wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,468
- 2,090
Mmmmh ya kweli haya mkuu.Bado hujafungua tu codes kaka?? Mbona jibu tayari kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh ya kweli haya mkuu.Bado hujafungua tu codes kaka?? Mbona jibu tayari kabisa!
Best kwani yule shemela wetu umempeleka wapi?[emoji39]Natafuta boyfriend Jaman
Sio xotik mkuu 😄😄. Kule yapo mengi.Ka blog flan hivi jina lake halitamkiki
Hapana hilo mbona jina tamuSio xotik mkuu [emoji1][emoji1]. Kule yapo mengi.
Basi sijaona kama alimtaja huyoNi huyo hakuna mwingine hapo kutoka Kwa mengi Hadi itv,Nani mwingine? Na story za town ni hizo kumhusu huyo jamaa au kuna mwingine?
Yani ukitoka hapo hutatamani wanaume tena. Bora uache tu.Ningemuacha nione mwisho wake, na hv hana uume hata nisingeogopa.. ngoja siku msagaji anitongoze ntatulia nione mwisho wake
Basi utakua we mkuu manake unakomaa na hiyo nafasiBasi sijaona kama alimtaja huyo
huna watoto wa kike?dada/ mama? shangazi???????Mi niseme ukweli tu kama ningekuwa sina watoto wa kiume ningeyapiga mapunga sana tu.. sema sasa naogopa watoto wangu nao wasijefanyiwa hivyo. Because what goes around comes around.Ila kwa wadada.. nawapiga mavi hasa. Na wenyewe wanapenda hiyo raha nawapa. Kama kuna dada anataka tupige game ani PM tu hamna noma
Mi niseme ukweli tu kama ningekuwa sina watoto wa kiume ningeyapiga mapunga sana tu.. sema sasa naogopa watoto wangu nao wasijefanyiwa hivyo. Because what goes around comes around.Ila kwa wadada.. nawapiga mavi hasa. Na wenyewe wanapenda hiyo raha nawapa. Kama kuna dada anataka tupige game ani PM tu hamna noma
Kibabu haja dead,we utakua unasema yule rafiki ake alikua anaitwa babu gJamaa alifariki nadhani 2018 au 2019..hatunae tena kitambo sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiongeze bhana....Angekuwa hajazima drilling ulishajiandaa nayo?
Tupia mafile hayo[emoji2097][emoji2097][emoji2097] Baada ya kupitia mafile huku JF ndo nimeamini aisee. Na Dudu Baya aliwahi kumtaja kwenye ile list
Hii namba moja alivyokuwa anamnanga mwenzake anajifanya ana mafile yake mengi ya kwenda marekani mara kwa mara kumbe na yeye mdauKaka mjini kuna mambo acha kabisa!
1. Msemaji wa Lion's Club naye alikua anakuliwa
2. Iddy Kikanga!
3. Mtangazaji wa ile show ya mchana ya pale mawingi,Ila kwa sasa kahamia Elizabeth FM anaitwa kumi na mbili
4. Tajiri wa Elizabeth FM, boss mfupi ndiyo alikua anamkula huyo kumi na mbili
5. Nasikia hata Projects Miayo watu wanapapasa
6. Bin Nyainyai wanapakua pia
Tupe jinaSio exotic Kaka huko mtandao mmoja una jina la kibongo mashoga humo wanajiuza wengine wanataka watu wa kuwagonga na wengine shemales pia wanafuta watu humo kwenye huo mtandao ukiandika nataka bottoms alafu ukataja sehemu unayotokea ukaandika no yako au email yako message sio muda zinaanza kuingia
O
Mwenye kuelewa anieleweshe hapa...kabla sijamtoa mtu damuBasi utakua we mkuu manake unakomaa na hiyo nafasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ukiwa na pesa za kwenye iyo profile yakoMi nawakwepa ila ninapoelekea ntawatafuna
Naelekea kufeli huu mtihan ni wengi hata kumi wanafika nawakwepa kiana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ukiwa na pesa za kwenye iyo profile yako
TNG(Tanzania Network of Gay) nilikutana nao bahati mbaya nikikosea spellings katika kusearch nikajikuta uko inasikitisha sanaSio exotic Kaka huko mtandao mmoja una jina la kibongo mashoga humo wanajiuza wengine wanataka watu wa kuwagonga na wengine shemales pia wanafuta watu humo kwenye huo mtandao ukiandika nataka bottoms alafu ukataja sehemu unayotokea ukaandika no yako au email yako message sio muda zinaanza kuingia
O