Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Mm bana kuna jamaa bana tulifaamiana naye facebook mpaka kufikia kupeana no za whaspp uko sasa ndo balaa lilipo anzia akaanza kunambia ananipenda mixa akaanza kunitumia picha zake za mk""" uku akijitia vdole kipndi icho mm nipo mwanza yeye yupo dar

Nikaja dar sasa laaulah nikakukata nae live cku moja mitaa ya magomeni kagera sehemu moja iv panaitwa bae mpya mm moja kwa moja nikamkumbuka jamaa na yeye alivo niona akanipenda tena na akaanza kunitongoza tena ikabidi nimuulize kama ananimimbuka akanambia ndio ananikumbuka.

Nikamwambia c unakumbuka nilikwambia ukitaka nikupe kito""' nilikwambia unipe bei gani apo ndipo nilimkata mapoz akaacha kunifuatilia



Yaani mm mpaka najiona nina mkosi na hwa watu walisha nitongoza ata idadi yao cwakumbuki kila choko akiniona ananitaka cjajuwa nina kitu gani mpaka watu hawa wananipenda kiasi hichi wakiniona
 
Ndege wafananao huruka pamoja mkuu...
 
Siku hizi umeshazoea eeh?
 
[emoji23][emoji23] yani hawa watu wana kitu kimoja wanachofanana. Si watu wa kupanick na si wakata tamaa kiwepesi. Yani unamtukana yeye wala! Mamamamae!
 
Unabalaaaaa
 
Mimi nilitongozwa na malaika nikakata kabisa akaniahidi kufuta dhambi zangu kwenye kitabu cha hukumu lakini niligoma katu katu.

Nilimpa changamoto moja kuwa kama yuko tayari tukafunge ndoa na waje duniani. [emoji817]
 
Unamzungumzia malaika yupi, wa ndotoni au malaika band!!
Mimi nilitongozwa na malaika nikakata kabisa akaniahidi kufuta dhambi zangu kwenye kitabu cha hukumu lakini niligoma katu katu.

Nilimpa changamoto moja kuwa kama yuko tayari tukafunge ndoa na waje duniani. [emoji817]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee.
 
Kwa hiyo ulisagana?
 
umeamua kujitangaza waziwazi aisee.
 
Vipi ulifurahia tendo au ndoo basi bora laki mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…