Wanawake acheni njaa za kishamba

Wanawake acheni njaa za kishamba

Story ya 2019 unaleta leo hujui jana sio leo

Wanamke wamebadilika[emoji41]
 
Waawake pia sio wajinga...unakuta alikusoma tu kuanzia uandikaji wako wa texts hapa hakuna future...

Kwanini asijilie vya Bure?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vipi ulikula mbususu?
Wanawake wee nikugegeda mara tatu na kusepa
Mara tatu zote unatafuta nn oiga bao moja au mbili sepa mazima
 
Habari ndugu zangu

Nakumbuka ilikuwa 2019 wakati natafuta mwanamke wakuingia nae kwenye mahusiano ya mapenzi, nilikutana na manzi mmoja kwenye daladala nikamuomba number ya simu akanipa nikawa nachart naye sana baada ya kupita kama wiki mbili nikaomba meet demu akakubali ila akaniomba nimpe hela ya nauli yakuja nikampa 5k

Baada ya muda mrefu kupita nikaona kimya sana nikampigia simu demu akaniomba msamaha akasema alipata ajali ya boda boda mguu wake ukapata jeraha akaniomba kama hautajali naomba hela ya matibabu bila hiyana nikampa 30k.

Nikampa gape ya wiki moja ili apone au apate haueni niombe meet nyingine demu akakubali akaniomba hela ya nauli nikampa 4k na kweli demu akaja, nilimuita kwenye bar mmoja hiv ya hapa dar

Binafsi niliagiza soda maana mimi sio mnywaji wa pombe yeye siku hiyo alipiga wisk 1 na Bavaria 5 me nikapiga soda 2 tukala nyama choma na ndizi pamoja na yote haya niweza kuangalia miguu yake sikuona hata kovu lolote nikajua kabisa nilipigwa.

Demu akuwa na haya wala haiba ya kike aikuishia hapo akaniomba nimsaidie kiasi fulani chakumsaidia sister wake ambaye yupo mahututi kutokana na ile hali nikaona hapa huyu sio mwanamke wakuwa kwenye mahusiano nilikuwa nawazo la kumtongoza ila nikaghailisha badala yake nikaona nitengeneze Mazingira ya kupiga game siku hiyo hiyo tofauti na hapo atanisumbua sana.

Hivi hawa wanawake Nani kawaroga alafu unakuta wanalalamika oh vijana hawaoi sijui nini ndio maana wanazalishwa na kuachwa kwasababu wengi wao hawana sifa ya kuolewa

Ila nashukuru Mungu mwaka Jana nikapata mwanamke wa ndoto yangu ambaye nipo naye mpaka leo
Mapenzi bana. Umelalamikia mwanamke weeee,halafu mwishowe umerudi tena kwa mwanamke. Sa' ndio umefanya nini? 😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha wawakule hivyo hivyo.
 
Duh we jamaa unatuma hela mapema sana kabla hata ya kujuana na mtu duh, aisee we kiboko, madanga mengi mjini ndivyo yalivyo pesa mbele , usishangae hata siku moja akakutumia message kuwa amekufa wakati yeye ndio anakutumia ujumbe. Hawa viumbe ni shida sana.
kwa hiyo akikutumia ujumbe amekufa anahitaji hela ya nini?
 
Habari ndugu zangu

Nakumbuka ilikuwa 2019 wakati natafuta mwanamke wakuingia nae kwenye mahusiano ya mapenzi, nilikutana na manzi mmoja kwenye daladala nikamuomba number ya simu akanipa nikawa nachart naye sana baada ya kupita kama wiki mbili nikaomba meet demu akakubali ila akaniomba nimpe hela ya nauli yakuja nikampa 5k

Baada ya muda mrefu kupita nikaona kimya sana nikampigia simu demu akaniomba msamaha akasema alipata ajali ya boda boda mguu wake ukapata jeraha akaniomba kama hautajali naomba hela ya matibabu bila hiyana nikampa 30k.

Nikampa gape ya wiki moja ili apone au apate haueni niombe meet nyingine demu akakubali akaniomba hela ya nauli nikampa 4k na kweli demu akaja, nilimuita kwenye bar mmoja hiv ya hapa dar

Binafsi niliagiza soda maana mimi sio mnywaji wa pombe yeye siku hiyo alipiga wisk 1 na Bavaria 5 me nikapiga soda 2 tukala nyama choma na ndizi pamoja na yote haya niweza kuangalia miguu yake sikuona hata kovu lolote nikajua kabisa nilipigwa.

Demu akuwa na haya wala haiba ya kike aikuishia hapo akaniomba nimsaidie kiasi fulani chakumsaidia sister wake ambaye yupo mahututi kutokana na ile hali nikaona hapa huyu sio mwanamke wakuwa kwenye mahusiano nilikuwa nawazo la kumtongoza ila nikaghailisha badala yake nikaona nitengeneze Mazingira ya kupiga game siku hiyo hiyo tofauti na hapo atanisumbua sana.

Hivi hawa wanawake Nani kawaroga alafu unakuta wanalalamika oh vijana hawaoi sijui nini ndio maana wanazalishwa na kuachwa kwasababu wengi wao hawana sifa ya kuolewa

Ila nashukuru Mungu mwaka Jana nikapata mwanamke wa ndoto yangu ambaye nipo naye mpaka leo
😅😅😅😅 toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe,bwana anakuona mpaka moyon mwako🤗
 
Mwisho wa siku tunajua kwamba ulitaka kutuambia kua umechakata hiyo mbususu...
Haya, kahonge tena
 
Hizo sample ni za Dar kupata demu wa kuinjoy nae bila huo usumbufu ni nadra sana asilimia kubwa ya mabinti wa dar ni wauzaji niliwahi kuwa na mmoja kwa wiki anaweza kukabwa hata mara tano hapo atakwambia mkoba na simu pamoja na hela wamechukua hivyo anaomba umpe hela na kiukweli ni fix tu ,lakini pia alikuwa na misiba yule dada sijapata ona hiyo yote umpe hela aende msibani *****.
 
Back
Top Bottom