Wanawake acheni kuzaa na waume za watu ilihali waume zenu wapo

Wanawake acheni kuzaa na waume za watu ilihali waume zenu wapo

Literature has shown that and my research with world vision and USAID has clearly and categorically proved.
Its very clear
amin usiamini, maskini waliotajwa hapo juu (wa vijijin) wameridhika na hali zao, ispokuwa maskini wa mjini hao ndo nyoyo zao ziko juu juu! Shauri yako
 
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai

Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"

Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio

Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"

Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume

Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja

Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa

Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko

Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu

Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya

1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini

2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi

3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi

4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi

5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo

6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa

7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo

8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi

9. Wanawake weusi huchepuka zaidi

Asanteni
Hili jina langu la namugari ni kwamba nilikuwa nachepuka na mwanamke mmoja ambayo baadae alita kuzaa na mm ili ambambikize mume wake ,nilikataa kata eti alifika mahali nae analia kbsa ndipo nilipojuinga jf nikaamua kutumia hili jina la mchepuko wangu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai

Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"

Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio

Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"

Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume

Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja

Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa

Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko

Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu

Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya

1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini

2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi

3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi

4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi

5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo

6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa

7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo

8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi

9. Wanawake weusi huchepuka zaidi

Asanteni
Nimependa ulivyokuja na matokeo ya utafiti wako kuhusu akina mama na michepuko.

Tafadhali endelea na utafiti wako ujaribu kuuliza kwa nini kila kundi linachepuka (yaani sababu zao). Unaweza kuta unakuja na majibu ya kushangaza kweli kweli au ambayo hukutarajia.

Ukimaliza kukusanya hizo taarifa nakushauri uandike kijitabu kidogo. Wallahi utakuwa umechangia pakubwa kwenye jamii kwani kuanza kujua sababu ya tukio ndiyo mwanzo wa kulitatua.
 
Kweli Kuna kitu nilisikia eti wakati ukiwa njaa unakua na nyege Sana kuliko wakati umeshiba ndio maana maskini huzaa watoto wengi.
Fikiria mazingira ya vijijini na hasa nyakati za jioni. Mpaka miaka ya hivi karibuni ni kwamba jua linapozama familia inaingia ndani nyumbani, hakuna TV wala entertainment yo yote ile kwa hivyo kilichobaki cha kufanya ni hicho tu.

Jengine linalochangia ni pombe za kienyeji na hasa kama siku kuna zile ngoma za vijijini ndiyo kabisa mambo hunoga na hapo ndiyo kamata twende.
 
Wanawake huchepuka sana tangu zamani.Nilikuwa na rafiki zangu wawili ambao Kila mmoja alinieleza kuhusu dada yake aliyezaliwa kwenye ndoa ya mzee mwingine.Lakini ni jambo ambalo huwezi liongelea hovyo na ukibainika,mama mtu anaweza kukushitaki kwa wazee kwa kuvunja ndoa yake hata kama aliyeropoka ni mchepuko mwenyewe anashitakiwa mengine watajua mbele.Hadi Leo wale kina dada Wana wajukuu sijasikia vurugu yoyote.Ni kweli kama anavyosema mwandishi kina mama ndio wanaoharibu kwakutokutunza Siri.
 
Mwanamke anaezaa namchepuko anatakiwa apigwe mawe mpaka kufa

Kwasasa kuna wanawake wengi sana hasa hawa failures wanasema hawawez kuzaa na mwanaume mmoja ili kuepusha watoto wote wasije wakawa na mikosi ya familia ya mumewe kama ipo
 
Nimependa ulivyokuja na matokeo ya utafiti wako kuhusu akina mama na michepuko.

Tafadhali endelea na utafiti wako ujaribu kuuliza kwa nini kila kundi linachepuka (yaani sababu zao). Unaweza kuta unakuja na majibu ya kushangaza kweli kweli au ambayo hukutarajia.

Ukimaliza kukusanya hizo taarifa nakushauri uandike kijitabu kidogo. Wallahi utakuwa umechangia pakubwa kwenye jamii kwani kuanza kujua sababu ya tukio ndiyo mwanzo wa kulitatua.
Nitakuja na majibu soon
 
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai

Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"

Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio

Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"

Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume

Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja

Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa

Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko

Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu

Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya

1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini

2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi

3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi

4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi

5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo

6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa

7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo

8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi

9. Wanawake weusi huchepuka zaidi

Asanteni
cutelove habari ya Mwanza?
 
Kwanza jua kwenye ndoa ndiko kuliko na changamoto kubwa kuliko mahali pengine popote.

Pili juwa wengi wameingia kwenye ndoa bila sababu na wengine wameingia kwenye ndoa na sababu ila isio ya msingi.

Tatu nafsi ya mwanadamu haina mwisho wa kuridhika, ikipata hiki itatamani kile ikipata kile itatamani hiki, hii imepelekea utatanishi sana kwenye ndoa pale mlengwa anapokutana na kitu tofauti na alichokitarajia.

Mwisho wa yote mwanamke ndie anayebeba mzigo wote kwa sababu matokeo huonekana kwake kuliko mwanaume.

Ukiona mwanamke amezaa na mtu na mwanaume nje hali yupo na mwanaume nyumbani juwa lawama za kwanza kabisa ni kwa mwanaume.
Atakayemlaumu mwenzake kwa makosa ayatendayo kwaakili na ufahamu wake mwenyewe ni mjinga kabisa na hatumii hekima katika maisha yake. Fahamu hilo, nanakushauri usijitetee mbele ya Mungu kwamaneno hayo maana hayo majibu ndiyo yaliyotufikisha huku.
 
Hapo namba 1 nimekupata vizuri sana. Na shida nadhani ni umasikini.

Kuna siku nilienda mkoani hapo nikakuta kesi ya dada kutembea na mchungaji na kisha mumewe akajua mwanamke akawa mkali na mchungaji akisema kuna maono huyo mwanamke inabidi akakae kanisani ili kufukuza shetani anayeingia katika hiyo ndoa.

Ila sababu ni umasikini mchungaji anatumia sadaka na maombi feki kumhadaa mke wa mtu. Wanafamilia nao pande mbili zote wamekuwa kama misukule walirogwa.

Wanaona kabisa mwanaume anakosewa adabu na mkewe na anafanya umalaya na uhasi ila wanatoa macho na kutochangia chochote zaidi ya kumtazama yule mwanaume kwa macho ya huyu ni mchungaji usigombane nae sio vizuri.

Sasa yule mwanaume ukiomuona maisikini hadi anatia huruma. Ni wale vijana wa kijijini anaependa familia yake masikini na anapambana ili maisha yawe mazuri ila mkewe anamuangusha kupitia maswala ya imani na wana watoto wadogo.

Nikasema huyu kijana apate tu ujasiri tu achukue watoto awapeleke kwa bibi yao. Aondoke akatafute maisha mengine kimya kimya.
Duh heri wenye Moyo safi...........ana moyo sana huyo mwanaume

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai

Nimegundua wanawake wa watu wanapodate au kuchepuka na wanaume za watu huzaa nao pia na mbaya zaidi mwanamke humwambia mchepuko wake mtoto wake katika familia yao na mbaya zaidi anamwambie "Yule mwanao baba ake anampenda balaa"

Kesi nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa wanazaa na michepuko na wanawake muda mwingne wanashindwa kutunza siri hujikuta anawaambia wanaweka mashoga wenzio

Mfano *Mama x alienda kupiga stories salon moja na stories ziliponoga akawaambia" Siyo wew tu mbona na mimi nimezaa na mchepuko wangu na mme wangu anampenda sana mwanangu na hii mimba nahisi kama siyo ya mchepuko ni bahati kwa sababu siku nanasa huu ujauzito nilikutana na mchepuko saa 2 asubuhi jioni nikakutana na mme wangu ,hii inanipa utata mbegu ya nani iliwahi"

Mwanamke mmoja salon kampelekea habari rafiki wa mme wa mwanamke x na habari zikafika kwa mwanaume

Fujo zikaanza mwanamke x akakataa katakata kuwa alisema hivyo walikuwa wanasimuliana kwenye filamu moja

Kesi ikatufikia nilipombana mwanamke chemba peke yetu na kumtunzia Siri akakubali na nikamwambia umefanya makosa sana kusema na kama upo kwenye ndoa hata mchepuko hapaswi kujua kuwa umezaa naye,hii itakuvunjia ndoa

Rai yangu wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa zaeni na waume zenu acheni kuzaa na michepuko kwa misifa au kisa unapendwa na mchepuko

Wengine wafanya hivo kama kisasi kwa waume zao,kumbukeni watoto unaozaa watatunzwa na kulelewa na mme wako ,akigundua kuna kitu hakipo sawa unawapa watoto wakati mgumu

Kwa maelezo hayo nimefanya utafiti mdogo nikagundua haya

1,Wanawake wa vijijini wanachepuka sana kuliko wa mjini

2. Wanawake ambao wapo nyumbani bila kujishughulisha wanachepuka zaidi

3. Wanawake walioolewa ndoa za mitala wanachepuka zaidi

4. Wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii zaidi wanachepuka zaidi

5. Wanawake waliokatika ndoa yenye uchumi wa Kati wanachepuka na hasa na vijana wasio na mwelekeo

6. Wanawake single mothers hawachepuki sana ukilinganisha na walio kwenye ndoa

7. Wanawake waliohudhuria sekondari Kati ya kidato cha kwanza na cha nne wanachepuka zaidi kuliko msingi,six na chuo

8. Wanawake wenye makalio makubwa huchepuka zaidi

9. Wanawake weusi huchepuka zaidi

Asanteni
Aisee kumbe?
 
Back
Top Bottom