Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Duuh ulipata wapi ujasiri wa kuondoka na mtu usiemfahamu mpaka kwake and you spent the night hata kama alilala? Kuna mambo ya ajabu na viumbe vya ajabu

Kweli nimeamini binadamu tunatofautiana kwa mengi
Ahh wappp
Alikuwa amelewa.
Nimefika kwake kajibwaga pembeni kakoroma
Kumekucha akanipa changu
 
Ingekua mimi hata namba zao za simu ningefuta na wangekula block
Mimi hadi sasa nasumbuliwa na wadada 2 mtu na mama ake mdogo, ni marafiki zangu kitambo ila nilikuwa sijui kama wana kamchezo huko, ila walikuwa wakarimu sana jamani na mimi nikawa nawafanyia ukarimu japo walikuwa wanaonyesha kutokuhitaji, siku waliponifungukia nilishangaa na kwa kweli nilikimbia, kwanza walilewa sana na mimi situmii pombe, nikaamua kuwarudisha kwao ili nami niende kwetu, sasa ile nafika tu na kuwaingiza chumbani mmoja kufunga mlango Kasema hutoki leo, nikajua utani tu, wakatoa vifaa vyao pamoja na sex dolls kila saizi, nilitetemeka mno kidogo nizimie, sasa mmoja karukia titi mwingine kiuno na usumbufu mwingi, nilitumia Akili nyingi kuliko nguvu kuwakimbia, niseme tu imani yangu ndo iliyonisaidia vinginevyo ingekuwa kwisha habari yangu, maana ni kama wamesomea, Na tangu siku hiyo sijawahi kaa nao meza moja hata kwa maongezi Ila bado wananipa zawadi mbalimbali na hunifuata kazini ila nyumbani nimewapiga marufuku, hatari sana hawa watu
 
Bora umtaje ili aache hiyo tabia
Kipindi fulani nilikuwa natumia mtandao wa Facebook nikatumiwa Sms na Jamaa mmoja hivi ni Mwimbaji wa Nyimbo za Injili.

Alianza kunisalimia na baadae maongezi ya kunisifi yaakanza ooh Wewe mrefu oh sijui imeenda imerudi unaonekana una bonge la Mashine, mara kifua kikubwa nilichomwambia Hakuendelea tena na ujinga wake.


Yule ni hasara kubwa sana kwa Wazazi wake.
 
Unajua nilikuwaga nasikia ila yale majina wala hata sielewi ila nilipoanza kuona video zake ndo nilijikuta naanza kufatilia kwa kina hili swala likoje mwanzoni nilijuaga shoga ni mtu Ana tabia za kike bas wala sikuvuka mipaka zaidi ya hapo make nilijua haiwez
Mi nlikua najua. Shoga wanawake tu
 
Haha hilo fumbo sasa
Ndio jamii yetu hii ya unafiki unafiki!

Wao wenyewe wana kamsemo kao eti "maisha bila unafiki hayaendi".

Humu humu kuna wala tigo na waliwa tigo, walawiti, wafiraji, wafirwaji na wanaonajisi watoto. Lakini hutawasikia katu.

Wote humu tuna akili timamu, tuna pesa, magari na nyumba nzuri. Lakini pia tunamcha Mungu siku saba za wiki na kumtumikia masiha kwa kila namna!

Unabaki kujiuliza, hao mashoga wote waliopo Tangangika, hakuna hata mmojawapo aliyeko humu!!?? wale wafira mashoga nao hawapo kabisa!!??

Hivyo, endapo ningekuwa nakokotoa sampuli ya utafiti wa mitandaoni kuhusu ushoga, ningehitimisha kwamba, Tanganyika hakuna ushoga!
 
Hahahha umenikumbusha A level shule x ya boyz tulikuwa tunaogaga mabaf hayan milango kuna jamaa akanikuta naoga nilikuwa nishanyetuka kimoja kwaiyo mashine ilikuwa bado mnara dahh jamanaa alivyoona alianzaga urafik wa ghafla akawa ananitoa misosi kila siku mwisho wa siku akaomba nimchimbe choo dahh....... Ila sikumchimbaga nilimzingua sana mm nachukia ushoga kupita maelezo
 
Back
Top Bottom