Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Sisi wengine hao ma gay hawawezi kutuzoea kabisa
 
Huyo wanamla mkuu km ndio anavtabia hvyo sema anafcha kwako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imebidi nicheke kama maziri loh
 
Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni, almaarufu sana, yule kijana ndio mambo zake kusumbua sumbua wakulungwa wampakue...

Kuna wakati alikuwa akitumika kwa mzee Machache, baadaye Tibisiii, sijui kwa sasa yupo bado Tibisiii au alisepa kituo kingine...
Acha kuyumbisha mambo we sema tu yuko mawingu sio kwamba hujui
 
Aaaahhh moyo wa mtu kichaka mzeee
 
Dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hatari sana
 
Hivi mnataka kuniambia kuwa humu ndani kuna wadada wanapenda sana kukunwa kiboga eeeh?

Kama wapo waniPM kidogo weekend hii niwashughulikie ila watanipa ya soda kidogo maana sinywagi bia mie[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Madame B jimama la nguvu! Nakukubali sana mtoto wa Dar es Salaam!
 
Naomba kuuliza..

Shule za boarding zinahusiana vipi na mwanume kubadilika kuwa shoga?????

Maana kuna mtoto wa miaka8 yupo darasa la3 nataka kumpeleka boarding wakuu ila baada ya kupitia huu uzi naanza kuwa na hofu.
 
kama analiwa itaniuma sana mkuu maana he was a good man to me, ila najua anapitia kuitwa itwa na huwa yupo serious ndio kinachomsaidia.
Unajua kunawengine ni mashoga smart mkiwa nae n kidume kabisa.... ila unakuta analiwa kisiri...!!! Huyu jamaa yko anza kuchunguza chart zake za fb, whtssp, insta na telegram na magroup anayochat nayo kwenye hzo social media!!!

Niko najiuliza kwann haya mambo ya watoto wa kiume kuwa machoko yamekuwa mengne kipind hiki cha miaka cha sera za dawa za uzaz wa mpango... kwasbb kwa elimu yangu ndogo hizi dawa huongeza kiwango cha hormone kwa wamama mwilini...ninachojiuliza ni je hawa wamama wanatumia hizi dawa baada ya kupata ujauzito zp mfumo wake wa hormonal imbalance hauwezi kuaffect kizazi kinachozaliwa?

Natamani nifanye study ya hawa machoko na wasagaji na ku compere past historia ya reproductive health ya mama zao...!!!
 
mkuu hizi dawa nilishazitilia shaka kitambo mno, huyu jamaa yangu tumepotezana muda na sijapata juhudi za kumtafuta muda mrefu tu. ila mkuu anabody na ngozi ya kike, napata shaka naye sana.
 
Naomba kuuliza..

Shule za boarding zinahusiana vipi na mwanume kubadilika kuwa shoga?????

Maana kuna mtoto wa miaka8 yupo darasa la3 nataka kumpeleka boarding wakuu ila baada ya kupitia huu uzi naanza kuwa na hofu.
Kuna huyu bwana anaitwa sigmund freud huyu bwana ana theories zake ya psychoanalysis anaeleze kwamba toka mtt anapozaliwa hadi anapokuwa mtu mzima kuna stage za makuzi (zipo kat ya 5 au 6) inabid azipitie akiruka hata moja bac hiyo stage atakuja kuifanya ukubwani...

sasa hapa kwenye boarding school ni kipindi ambacho umri watoto wengi hupitia kujitambua ktk sexual orientation kwa mujibu wa huyu bwana inatakiwa kuchanganyika na jinsia nyingine ili ajitambue kisaikologia na kimentality yy ni ke au me akishindwa kupita hyo stage tegemea kuja kuaharibika huko mbali... ndio maana tunataikiwa tuishi na watoto wetu nyumbani!!!

Nimejaribu kujielezea kwa ufupi sana ila kuna vitu vingi sana huyu jamaa anaeleza mfano watoto ambao waliacha kunyonyeshwa mapema na tabia zao ukubwani za kupenda kunyonya nyonya kuvuta sigara, kunywa pombe..!!! Kwa mujibu wa huyu jamaa hata ushoga unatokea katka hzo stage nashindwa kuandika zaidi ila Ukipata time nenda ka google "sigmund fraud and psychoanalysis "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…