Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Daaah..kibabu nilisoma nae..alikua ana element hizo toka mdogo..kiujumla familia yake walikua hivyo..very sad aseee.R.I.P kibabu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww utakuwa ulimla rafiki yko... haiwezekani utuletee ushuhuda kwamba ukila jicho huachi swali ww ulijuaje?
 
Ajawahi kukuambia alianzaje au Ali forciwa maan zidhani first day yey ndo aanze ,,wengi wanabakwaga udogonj
Alisema wala hajawahi bakwa, yeye ni feelings na alikua anapenda kuwa kama mwanamke tangu yuko mdogo, na mama ake anajua, nadhani hata hilo bit alilitoa akijua kabisa mwanae anafeelings za kike. Hajawahi kubakwa , na alianza rasmi kusex akiwa 15 years baada ya kujizuia kwa muda mrefu, so one day anasema ndo alisex na rafki ake mwingine walikua family friends na hiyo siku walilala wote na kujikuta wamesex , na ni first day alianza yeye kumseduce rafki ake huyo amgonge, then later akawa na uhusinao na shemeji yake , mume wa dada yake hadi walipohamia south Africa ndo wakaachana, na hata sister ake hajawahi kujua, so ni mngi sana hadi nikabaki mdomo wazi, alikua ananambia a lot sababu he was comfortable talking to me
 
Ww utakuwa ulimla rafiki yko... haiwezekani utuletee ushuhuda kwamba ukila jicho huachi swali ww ulijuaje?
No wala sijawahi na yani feelings zitoke wapi kwa mtu niliekua nae, namfahamu vizuri , tumecheza wote, ni kama ndugu yangu yani, siwezi hata kupata hisia, ni kama tumezaliwa tumbo moja, dah yani hata sijawahi kuwaza, me naona is just normal sababu siwezi kumchukia kabisa, na labda nimekua brainwashed so sichukulii serious sana izo issue na nawaona kawaida tu gays , yani sijawahi kukaa nikawawazia au nikawashangaa na kuwachukia, no naona tu ndio walivochagua kuwa ama ndo walivozaliwa so kwangu hainishughulishi kabosa mkuu labda ndo mana anakuwa tu comfortable
 
Mara nyingi watot wa kishua Wana haya matatzo cjui shida Nini labd diet na madaw wanayotumia wazaz wao wakiwa na mimba
 
Mshikaji wangu abuu aliwahi niambia ili jambo kwa mku.uuu wa shoga ni balaaa wa mwanamke ukasome....sasa naanza kuamini
 
Feel guilty? ? Ubaya upo ndiyo. Ufiraji /ufirwaji hakitakaa kuwa kitendo cha kiMungu hata siku moja,unhumanity! Mbwa mwenyewe hakosei !
Mimi kinachonishangaza Ni nyinyi watu ambao mnapinga hivi vitendo kwa nini mnakomaa kusoma neno hadi neno kwenye thread kama hizi..kwanini msizipotezee mkasome thread zingine tu huko intelligence au international au chit chat..hii inanionyesha kuwa Ni wanafiki na moyoni mnatamani kufanya haya
 
We bwege kweli!!
 
Namba 5 haihitaji hata Phd kujua,hata mwonekano tu anaonyesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…