Wanawake acheni kujichosha

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,156
Utakuta mwanamke unajitutumua kwa nguvu zote ili aonekane ni wa ghali au wa garama wakati wanaume hata hawajui tofauti kati ya Brazilian hair na manyoa ya kondoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahaha sisi twajua kutofautisha uchura na sura sema hapo kwenye sura wanawadaka baadh mana make up n hatar m2 anakuwa had mzungu.
 
Utakuta mwanamke unajitutumua kwa nguvu zote ili aonekane ni wa ghali au wa garama wakati wanaume hata hawajui tofauti kati ya Brazilian hair na manyoa ya kondoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Brazillian hair zinadumu muda mrefu, hayo manyoya ya kondoo utanunua kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…