Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

Wapenda ofa baa,ww mpe tu, akimalizia mwambie "nishachukua chumba kabisa" hatokataa milele,utanikumbuka
 
Wengine ni hawa wanaotumia 'X' kwenye 'S'...hawa ukikutana nao hata wa kiume we shika mkono muondoke zenu mwaya...Hauna haja ya kubeba kondom maana huwa wanazo kwenye mikoba!!!
 
Hahahahaaa

Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha kufanya ni kushika mkono, mnapitia Condom kwa Mangi, huyoo mnatoboa mpaka geto.

Ifuatayo ni list ya aina za hawa mademu

1) Wale wanaovaa sketi za aina hii

View attachment 1723784

Hawa ndo wanaongoza, we usiulize mara mbili, shika mkono, pitia condom, nenda kagegede. Ukimuonea huruma sana sana, labda umpe salamu !!!!!

2) Amevaa kikobasi cha manyoya, na suruali imeishia kwenye ugoko. Shika mkono --> Pitia Condom --> nenda kagegede.

3) Anayechanganya matumizi ya 'R' na 'L'.. Hapa inashauriwa kuanza na salamu, kushika mkono, kupitia Condom, nenda kagegede.

4) Anayevaa T-Shirt ndefu inafika mpaka kwenye magoti.. Anza na salamu, shika mkono muende zenu.

Ongezeni wengine jamani.

Kwanza tunajikinga na Corona, mda wa kutongoza unatoka wapi? Tupeane maujanja
Tatizo tunaogopa kufa mapema kwa hayo Mabeduwi

Pita njia kuu Mchepuko sio Dili [emoji777]
 
Wale hata mwezi hamjamaliza anaanza kukuita bebe,hunpie,My,na majina za namna hiyo

siwezi hata jaribu fungua tu mdomo wangu kusema anything juu yao,nasubiri tu siku nimekabwa kiu...
 
Hahahahaaa

Yaani hizi type za hawa wanawake, wewe usijiangaishe kutongoza maana ni kama utakuwa unapoteza nguvu na maneno yako. Cha kufanya, endapo kama umekutana naye kwenye kona, wewe cha kufanya ni kushika mkono, mnapitia Condom kwa Mangi, huyoo mnatoboa mpaka geto.

Ifuatayo ni list ya aina za hawa mademu

1) Wale wanaovaa sketi za aina hii

View attachment 1723784

Hawa ndo wanaongoza, we usiulize mara mbili, shika mkono, pitia condom, nenda kagegede. Ukimuonea huruma sana sana, labda umpe salamu !!!!!

2) Amevaa kikobasi cha manyoya, na suruali imeishia kwenye ugoko. Shika mkono --> Pitia Condom --> nenda kagegede.

3) Anayechanganya matumizi ya 'R' na 'L'.. Hapa inashauriwa kuanza na salamu, kushika mkono, kupitia Condom, nenda kagegede.

4) Anayevaa T-Shirt ndefu inafika mpaka kwenye magoti.. Anza na salamu, shika mkono muende zenu.

Ongezeni wengine jamani.

Kwanza tunajikinga na Corona, mda wa kutongoza unatoka wapi? Tupeane maujanja
pole mkuu kwa kuachwa na mvaaji wa sket iyo
 
Huwa sijaelewa mechanism ya hyo skirt. Inawafanyaje had wasio na chura wanaonekana wana chura?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom