Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Hujatembea tanzania wewe ukakutana na waphilipino wa kibantu nenda huko mitaa ya Arusha ,Manyara,Singida, Kilimanjaro,Tanga n.k5. Malkia Karen
View attachment 1417157
4. Mimi Mars
View attachment 1417158
3. Faraja Nyalandu
View attachment 1417160
2. Jackline Mengi
View attachment 1417161
1. Nancy Sumari
View attachment 1417163
Leta mwenye Natural Hair siyo hawa wa Mawigi na Rasta. Mwenye Nyusi aslia na Lips asilia. Binti wa miaka 20 anajipaka Wania, Makeup na Lipstick for what? Huyo Karen ungemleta Natural niCompare na my First year Tudaco Daughter.5. Malkia Karen
View attachment 1417157
4. Mimi Mars
View attachment 1417158
3. Faraja Nyalandu
View attachment 1417160
2. Jackline Mengi
View attachment 1417161
1. Nancy Sumari
View attachment 1417163
Ukishapitiwa na mond huwezi kuitwa mwenye mvuto.Bila UWOYA, LULU, SEPETU huu Uzi n upupu km upupu mwingneeeh tyuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishapitiwa na mond huwezi kuitwa mwenye mvuto.
Irene mmoja = nacy somari 700000Bila kuwepo Hawa list yako ni batiliView attachment 1417261
Lulu MichaelView attachment 1417262View attachment 1417263
Irene uwoya
Kwani Mond ana nini?Ukishapitiwa na mond huwezi kuitwa mwenye mvuto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaongelea wa nyakati zipi? Mana Kwangu mimi anaanza Mama Anna Makinda, Mama Anna Tibaijuka, Mama Anna Abdalah, Mama Anna Mkapa na Mama Anna Lukinjo
Ewaaa hapo umenena.Bila kidot hapana huu n utopolo
god is good
πππππEwaaa hapo umenena.
Ila Faraja kila nikimuangalia huwa simuelewi. Simuelewi kabsaaaa.
SUKAH
Hahahahahaa!Unaongelea wa nyakati zipi? Mana Kwangu mimi anaanza Mama Anna Makinda, Mama Anna Tibaijuka, Mama Anna Abdalah, Mama Anna Mkapa na Mama Anna Lukinjo