scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Hahahha[emoji23]Mshana sasa ivi matopiki yetu ameacha. Baada ya kumng'oa baba askofu ameamua sasa kufanya investigative journalism
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ombi la msamaha wa kinafki kabisa hili [emoji87][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana,
Make kwanza Nicheke....Hapo kn mtu kashakula NDOIGE..πEnyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake ndio chanzo Cha kata ndoa,
Hawa wadudu ni wauwaji sana.
# hate woman
Mkuu pole sana kwa kupigwa tukio, ndiyo ukubwa huo [emoji1][emoji1]Rasmi nimeamua kukaa mbail na Wanawake, hadi apo akili atakapo Kaa sawa.
# kataa ndoa
Tafuta mawaniπ€£Ni vipi hapa? Sioni mbele ππ
........umeandika kwa kihisia kidogo mkuu.....kwani nini kimetokea....Enyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae
......bora yaishe, isiwe tabu....πππ
tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana,
UNANUNUA NYAMA NUSU, WANAKUFUNGIA KWENYE GAZETI LA MICHEZO KWASABABU UNALETA MCHEZO NA NYAMA[emoji419][emoji375][emoji41]Enyi wadada, wanawake, na mabinti acheni kula vitu vya wanaume, kama humpendi au humtka usimpe nafasi.
Pesa ya mwanaume ni jasho. Machozi ya nawaume Yana laana Kali sana.
Unaweza fugwa usi olewe, ewe binti acha kula Cha mwanaume kama huna mpango nae