Wanawake acheni kulazimisha ndoa

Kabeba mimba bila kuniambia ananitishia kaka ake mkuu wa kituo
Nawee una uwezo wa kumpa mwanamke mimba? Achilia kumtia ukuni?

Ila mwachi acha kuchekesha waja, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawee una uwezo wa kumpa mwanamke mimba? Achilia kumtia ukuni?

Ila mwachi acha kuchekesha waja, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina baada ya kuniloga
 
Halafu wanaume tulivyokuwa wahuni tunaomba test drive(kupiga pumb…u) kwanza kabla ya kutoa ahadi ya ndoa😂😂. Na tukisha kula papuchi tunalala mbele tunatafuta mwengine na mwengine.
 
Dawa Wanaume waache kuingia kwenye mahusiano na wanawake ambao hawana mpango nao.
 
Chukua huyo binti weka ndani haraka..🤣

Unataka kumnyanyasa sababu ya mtoto na umri? Kula utamu kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…