Wanawake ambao ukikutana nao, hutakiwi kutongoza, ila ukimkuta wewe shika mkono muende zenu

Wapenda ofa baa,ww mpe tu, akimalizia mwambie "nishachukua chumba kabisa" hatokataa milele,utanikumbuka
 
Wengine ni hawa wanaotumia 'X' kwenye 'S'...hawa ukikutana nao hata wa kiume we shika mkono muondoke zenu mwaya...Hauna haja ya kubeba kondom maana huwa wanazo kwenye mikoba!!!
 
Tatizo tunaogopa kufa mapema kwa hayo Mabeduwi

Pita njia kuu Mchepuko sio Dili [emoji777]
 
Wale hata mwezi hamjamaliza anaanza kukuita bebe,hunpie,My,na majina za namna hiyo

siwezi hata jaribu fungua tu mdomo wangu kusema anything juu yao,nasubiri tu siku nimekabwa kiu...
 
pole mkuu kwa kuachwa na mvaaji wa sket iyo
 
Huwa sijaelewa mechanism ya hyo skirt. Inawafanyaje had wasio na chura wanaonekana wana chura?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…