwa pesa ya kujikimu na special faculty allowances yalipamba moto mpaka serikali ikasalimu amri na kuongeza pesa hiyo.

Lakini pia harakati za siasa na kijamii zilikua za moto sana,ilifikia hatua mpaka UDOM pakawa pamoto kwa viongozi wa kisiasa achilia mbali harakati UDSM na vyuo vingine vijana wasomi walikua na uthubutu wa kuhoji na kudai haki zao na za jamii kwa ujumla.

Leo hii kizazi hiki kipo kimya kwa kila jambo iwe mambo ya kisiasa,kijamii kama ukosefu wa ajira na mengine..
Vijana hawahoji,hawajadili na sana sana

Ni mwendo wa kubeti,kutafuta nguvu za kiume ili mishangazi ikae kwa kutulia na sana sana kunywa visungura
ITS A WAKE UP CALL taifa lisilo na vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji,kujadili na kuleta suluhu ya changamoto ni Taifa mufilisi
 
Kuna wahindi liliwah wakuta jambo,walianzisha chuo cha kutoa degree afu wakachezea mfumo wa uchaguz wa vyuo,yaan vyuo vingine vikawa havina nafas cha kwao ndo kikawa kina nafas,

Walifanikiwa kupata wanafunz wengi tu lakin chuo chao hakikuwa na mazingira mazuri pia walimu wao hasa wa kihindi hawakukiz vigezo

Wanafunz walijiogarnize na waliwapelekea moto sana wale wahindi mpaka kufikia serikal kuamua kuwachagulia vyuo vingine wakasome lakin pia walifikishwa mpaka mahakan
 
Kuna wahindi liliwah wakuta jambo,walianzisha chuo cha kutoa degree afu wakachezea mfumo wa uchaguz wa vyuo,yaan vyuo vingine vikawa havina nafas cha kwao ndo kikawa kina nafas,

Walifanikiwa kupata wanafunz wengi tu lakin chuo chao hakikuwa na mazingira mazuri pia walimu wao hasa wa kihindi hawakukiz vigezo

Wanafunz walijiogarnize na waliwapelekea moto sana wale wahindi mpaka kufikia serikal kuamua kuwachagulia vyuo vingine wakasome lakin pia walifikishwa mpaka mahakan
St Joseph?
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikua na kashikashi sana katika vyuo vya elimu ya juu nchini hasa vya serikali...
Nakumbuka niliwahi kuhudhuria mdahalo pale nkruhma hall UDSM nikiwa mwanafunzi wa kidato cha tano makongo na mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Tahliso chini ya Julius Mtatiro.

Lakini pia nikiwa mwanafunzi pale UDOM mwanzoni mwa miaka ya 2010 harakati za kudai mazingira mazuri ya kusoma ikiwa ni pamoja madai ya kuongezwa kwa pesa ya kujikimu na special faculty allowances yalipamba moto mpaka serikali ikasalimu amri na kuongeza pesa hiyo.

Lakini pia harakati za siasa na kijamii zilikua za moto sana,ilifikia hatua mpaka UDOM pakawa pamoto kwa viongozi wa kisiasa achilia mbali harakati UDSM na vyuo vingine vijana wasomi walikua na uthubutu wa kuhoji na kudai haki zao na za jamii kwa ujumla.

Leo hii kizazi hiki kipo kimya kwa kila jambo iwe mambo ya kisiasa,kijamii kama ukosefu wa ajira na mengine..
Vijana hawahoji,hawajadili na sana sana

Ni mwendo wa kubeti,kutafuta nguvu za kiume ili mishangazi ikae kwa kutulia na sana sana kunywa visungura
ITS A WAKE UP CALL taifa lisilo na vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji,kujadili na kuleta suluhu ya changamoto ni Taifa mufilisi
Watu wameenda chuo kutafuta elimu na sio harakati uchwara za kipuuzi.
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikua na kashikashi sana katika vyuo vya elimu ya juu nchini hasa vya serikali...
Nakumbuka niliwahi kuhudhuria mdahalo pale nkruhma hall UDSM nikiwa mwanafunzi wa kidato cha tano makongo na mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Tahliso chini ya Julius Mtatiro.

Lakini pia nikiwa mwanafunzi pale UDOM mwanzoni mwa miaka ya 2010 harakati za kudai mazingira mazuri ya kusoma ikiwa ni pamoja madai ya kuongezwa kwa pesa ya kujikimu na special faculty allowances yalipamba moto mpaka serikali ikasalimu amri na kuongeza pesa hiyo.

Lakini pia harakati za siasa na kijamii zilikua za moto sana,ilifikia hatua mpaka UDOM pakawa pamoto kwa viongozi wa kisiasa achilia mbali harakati UDSM na vyuo vingine vijana wasomi walikua na uthubutu wa kuhoji na kudai haki zao na za jamii kwa ujumla.

Leo hii kizazi hiki kipo kimya kwa kila jambo iwe mambo ya kisiasa,kijamii kama ukosefu wa ajira na mengine..
Vijana hawahoji,hawajadili na sana sana

Ni mwendo wa kubeti,kutafuta nguvu za kiume ili mishangazi ikae kwa kutulia na sana sana kunywa visungura
ITS A WAKE UP CALL taifa lisilo na vijana jasiri wenye uwezo wa kuhoji,kujadili na kuleta suluhu ya changamoto ni Taifa mufilisi
Kwanini mnang'ang'ania mambo ya kuhoji? Wewe CHADEMA? fanyakazi, peleka akili katika kuzalisha mali!
 
Kuna sehemu yoyote mgomo umeongelewa hapo...
Nachokoza mada ni kwa nini wasomi wa leo wamekosa ujasiri wa kuhoji issues na hawana uwezo wa kujadili kwa kina masuala mtambuka yanayogusa maisha ya kila siku
 
Hii kansa sasa,si kila anayefikiri kwa kutumia akili na sio tumbo ana mlengo wa kisiasa tofauti na wewe...wengine hupenda kuhoji na kupata sababu nzuri kwa kila jambo
Kwanini mnang'ang'ania mambo ya kuhoji? Wewe CHADEMA? fanyakazi, peleka akili katika kuzalisha mali!
 
Sema sasa hivi asilimia kubwa ya vyuoni mambo yamebadilika uwajibikaji umekua mkubwa kwa viongozi pamoja na wakufunzi kitu kinacho pelekea wanafunzi wawaze kitabu tu sasa hivi hata ukiwa chuo jambo likitokea wana lisuluhisha mapema kama huamini jaribu kufanya tafiti kwenye vyuo utaamin ninacho kuambia
 
Vijana wa sasa tunakula kwa akili bila kelele, tunajipigia mishangazi ,tunapiga uchawa akaunti zinasoma pesa.
Muda wa kupiga / kulalamika tunatengeneza odds 3 za mikeka maisha yanakwenda.
Kila jambo na wakati wake, kizazi cha sasa hakiwezi kufanya / kuishi kama kizazi cha zamani.
Sasa hivi tunachati hadi na roboti.
 
Kuna wahindi liliwah wakuta jambo,walianzisha chuo cha kutoa degree afu wakachezea mfumo wa uchaguz wa vyuo,yaan vyuo vingine vikawa havina nafas cha kwao ndo kikawa kina nafas,

Walifanikiwa kupata wanafunz wengi tu lakin chuo chao hakikuwa na mazingira mazuri pia walimu wao hasa wa kihindi hawakukiz vigezo

Wanafunz walijiogarnize na waliwapelekea moto sana wale wahindi mpaka kufikia serikal kuamua kuwachagulia vyuo vingine wakasome lakin pia walifikishwa mpaka mahakan

One of the best victory for Young Education revolutionaries in Tanzania. Vijana wadogo walionyesha uthubutu wa Hali ya Juu sana na hili lilikua pigo takatifu Kwa wote walioshiriki dhambi hiyo.

Kuna Cha kujifunza hapa Kwa vijana wasomi wa sasa
 
Back
Top Bottom