Leon jeaph
Member
- Mar 9, 2019
- 88
- 82
Habarini wandugu,
Suala la mapenzi kinyume na maumbile ni jambo la kufurahisha kwa wapuuzi ila ni jambo hatari sana kwa afya kwani hii hupelekea mwanamke kupata madhara ambayo hayatibiki.k
Kitendo hicho huharibu kuta(muscle) za mkundu hali ambayo husababisha mama kutoa kinyesi muda wowote na pia wakati wakujifungua hutoa kinyesi kingi mnoo mpaka inamletea kupoteza nguvu,pia husababisha mwanamke kuwa na harufu mbaya hasa muda wa joto kuzidi,uharibu mawazo na kufanya awaze ngono kuliko kingine,hupelekea infection,hupelekea kutoka nyama mkunduni,huchangia kwa na shape legevu.
Pia wanaume hupata madhara mengi kama infection,kuziba mkojo,kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa njia ya kawaida,kupoteza hisia za uanaume na mwisho huleta dhambi.
Karibuni pm kwa matibabu kama umekuwa affected pia kwa ushauri ili uache.
Asanteni
Suala la mapenzi kinyume na maumbile ni jambo la kufurahisha kwa wapuuzi ila ni jambo hatari sana kwa afya kwani hii hupelekea mwanamke kupata madhara ambayo hayatibiki.k
Kitendo hicho huharibu kuta(muscle) za mkundu hali ambayo husababisha mama kutoa kinyesi muda wowote na pia wakati wakujifungua hutoa kinyesi kingi mnoo mpaka inamletea kupoteza nguvu,pia husababisha mwanamke kuwa na harufu mbaya hasa muda wa joto kuzidi,uharibu mawazo na kufanya awaze ngono kuliko kingine,hupelekea infection,hupelekea kutoka nyama mkunduni,huchangia kwa na shape legevu.
Pia wanaume hupata madhara mengi kama infection,kuziba mkojo,kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa njia ya kawaida,kupoteza hisia za uanaume na mwisho huleta dhambi.
Karibuni pm kwa matibabu kama umekuwa affected pia kwa ushauri ili uache.
Asanteni