Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Duuh ulipata wapi ujasiri wa kuondoka na mtu usiemfahamu mpaka kwake and you spent the night hata kama alilala? Kuna mambo ya ajabu na viumbe vya ajabu

Kweli nimeamini binadamu tunatofautiana kwa mengi
Ahh wappp
Alikuwa amelewa.
Nimefika kwake kajibwaga pembeni kakoroma
Kumekucha akanipa changu
 
Ingekua mimi hata namba zao za simu ningefuta na wangekula block
 
Bora umtaje ili aache hiyo tabia
 
Mi nlikua najua. Shoga wanawake tu
 
Haha hilo fumbo sasa
Ndio jamii yetu hii ya unafiki unafiki!

Wao wenyewe wana kamsemo kao eti "maisha bila unafiki hayaendi".

Humu humu kuna wala tigo na waliwa tigo, walawiti, wafiraji, wafirwaji na wanaonajisi watoto. Lakini hutawasikia katu.

Wote humu tuna akili timamu, tuna pesa, magari na nyumba nzuri. Lakini pia tunamcha Mungu siku saba za wiki na kumtumikia masiha kwa kila namna!

Unabaki kujiuliza, hao mashoga wote waliopo Tangangika, hakuna hata mmojawapo aliyeko humu!!?? wale wafira mashoga nao hawapo kabisa!!??

Hivyo, endapo ningekuwa nakokotoa sampuli ya utafiti wa mitandaoni kuhusu ushoga, ningehitimisha kwamba, Tanganyika hakuna ushoga!
 
Hahahha umenikumbusha A level shule x ya boyz tulikuwa tunaogaga mabaf hayan milango kuna jamaa akanikuta naoga nilikuwa nishanyetuka kimoja kwaiyo mashine ilikuwa bado mnara dahh jamanaa alivyoona alianzaga urafik wa ghafla akawa ananitoa misosi kila siku mwisho wa siku akaomba nimchimbe choo dahh....... Ila sikumchimbaga nilimzingua sana mm nachukia ushoga kupita maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…