Watanzania wenzangu inasikitisha sana kuona viongozi wetu wote serikali na upinzania kushidwakutatua matatizo ya elimu Tanzania. Inajulikana fika kwamba Tanzania kunatatizokubwa la walimu na inajulikana fika vilevile kwamba tunavijana wengi kwenyevyuo wanaochukua mikopo ya serikali na hawatailipa. Kama wote tunajua haya jeni kwanini wanavyuo wasifundishe mashuleni?. Wakali wa likizo wanavyuowanafanyanini wakati kazi hamna si bora wangefundisha shule za sekondariTanzania nzima na kusaidia taifa hata kama hawatalipa mikopo waliyopewa. Mradikama ulivyokuwa wa JK unatakiwa uletwe kwenye elimu kunusuru Tanzania. Shulezote hasa za binafsi zinafelisha wanafunzi kila mwaka lakini serikali badala yakutafuta suluhisho wamekuwa wakiacha kama vile hakuna kitu ambacho wanawezakufanya. Wapinzani nao wamekuwa ni watu wa kuongelea siasa kila siku bila kutoamawazo kama haya ambayo yatatusaidia kwa miaka mingi ijayo.