Umefikaje kwenye hili jibu kwamba kisa mungu alikataza mwanaume basi mwanaume ndo alianzisha.. Labda wanawake walikuwa wanafanya kabla ila hakuona shida,(ndio maana hakuna sehem iliyoandikwa)
Lakini walizofanya wanaume kwa wanaume ikawa chukizo ndo maana imeandikwa..
Unaonaje hapo... Mi sibishi nataka mawazo tu mchanganuo
Biblia inasema mfiraji na mfirwaji wote ni machukizo kwa Mungu..Ila biblia haijasema kama tigo kati ya mwanaume na mwanamke imekatazwa, sasa tunajuaje ni dhambi???
Na tunajuaje kunyonyana uchi si dhambi...
Au tunajipangia wenyewe
Je anayefanya mapenzi ya namna hii atauridhi uzima? Imeandikwa, 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."Ila biblia haijasema kama tigo kati ya mwanaume na mwanamke imekatazwa, sasa tunajuaje ni dhambi???
Na tunajuaje kunyonyana uchi si dhambi...
Au tunajipangia wenyewe
Mwili ni wako...hakuna anayepelekea,ni wewe unaamua ufanye ama usifanye
Hakuna wa kulaumu zaidi ya wewe mwenyewe
Ndio kwa wanaume na wanaume..Biblia inasema mfiraji na mfirwaji wote ni machukizo kwa Mungu..
Mkuu utakua mtumiaji wewe ndomana unatafuta justificatio ya maandiko kwenye vitabu vya dini
Sasa hii logic inatokana na nini, una ni attack mimi baada ya ku attack hoja iliyoko mezani
swala la mwanamke kuto kinyesi wakati wa kujifungua, lilishatolewa maelezo na madaktari kuwa halina uhusino na anal sex na kwamba ni kawaida, kitu ambacho si kawaida ni kutoa haja kubwa sehemu ya haja ndogo ama kutoa haja bila breki na tatizo hilo huitwa fistula na lina sababuHabarini wandugu,swala la mapenzi kinyume na maambile ni jambo la kufurahisha kwa wapuuzi ila ni jambo hatari sana kwa afya kwani hii hupelekea mwanamke kupata madhara ambayo hayatibiki.kitendo hicho huharibu kuta(muscle) za mkundu hali ambayo husababisha mama kutoa kinyesi muda wowote na pia wakati wakujifungua hutoa kinyesi kingi mnoo mpaka inamletea kupoteza nguvu,pia husababisha mwanamke kuwa na harufu mbaya hasa muda wa juto kuzidi,huharibu mawazo na kufanya awaze ngono kuliko kingine,hupelekea infection,hupelekea kutoka nyama mkunduni,huchangia kwa na shapelegevu.pia wanaume hupata madhara mengi kama infection,kuziba mkojo,kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa njia ya kawaida,kupoteza hisia za uanaume na mwisho huleta dhambi....karibuni pm kwa matibabu kama umekua affected pia kwa ushauri ili uache....asanten
Je anayefanya mapenzi ya namna hii atauridhi uzima? Imeandikwa, 1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
Kama watenda dhambi wengine wanao fanya mapenzi ya namna hii wameitwa kutubu dhambi zao. Imeandikwa, 1Timotheo 1:10-11 "Na wazinzi, na wafiraji, na waibao watu, na waongo nao waapao kwa uongo; na likiwapo neno lo lote linginelo lisilopatana mafundisho yenye uzima, kama vile ilivyo nenwa katika habari njema ya utukufu wa Mungu ahidimiwaye, niliyowekewa amana."
Yes legally you are attacking my character, not arguing/kubishana na the points nilizo toa..Mkuu your calling this an attack seriously[emoji57]
Yes legally you are attacking my character, not arguing/kubishana na the points nilizo toa..
Feeling attacked on open issues like this got me question your character anyways tufanye umeshinda mkuu
Hapana. Endelezeni majadiliano. Tunajifunza mengi.
Hapana. Endelezeni majadiliano. Tunajifunza mengi.
Umejibu vizuri sana!Mwili ni wako...hakuna anayepelekea,ni wewe unaamua ufanye ama usifanye
Hakuna wa kulaumu zaidi ya wewe mwenyewe
Wewe huleti hoja, unasema mimi natumia ndo maana natoa justification, hii ni nini kama sio attack on character, wasomi wanaita hii "Ad hominem" a logical fallacy of attacking the character instead of engaging with the topic of the argument[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa kama mkuu anafeel attacked utajifunza nini
Wewe huleti hoja, unasema mimi natumia ndo maana natoa justification, hii ni nini kama sio attack on character, wasomi wanaita hii "Ad hominem" a logical fallacy of attacking the character instead of engaging with the topic of the argument
Mi sijatoa justification, nimeomba jibu ni wapi kwenye maandiko wamekataza mwanamke na mwanaume kula 0713 ukiacha sheria za nchi, tunajua mapenzi ya jinsia moja yamekatazwa kwenye vifungu vingi tu, je hili?
Ningependa hata kujua Mila na desturi ya makabila yetu kama yamekatazwa maana customary laws zetu pia zinaweza kuwa msaada
PS. We are all learning here
Sijasema it's a fight, tunaeleweshana nimekuelewesha logically ulipokosea..Relax mkuu its not a fight ni kueleweshana tu maybe sijakuridhisha na majibu yangu ngoja wengine waje....
Note:si kila katazo lazima liwe na bandiko mengine madhara yake tu ni katazo tosha