Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wale wasiofanya mazoezi Wanaopigwa wanaamini wafanya mazoezi wana pumzi, hata mademu ukiacha mvuto wa mwili wanaamini una pumzi, sasa sijaelewa wanaofanya mazoezi halafu wanapigwa ni kwanini

Unaweza kuona pande la mtu halafu linapumuliwa
harufu ya nnya mnavumiliaje?
 
Nauli Dar-Nairobi 65k,Dar-Mombasa 30k
 
We dada wewe! Kwanini unapita pita huku!?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Nilipita tuu
 

Aisee kumbe haya mambo yapo hivi
This is so sad
 
Nimekupenda bureee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thanks mamii....
Yaani pamoja na kujieleza kote ila nashangaa bado katoka patupu.
Imebidi ajiongeze kurudia alikotoka huenda akapata uhakika....hahahah
 
Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni, almaarufu sana, yule kijana ndio mambo zake kusumbua sumbua wakulungwa wampakue...

Kuna wakati alikuwa akitumika kwa mzee Machache, baadaye Tibisiii, sijui kwa sasa yupo bado Tibisiii au alisepa kituo kingine...
 
sijawaga mchangiaji wa huu uzi naona unatrend kiaina since 2018, binafsi nishasumbuliwa na limbwa fulani hivi lizee limoja hivi nikaliblock na kulitukana smmmh hii kitu ni distigust kwa kweli, yaan lize linalia lia kuniomba eti linataka nilibandue nyaa.

kuna scenario ukikaa vibaya unaeza pata hasira yaaan dume mwenzangu kabisa.

kuna best yangu mmoja yan home boy wangu kabisa since day moko toka moshi, namjua tulisoma college na chuo kimoja hapa bongo, asee kuna muda nilitakaga nimwambie akae vizuri maana anamuonekano wa kike kuanzia mormphology yake mpaka kakaa yake ila ni men na hana ushoga wakutoa nyaa.

navojua kalelewa na madada zake mno tena, anachoniboa anakaa na mademu mno na zile kauli zake za 'jaman shogaa sijakuona siku nyingi yaan shost we acha tu mwenzako nkajua ushaolewa, mara hivi viatu vimekupendeza na icho kigauni jamani ila zile high heels zako zinanoga ' huu usenge niliuchukia kwa msela.

ila tumepotezana sana tena sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…