Wanawake acheni njaa za kishamba

Story ya 2019 unaleta leo hujui jana sio leo

Wanamke wamebadilika[emoji41]
 
Waawake pia sio wajinga...unakuta alikusoma tu kuanzia uandikaji wako wa texts hapa hakuna future...

Kwanini asijilie vya Bure?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vipi ulikula mbususu?
Wanawake wee nikugegeda mara tatu na kusepa
Mara tatu zote unatafuta nn oiga bao moja au mbili sepa mazima
 
Mapenzi bana. Umelalamikia mwanamke weeee,halafu mwishowe umerudi tena kwa mwanamke. Sa' ndio umefanya nini? 😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha wawakule hivyo hivyo.
 
kwa hiyo akikutumia ujumbe amekufa anahitaji hela ya nini?
 
😅😅😅😅 toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe,bwana anakuona mpaka moyon mwako🤗
 
Mwisho wa siku tunajua kwamba ulitaka kutuambia kua umechakata hiyo mbususu...
Haya, kahonge tena
 
Hizo sample ni za Dar kupata demu wa kuinjoy nae bila huo usumbufu ni nadra sana asilimia kubwa ya mabinti wa dar ni wauzaji niliwahi kuwa na mmoja kwa wiki anaweza kukabwa hata mara tano hapo atakwambia mkoba na simu pamoja na hela wamechukua hivyo anaomba umpe hela na kiukweli ni fix tu ,lakini pia alikuwa na misiba yule dada sijapata ona hiyo yote umpe hela aende msibani *****.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…