Wanawake acheni kula hela za wanaume ambao hamjawapenda

Wanawake acheni kula hela za wanaume ambao hamjawapenda

Mshana sasa ivi matopiki yetu ameacha. Baada ya kumng'oa baba askofu ameamua sasa kufanya investigative journalism

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwani huwa wanakulazimisheni kuwapa au viherehere vyenu tu
 
Hakuna biashara isiyo na faida sio KILA utongozapo unapata
 
Wakuu samahani sana msione na post nyuzi nyingi,
Najaribu kuchek jinsi ya kupata amani ya Moyo

Wakuu naombeni ushauri nipo kwenye maumivu Makali Sana,
Nifanye nini ili upendo nilio mpenda mwanamke lakn amani acha urudi upya kwangu,
Mana NAHIs sitapEnda tena,
Huyu mwanamke kaondoka na mpenzi yangu yote.
 
Jamani!! Washakula hela ya mwalimu na hawana mpango nae!! Pole sana, ndio ukubwa huo.
 
Kiboko ya mwanamke ni mwanamke mwenzie, maumivu ya mapenzi huponywa na mapenzi so tafuta hela kisha tafuta pisi kali kuliko huyo pimbi utulie nae
 
Back
Top Bottom