MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
hujawahi kutapeliwa na mwanamke?Kama naye anarudisha fadhila ya kugawa tunda nadhani shida sio kubwa hasa kama si mchepuko
Sio kwa zama hizi. Hapo kale ilikuwa sheria na ilikuwa heshimaMwanamke wa malengo kaka tena anakataa no sex before marriage
Kiajehujawahi kutapeliwa na mwanamke?
Halaf pesa anakula....Toka nduki ofisaMwanamke wa malengo kaka tena anakataa no sex before marriage
yaani unahonga namzigo hupatiKiaje
Daa we ni mjinga sana aseee duuh acha wakukomeshe na wakuchune maana huna akili kabisaRasmi nimeamua kukaa mbail na Wanawake, hadi apo akili atakapo Kaa sawa.
# kataa ndoa
Hizo za kawaida sana lakini sijawahi kuhonga zaidi ya mwekundu, yaani bia 3 na viazi mayai [emoji23]yaani unahonga namzigo hupati
๐๐๐๐๐๐
tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana,