Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

Ukikuta sikio liko hivi ,we piga ngwala ya kizamani jitwishe mabegani .
proxy.jpeg
 
Hahahahaaa!!

Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha kufanya ni kushika mkono, mnapitia Condom kwa Mangi, huyoo mnatoboa mpaka geto.

Ifuatayo ni list ya aina za hawa mademu

1) Wale wanaovaa sketi za aina hii

View attachment 1723784

Hawa ndo wanaongoza, we usiulize mara mbili, shika mkono, pitia condom, nenda kagegede. Ukimuonea huruma sana sana, labda umpe salamu !!!!!

2) Amevaa kikobasi cha manyoya, na suruali imeishia kwenye ugoko. Shika mkono --> Pitia Condom --> nenda kagegede.

3) Anayechanganya matumizi ya 'R' na 'L'.. Hapa inashauriwa kuanza na salamu, kushika mkono, kupitia Condom, nenda kagegede.

4) Anayevaa T-Shirt ndefu inafika mpaka kwenye magoti.. Anza na salamu, shika mkono muende zenu.

Ongezeni wengine jamani.

Kwanza tunajikinga na Corona, mda wa kutongoza unatoka wapi? Tupeane maujanja
5). Mwenye tattoo..
Shika tu mkono, ila kumbuka kuvaa condom angalau 3
 
Hahahahaaa!!

Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha kufanya ni kushika mkono, mnapitia Condom kwa Mangi, huyoo mnatoboa mpaka geto.

Ifuatayo ni list ya aina za hawa mademu

1) Wale wanaovaa sketi za aina hii

View attachment 1723784

Hawa ndo wanaongoza, we usiulize mara mbili, shika mkono, pitia condom, nenda kagegede. Ukimuonea huruma sana sana, labda umpe salamu !!!!!

2) Amevaa kikobasi cha manyoya, na suruali imeishia kwenye ugoko. Shika mkono --> Pitia Condom --> nenda kagegede.

3) Anayechanganya matumizi ya 'R' na 'L'.. Hapa inashauriwa kuanza na salamu, kushika mkono, kupitia Condom, nenda kagegede.

4) Anayevaa T-Shirt ndefu inafika mpaka kwenye magoti.. Anza na salamu, shika mkono muende zenu.

Ongezeni wengine jamani.

Kwanza tunajikinga na Corona, mda wa kutongoza unatoka wapi? Tupeane maujanja
Kama anapenda ku post picha zake mitandaoni.. shika mkono, vaa kondomu 6
 
Ukikutana na binti akakueleza siwaamini wanaume wameniumiza sana piga ngwala ya kizee inaitwa mjeki peleka kamfariji chumbani
 
Uzo mtamu endeleeni wazee, hasa wale mnaombatanisha na picha mnidai walau tips zenu
 
akiweka bleach kichwani, shika mkono > pitia kondom ya kwanza > pitia kondom ya pili > pitia kondom ya tatu > kagegede

akitoboa kipini puani, shika mkono > pitia kondom ya kwanza > pitia kondom ya pili > pitia kondom ya tatu > kagegede

ana tattoo, shika mkono > pitia kondom ya kwanza > pitia kondom ya pili > pitia kondom ya tatu > kagegede

akiwa na kichupa cha coconut oil kwenye pochi, shika mkono > pitia kondom ya kwanza > pitia kondom ya pili > pitia kondom ya tatu > kagegede

NB: izo ndom vaa zote kwa pamoja
 
Mkuu naomba habari za hawa hapa, kidogo wamejaa huku mitaa yetu.
1. Wanaochomekea dela kwenye chupi.
2. Wanaovaa skintight inapita dela.
3. Wanaotembea na kuliza sandals kwa kuburuza.


Natanguliza shukrani
Kwenye bra hawachomokei
 
Wenye visendo vya hivi, chukua namba, ita room, vaa condom zote zile tatu kwa pamoja
 

Attachments

  • FB_IMG_1615655943508.jpg
    FB_IMG_1615655943508.jpg
    38.5 KB · Views: 13
Ifike mahali tuwaheshimu kwanza Hawa wenzetu nao watajiheshimu.

Kama usemi usemao nyuma ya mafanikio ya mwaume Kuna mwanamke, na kadhalika nyuma ya anguko la mwanamke yupo mwanaume.
 
Back
Top Bottom