Wanawake acheni kuleta Wadogo / Ndugu zenu wa Kike Majumbani mwenu, kwani Wanawavunjieni mno Ndoa zenu

Wanawake acheni kuleta Wadogo / Ndugu zenu wa Kike Majumbani mwenu, kwani Wanawavunjieni mno Ndoa zenu

Ili limekuwa janga la taifa kwakweli ukweli ni kwamba hawa ndugu wa wake zetu wakija wanakuwa na mitego ya kila aina kama mwanaume lijali huwezi kujizuia lazima upeleke moto vilivyo. Kingine wanaume tunaendeshwa na tamaa tu hakuna kingine
 
Mdogo wa girlfriend wangu alipogundua dadake ameenda chuo ikabidi ajenge mazoea ya kuja kwangu eti kunisaidia kufua na kupika kako f4 guess what alinitega mpaka nikaingia line kwa sasa ndo mpenzi wangu ila sasa ndo wamegombana hawaongei kabisa
Kwahiyo Mwenyewe unaona Sifaaaaaaaa......Bwege Wewe. Hukujiheshimu.
 
Kweli dunia uwanja wa fujo, kuna watu hili wanaona ni jambo la kawaida sana.
 
Shida sio wadogo zetu shida ni wanaume washenzi waso na haya wenye kutamani mashemeji zao na wadada wa Kazi kwa kweli hatuwezi kuacha ndugu zetu wasije kututembelea au wafanyakazi kutusaidia kisa kukosa heshima kwa mtu.
Alafu kushare de libolo wala kusiwakoseshe uzingizi vitu simple tuu
 
Aisee mm mwenyewe nishawahi kuwa na manzi anawadogo zake wakike wakali mmoja akawa anajilengesha sasa sikwambii ndo umeoa sasa inakuwaje.
Unapita nae tuu mzeya wanawake wamewekwa kwa ajili yetu tupate burudani jamni akijilengesha wewe gegeda tuu. Kwani mke akijua wats the worse that could happen? Afungishe virago wee unamuingiza dogo mtu chumbani mazima
 
Shida sio wadogo zetu shida ni wanaume washenzi waso na haya wenye kutamani mashemeji zao na wadada wa Kazi kwa kweli hatuwezi kuacha ndugu zetu wasije kututembelea au wafanyakazi kutusaidia kisa kukosa heshima kwa mtu.
Kwa sababu ni damu yako imekula chako inabidi uwe mvumilivu tu, hakuna namna.
 
Kuanzia miaka ya mwishoni mwa 80 hadi mwanzoni au katikati ya 2005 60% ya waliokuwa wakiharibu Ndoa za Wanawake ni Wadada wa Kazi.

Ila kuanzia katikati hiyo ya mwaka 2005 hadi leo hii nathubutu kuandika na tena kwa Kujiamini kabisa kuwa 99% ya Wanaoharibu Ndoa za Wanawake ni Wadogo zao wa Kike au Ndugu zao wa Kike wanaowaleta kutoka Vijijini kuja kuishi nao Mjini.

GENTAMYCINE ambaye ni Mwanasaikolojia wa Kuzaliwa na Tajiri wa Maono, Hekima na Busara nimekuwa nikiombwa na Wahanga wa Janga hili katika Kutatua na nashukuru Mwenyezi Mungu nyingi ya Ndoa huwa Nazitatua japo Binafsi sijaoa na sioni dalili zozote za Mimi kuja Kuoa kwani Kesi za Kimahusiano za kila Siku ambazo huwa Nazisuluhisha zimeshaniathiri na sioni tena umuhimu wa Kuoa.

Tukio nililolitatua leo kiukweli limenifanya nikiri kuwa Wanaume si tu ni Wahuni, Wanyanyasaji, sometimes ni Wapumbavu na tuna Ukatili mwingi.

Hivi inawezekana vipi Mkeo kwa Roho yake tu ya Upendo kaamua Kuleta Wadogo zake / Ndugu zake Watatu kutoka Kijijini Kwao Kyaka Nkunde au Ikupilipa Nkoba waje Kwenu ( Mume na Mke ) ili aanze Kuwasaidia kwa Kuwasomesha na hata kuwatafutia Kazi halafu Wewe Mwanaume kwa Tamaa zako za Kishamba unaamua Kuwakaza ( Kutembea ) nao Wote Watatu tena katika Kitanda unacholala na Mkeo wa Ndoa?

Kwa kusema haya siyo kwamba GENTAMYCINE sikazi au sipendi Mbunye ( K ) tena hiyo ndiyo Starehe yangu Tukuka ikifuatiwa na kupenda Mziki na Mpira ila huwa nafanya huu Uhuni wangu kwa Staha ( kwa Kujiheshimu ) ndiyo maana hata ukija Kitaa ukisema Mimi ni Womanizer ( Mpenda Mbunye ) Watu si tu Watakushangaa kwa Kutokukuamini bali wanaweza hata Kukupopoa na Mawe na ukajuta Kunichafua Kipenzi chao GENTAMYCINE na Mbunge nisiye na Jimbo.

Narudi kwa nyie Wadogo na Ndugu za Wanawake walioolewa mliotoka Vijijini hivi Roho zenu huwa haziwaumi kuona kabisa Unamsaliti Dada yako aliyekuleta Kukusaidia na Maisha Magumu uliyokuwa ukiyapitia ulipokuwa Unateseka na Maisha huko Kijijini?

Ombi Kuu kwenu Wanawake wenye Ndoa zenu kwa hali ilivyo sasa nawashauri acheni kuleta Wadogo zenu / Ndugu zake Mjini ili mkae nao na muwasaidie Kimaisha bali kuanzia sasa anzeni Kuwasaidia wakiwa huko huko Vijijini na mkijafanya kuwa na Huruma nao sana na Kuwapenda mno na kuwaleta Makwenu Mjini wakija Kuvunja Ndoa zenu kwa Kukazwa ( Kutiwa ) na Waume / Mabwana zenu msije Kutuita akina GENTAMYCINE tuje Kuwasuluhisheni kwani mnatuchosha na kutusumbua kwa kutosikia Kwenu Ushauri.

Kuweni makini mno katika hili sawa?
Imagine mdogo mtu ni pisi kama wanafunzi wa Sudan walio hamishiwa mhimbili .... hataka ni wew utavunga kweli alafu zina ugwadu hawaja kandwa mda mrefu .... just imagine 😳
 
Hizo dhana za kujiendekeza eti mwanaume ni kiumbe dhaifu pelekeni hukooo. Yani niache kukaa na ndugu zangu kisa tamaa ya jitu. No way.. ndoa nimeikuta ukubwani, ndugu zangu nimezaliwa nao na nimekua nao so nawajua. Wengine wanafanya ushenzi na jirani, watu wa mtaani etc. ni hulka ya mtu tu. Akishindwa kumuheshimu mdogo wako basi atakamata hata panzi. Kama ndo alivyoumbwa basi laana yake imtafune maana ataweza hata kubaka mwanae! Tuache kuendekeza hii kitu ya kuutukuza uzinzi. Mwanaume jiheshimu.
 
Back
Top Bottom