- Thread starter
- #21
Ni kweli sio wote na ndio maana nikasema nina mwanamke niliyompata wa ndoto yangu ninayeishi naye hadi leo na imepita mwakaBora umueleze huyu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sio wote na ndio maana nikasema nina mwanamke niliyompata wa ndoto yangu ninayeishi naye hadi leo na imepita mwakaBora umueleze huyu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi ipo mlongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km yeye uwezo wake jero, lazima akimbie tyuuu.
upo sahihi na moja Kati ya wanawake hao ni huyu ambaye ninayeishi nae sasa hiviSiyo wanawake wote Wana tabia km za Malaya uliyekutana nae mkuu,wife material wapo wengi Tu mbona
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sijasema hivyo ebu soma vizuri uzi wote utapata jibuSiyo Wanawake wote wewe ulikutana na mpenda Kitonga.
Yah nilikula mbususu🤣🤣🤣🤣Vipi ulikula mbususu?
Wanawake wee nikugegeda mara tatu na kusepa
Mzee baba uwajui vizuri wanawake vizuri au huna experience kubwa kwenye hili ndio maana unaongea hivyo kuna wanawake wapo vizuri na kuna wengine ni matapeli by nature hata uwe wa namna ganiWaawake pia sio wajinga...unakuta alikusoma tu kuanzia uandikaji wako wa texts hapa hakuna future...
Kwanini asijilie vya Bure?
Wife material ni wachache sanaSiyo wanawake wote Wana tabia km za Malaya uliyekutana nae mkuu,wife material wapo wengi Tu mbona
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]We tulia ulikutana na jini maimuna, likajaribu kukufyonza damu.
Hizi kelele za mtandaoni haziwezi kuwarudisha kundini wale walioharibika, we saka aliyetulia jitulize nae.
Kuna wanawake wabovu na swaaafi.
Kuna wanaume miyeyusho na swafi.
Habari za kupotea Daby?Waawake pia sio wajinga...unakuta alikusoma tu kuanzia uandikaji wako wa texts hapa hakuna future...
Kwanini asijilie vya Bure?
Yah nilimgongaMzee ulifanikisha kula mndende ama?
Sasa si utulie nae huyo. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni kweli sio wote na ndio maana nikasema nina mwanamke niliyompata wa ndoto yangu ninayeishi naye hadi leo na imepita mwaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ipo mlongo[emoji23]
hatari sasa hiiMbona siku hizi wanaume ndio wanapenda kitonga? Na siku hizi hata aibu hawana kabisa shenzy kabisa nina hasira na wewe baba O and M.