Wanawake acheni kuleta Wadogo / Ndugu zenu wa Kike Majumbani mwenu, kwani Wanawavunjieni mno Ndoa zenu

Wanawake acheni kuleta Wadogo / Ndugu zenu wa Kike Majumbani mwenu, kwani Wanawavunjieni mno Ndoa zenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuanzia miaka ya mwishoni mwa 80 hadi mwanzoni au katikati ya 2005 60% ya waliokuwa wakiharibu Ndoa za Wanawake ni Wadada wa Kazi.

Ila kuanzia katikati hiyo ya mwaka 2005 hadi leo hii nathubutu kuandika na tena kwa Kujiamini kabisa kuwa 99% ya Wanaoharibu Ndoa za Wanawake ni Wadogo zao wa Kike au Ndugu zao wa Kike wanaowaleta kutoka Vijijini kuja kuishi nao Mjini.

GENTAMYCINE ambaye ni Mwanasaikolojia wa Kuzaliwa na Tajiri wa Maono, Hekima na Busara nimekuwa nikiombwa na Wahanga wa Janga hili katika Kutatua na nashukuru Mwenyezi Mungu nyingi ya Ndoa huwa Nazitatua japo Binafsi sijaoa na sioni dalili zozote za Mimi kuja Kuoa kwani Kesi za Kimahusiano za kila Siku ambazo huwa Nazisuluhisha zimeshaniathiri na sioni tena umuhimu wa Kuoa.

Tukio nililolitatua leo kiukweli limenifanya nikiri kuwa Wanaume si tu ni Wahuni, Wanyanyasaji, sometimes ni Wapumbavu na tuna Ukatili mwingi.

Hivi inawezekana vipi Mkeo kwa Roho yake tu ya Upendo kaamua Kuleta Wadogo zake / Ndugu zake Watatu kutoka Kijijini Kwao Kyaka Nkunde au Ikupilipa Nkoba waje Kwenu ( Mume na Mke ) ili aanze Kuwasaidia kwa Kuwasomesha na hata kuwatafutia Kazi halafu Wewe Mwanaume kwa Tamaa zako za Kishamba unaamua Kuwakaza ( Kutembea ) nao Wote Watatu tena katika Kitanda unacholala na Mkeo wa Ndoa?

Kwa kusema haya siyo kwamba GENTAMYCINE sikazi au sipendi Mbunye ( K ) tena hiyo ndiyo Starehe yangu Tukuka ikifuatiwa na kupenda Mziki na Mpira ila huwa nafanya huu Uhuni wangu kwa Staha ( kwa Kujiheshimu ) ndiyo maana hata ukija Kitaa ukisema Mimi ni Womanizer ( Mpenda Mbunye ) Watu si tu Watakushangaa kwa Kutokukuamini bali wanaweza hata Kukupopoa na Mawe na ukajuta Kunichafua Kipenzi chao GENTAMYCINE na Mbunge nisiye na Jimbo.

Narudi kwa nyie Wadogo na Ndugu za Wanawake walioolewa mliotoka Vijijini hivi Roho zenu huwa haziwaumi kuona kabisa Unamsaliti Dada yako aliyekuleta Kukusaidia na Maisha Magumu uliyokuwa ukiyapitia ulipokuwa Unateseka na Maisha huko Kijijini?

Ombi Kuu kwenu Wanawake wenye Ndoa zenu kwa hali ilivyo sasa nawashauri acheni kuleta Wadogo zenu / Ndugu zake Mjini ili mkae nao na muwasaidie Kimaisha bali kuanzia sasa anzeni Kuwasaidia wakiwa huko huko Vijijini na mkijafanya kuwa na Huruma nao sana na Kuwapenda mno na kuwaleta Makwenu Mjini wakija Kuvunja Ndoa zenu kwa Kukazwa ( Kutiwa ) na Waume / Mabwana zenu msije Kutuita akina GENTAMYCINE tuje Kuwasuluhisheni kwani mnatuchosha na kutusumbua kwa kutosikia Kwenu Ushauri.

Kuweni makini mno katika hili sawa?
 
Kuanzia miaka ya mwishoni mwa 80 hadi mwanzoni au katikati ya 2005 60% ya waliokuwa wakiharibu Ndoa za Wanawake ni Wadada wa Kazi.

Ila kuanzia katikati hiyo ya mwaka 2005 hadi leo hii nathubutu kuandika na tena kwa Kujiamini kabisa kuwa 99% ya Wanaoharibu Ndoa za Wanawake ni Wadogo zao wa Kike au Ndugu zao wa Kike wanaowaleta kutoka Vijijini kuja kuishi nao Mjini.

GENTAMYCINE ambaye ni Mwanasaikolojia wa Kuzaliwa na Tajiri wa Maono, Hekima na Busara nimekuwa nikiombwa na Wahanga wa Janga hili katika Kutatua na nashukuru Mwenyezi Mungu nyingi ya Ndoa huwa Nazitatua japo Binafsi sijaoa na sioni dalili zozote za Mimi kuja Kuoa kwani Kesi za Kimahusiano za kila Siku ambazo huwa Nazisuluhisha zimeshaniathiri na sioni tena umuhimu wa Kuoa.

Tukio nililolitatua leo kiukweli limenifanya nikiri kuwa Wanaume si tu ni Wahuni, Wanyanyasaji, sometimes ni Wapumbavu na tuna Ukatili mwingi.

Hivi inawezekana vipi Mkeo kwa Roho yake tu ya Upendo kaamua Kuleta Wadogo zake / Ndugu zake Watatu kutoka Kijijini Kwao Kyaka Nkunde au Ikupilipa Nkoba waje Kwenu ( Mume na Mke ) ili aanze Kuwasaidia kwa Kuwasomesha na hata kuwatafutia Kazi halafu Wewe Mwanaume kwa Tamaa zako za Kishamba unaamua Kuwakaza ( Kutembea ) nao Wote Watatu tena katika Kitanda unacholala na Mkeo wa Ndoa?

Kwa kusema haya siyo kwamba GENTAMYCINE sikazi au sipendi Mbunye ( K ) tena hiyo ndiyo Starehe yangu Tukuka ikifuatiwa na kupenda Mziki na Mpira ila huwa nafanya huu Uhuni wangu kwa Staha ( kwa Kujiheshimu ) ndiyo maana hata ukija Kitaa ukisema Mimi ni Womanizer ( Mpenda Mbunye ) Watu si tu Watakushangaa kwa Kutokukuamini bali wanaweza hata Kukupopoa na Mawe na ukajuta Kunichafua Kipenzi chao GENTAMYCINE na Mbunge nisiye na Jimbo.

Narudi kwa nyie Wadogo na Ndugu za Wanawake walioolewa mliotoka Vijijini hivi Roho zenu huwa haziwaumi kuona kabisa Unamsaliti Dada yako aliyekuleta Kukusaidia na Maisha Magumu uliyokuwa ukiyapitia ulipokuwa Unateseka na Maisha huko Kijijini?

Ombi Kuu kwenu Wanawake wenye Ndoa zenu kwa hali ilivyo sasa nawashauri acheni kuleta Wadogo zenu / Ndugu zake Mjini ili mkae nao na muwasaidie Kimaisha bali kuanzia sasa anzeni Kuwasaidia wakiwa huko huko Vijijini na mkijafanya kuwa na Huruma nao sana na Kuwapenda mno na kuwaleta Makwenu Mjini wakija Kuvunja Ndoa zenu kwa Kukazwa ( Kutiwa ) na Waume / Mabwana zenu msije Kutuita akina GENTAMYCINE tuje Kuwasuluhisheni kwani mnatuchosha na kutusumbua kwa kutosikia Kwenu Ushauri.

Kuweni makini mno katika hili sawa?
Shida sio wadogo zetu shida ni wanaume washenzi waso na haya wenye kutamani mashemeji zao na wadada wa Kazi kwa kweli hatuwezi kuacha ndugu zetu wasije kututembelea au wafanyakazi kutusaidia kisa kukosa heshima kwa mtu.
 
Shida sio wadogo zetu shida ni wanaume washenzi waso na haya wenye kutamani mashemeji zao na wadada wa Kazi kwa kweli hatuwezi kuacha ndugu zetu wasije kututembelea au wafanyakazi kutusaidia kisa kukosa heshima kwa mtu.
shida ipo pote pote tu hata mdogo mtu akikataa kutoa atabakwa?

labda dada wa kazi hao kwa kweli wanafanyiwa ubaradhuli.
 
Mambo yamebadilika, wanaume wamekuwa makatili, mabinti nao tamaa zinawaka ka moto wa petrol aibu hawana, hawajiulizi kwanini iwe ivo, wao cha muhimu shemeji anatoa huduma ya tufeza baasi utu unaishia hapo.
 
Aisee mm mwenyewe nishawahi kuwa na manzi anawadogo zake wakike wakali mmoja akawa anajilengesha sasa sikwambii ndo umeoa sasa inakuwaje.
Acha tamaa, vijana mabachela wapo wakuwaoa hao mabinti, wew kazana na mkeo, wadogo zake hawakuhusu hawa mali yetu sisi wapita njia.....

Anyway una namba ya mmoja wao hapo niforwadie chapchap[emoji16]
 
Mke wako analet ndugu nyumbn
Wanakula vzr
Hawan stress

Mara zote ukirud home unawakuta na wao wanakutazam unawasaidia na wamekaa mjn hawan ata boy friend dada Yao na kajisahau kukulz kam Una njaa, kwann wasije na nyege na tukawakaza

Sis binadamu tunaish maish against our nature ndio maan tunateseka
 
Yaaan kumkaza shemeji ni kosa? Apana lazima nimkaze labda asije mjini kwenye maisha ya chumba na sebule
 
Mdogo wa girlfriend wangu alipogundua dadake ameenda chuo ikabidi ajenge mazoea ya kuja kwangu eti kunisaidia kufua na kupika kako f4 guess what alinitega mpaka nikaingia line kwa sasa ndo mpenzi wangu ila sasa ndo wamegombana hawaongei kabisa
 
Kuanzia miaka ya mwishoni mwa 80 hadi mwanzoni au katikati ya 2005 60% ya waliokuwa wakiharibu Ndoa za Wanawake ni Wadada wa Kazi.

Ila kuanzia katikati hiyo ya mwaka 2005 hadi leo hii nathubutu kuandika na tena kwa Kujiamini kabisa kuwa 99% ya Wanaoharibu Ndoa za Wanawake ni Wadogo zao wa Kike au Ndugu zao wa Kike wanaowaleta kutoka Vijijini kuja kuishi nao Mjini.

GENTAMYCINE ambaye ni Mwanasaikolojia wa Kuzaliwa na Tajiri wa Maono, Hekima na Busara nimekuwa nikiombwa na Wahanga wa Janga hili katika Kutatua na nashukuru Mwenyezi Mungu nyingi ya Ndoa huwa Nazitatua japo Binafsi sijaoa na sioni dalili zozote za Mimi kuja Kuoa kwani Kesi za Kimahusiano za kila Siku ambazo huwa Nazisuluhisha zimeshaniathiri na sioni tena umuhimu wa Kuoa.

Tukio nililolitatua leo kiukweli limenifanya nikiri kuwa Wanaume si tu ni Wahuni, Wanyanyasaji, sometimes ni Wapumbavu na tuna Ukatili mwingi.

Hivi inawezekana vipi Mkeo kwa Roho yake tu ya Upendo kaamua Kuleta Wadogo zake / Ndugu zake Watatu kutoka Kijijini Kwao Kyaka Nkunde au Ikupilipa Nkoba waje Kwenu ( Mume na Mke ) ili aanze Kuwasaidia kwa Kuwasomesha na hata kuwatafutia Kazi halafu Wewe Mwanaume kwa Tamaa zako za Kishamba unaamua Kuwakaza ( Kutembea ) nao Wote Watatu tena katika Kitanda unacholala na Mkeo wa Ndoa?

Kwa kusema haya siyo kwamba GENTAMYCINE sikazi au sipendi Mbunye ( K ) tena hiyo ndiyo Starehe yangu Tukuka ikifuatiwa na kupenda Mziki na Mpira ila huwa nafanya huu Uhuni wangu kwa Staha ( kwa Kujiheshimu ) ndiyo maana hata ukija Kitaa ukisema Mimi ni Womanizer ( Mpenda Mbunye ) Watu si tu Watakushangaa kwa Kutokukuamini bali wanaweza hata Kukupopoa na Mawe na ukajuta Kunichafua Kipenzi chao GENTAMYCINE na Mbunge nisiye na Jimbo.

Narudi kwa nyie Wadogo na Ndugu za Wanawake walioolewa mliotoka Vijijini hivi Roho zenu huwa haziwaumi kuona kabisa Unamsaliti Dada yako aliyekuleta Kukusaidia na Maisha Magumu uliyokuwa ukiyapitia ulipokuwa Unateseka na Maisha huko Kijijini?

Ombi Kuu kwenu Wanawake wenye Ndoa zenu kwa hali ilivyo sasa nawashauri acheni kuleta Wadogo zenu / Ndugu zake Mjini ili mkae nao na muwasaidie Kimaisha bali kuanzia sasa anzeni Kuwasaidia wakiwa huko huko Vijijini na mkijafanya kuwa na Huruma nao sana na Kuwapenda mno na kuwaleta Makwenu Mjini wakija Kuvunja Ndoa zenu kwa Kukazwa ( Kutiwa ) na Waume / Mabwana zenu msije Kutuita akina GENTAMYCINE tuje Kuwasuluhisheni kwani mnatuchosha na kutusumbua kwa kutosikia Kwenu Ushauri.

Kuweni makini mno katika hili sawa?
Naomba nicheki kwa simu yangu nina kitu unisaidie. Mimi sina utaramu wa kukupigia. Asante
 
Back
Top Bottom