Wanawake 5 mastaa wenye mvuto zaidi Tanzania

Wanawake 5 mastaa wenye mvuto zaidi Tanzania

Ukishapitiwa na mond huwezi kuitwa mwenye mvuto.
Screenshot_20210622-215550_Instagram.jpg

Ebu futa kauli yako
 
mbona wote wa 5 ni wabaya? macho yako yanakwama wapi mkuu
 
Unaongelea wa nyakati zipi? Mana Kwangu mimi anaanza Mama Anna Makinda, Mama Anna Tibaijuka, Mama Anna Abdalah, Mama Anna Mkapa na Mama Anna Lukinjo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom