scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Invest only what you can afford to lose
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahha[emoji23]Mshana sasa ivi matopiki yetu ameacha. Baada ya kumng'oa baba askofu ameamua sasa kufanya investigative journalism
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ombi la msamaha wa kinafki kabisa hili [emoji87][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana,
Make kwanza Nicheke....Hapo kn mtu kashakula NDOIGE..😎Enyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake ndio chanzo Cha kata ndoa,
Hawa wadudu ni wauwaji sana.
# hate woman
Mkuu pole sana kwa kupigwa tukio, ndiyo ukubwa huo [emoji1][emoji1]Rasmi nimeamua kukaa mbail na Wanawake, hadi apo akili atakapo Kaa sawa.
# kataa ndoa
Tafuta mawani🤣Ni vipi hapa? Sioni mbele 😂😂
........umeandika kwa kihisia kidogo mkuu.....kwani nini kimetokea....Enyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae
......bora yaishe, isiwe tabu....😂😂😂
tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana,
UNANUNUA NYAMA NUSU, WANAKUFUNGIA KWENYE GAZETI LA MICHEZO KWASABABU UNALETA MCHEZO NA NYAMA[emoji419][emoji375][emoji41]Enyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae