Wanawake acheni.

Wanawake acheni.

Mkuu, kumbe kujizungusha kote huku.... Ulikua unatangaza biashara...
Weka wazi usaidie waathirika sio mpaka pm,kama una fanya biashara ya tiba mbadara weka wazi utambulike,, au huna kitambulisho cha kurusu kufanya biashara hadharani mpaka ujifiche huko private message
Not like that kila MTU anatibika kutokana na madhara alionayo sasa cwezi anfika gazeti xima
 
Hauja kosea, nkweli sina pesa ya kukukipa Boss.
Na kama basi hiyo tiba unaitoa bure, kwanini usiweke maelezo hapa ili wenye uhitaji wajitibie...!!??
Na unapo wahitaji wenye shida huko PM, nini lengo lako hasa....!!??
Basi ili urahisishe, Fanya kuweka mawasiliano yako hapa wazi ili uweze kuwasaidia wenye uhitaji kiroho sayona
Yoyote mwenye tatizo hatachangia chochote na kama ni dawa atanunua uko aliko pia siwezi toa no zangu hapa wengine hawanashida ila watadumbua tuu...ukija ukatozwa hela kashtaki popote...
 
Habarini wandugu,swala la mapenzi kinyume na maambile ni jambo la kufurahisha kwa wapuuzi ila ni jambo hatari sana kwa afya kwani hii hupelekea mwanamke kupata madhara ambayo hayatibiki.kitendo hicho huharibu kuta(muscle) za mkundu hali ambayo husababisha mama kutoa kinyesi muda wowote na pia wakati wakujifungua hutoa kinyesi kingi mnoo mpaka inamletea kupoteza nguvu,pia husababisha mwanamke kuwa na harufu mbaya hasa muda wa juto kuzidi,huharibu mawazo na kufanya awaze ngono kuliko kingine,hupelekea infection,hupelekea kutoka nyama mkunduni,huchangia kwa na shapelegevu.pia wanaume hupata madhara mengi kama infection,kuziba mkojo,kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa njia ya kawaida,kupoteza hisia za uanaume na mwisho huleta dhambi....karibuni pm kwa matibabu kama umekua affected pia kwa ushauri ili uache....asanten

Kwa madhara haya nayosoma hapa inamaana wengine hawayaoni au wanajitoa ufahamu[emoji848]ongezeko la michezo hii kwa KE na ME ni jingi
 
Back
Top Bottom