Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Dah mkuu ngoja nisiendelee. Ila jamaa anaongea kama demu kabisa
Maana kuna jamaa nilischool nae anajina kama ilo sauti yake sasa wema sepetu akasome alaf alivyojaaliwa kiuno nyigu alaf tako limetokeza akiwa kwa mbele kama humjui unaweza sema hamisa mobeto aisee alaf mtu wa kaskazini
 
Maana kuna jamaa nilischool nae anajina kama ilo sauti yake sasa wema sepetu akasome alaf alivyojaaliwa kiuno nyigu alaf tako limetokeza akiwa kwa mbele kama humjui unaweza sema hamisa mobeto aisee alaf mtu wa kaskazini
Huyu anasema alisoma dodoma na alianza hayo mambo form 2 na hajawahi kuwa na mahusiano na ke yeyote mana hajisikii kabisa anaongea mambo ya balaa sana amekula block .
Acha niishie kwenye hizi Zambia nlizokuwa nazo tu
 
Hata humu yamo na utayajua tu maana hayawezagi kujificha,mfano kuna member mmoja kila mada au comment itakayotaja ushoga lazima apite hapo...Asee haya makitu ni [emoji706] kabisa!
 
Transgender mbna unawazungumzia mkuu? Au mie ndo sielewi?
Shemale najua anazaliwaa natural, ila transgender ndo wanaofanya surgery.
Transgender Ni Mtu anafanyiwa upasuaji kubadili sehemu za Siri kua za upande wa pili
 
Yeah iko hivo ndo maana nikasema tboys tranny sio natural hawapo wa kuzaliwa,ila kwakua ni ulimwengu tu umekuwa ovyo
Yeah!
Hakunaga shemale Wala tranny wa kuzaliwa.

Wale wanakua Ni wanaume pure.
 
Ufafanuz mzur Sana[emoji106]
 
Kwaiyo wale shemales ni mpango tu wa mabeberu kutuvuruga kisaikolojia
 
Mgeukie Muumba wako hujachelewa kama uko hai bado
 
mhhh!!! waliwa mata.ko, utawajua tuuu. Vp bado waliwa ta.ko au umekoma?
 
Wasagaji Facebook wananisumbua mpaka kero leo utablock huyu kesho kaibuka mwingne,wanaanza kuja inbox atakuchatisha wee umeamkaje umeshindaje zinakuwa nyingi paap unaulizwa unasagana ukimjbu no unatumiwa picha za utupu aisee ni shida.
 
Wasagaji Facebook wananisumbua mpaka kero leo utablock huyu kesho kaibuka mwingne,wanaanza kuja inbox atakuchatisha wee umeamkaje umeshindaje zinakuwa nyingi paap unaulizwa unasagana ukimjbu no unatumiwa picha za utupu aisee ni shida.
hayo ni makenya na sura zao ngumu kama midume. Wanawake wa kenya ndo wamekithiri kwa kufanya huo upumbavu wa kusagana, sijui kisa haitongozwi kwa kukosa sifa za kike?
 
Mmmh !!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23] daaah una roho ngumu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndyo warumi alituchanganya

Mara mwanamke Mara mwanaume

Jf ngumu Sana kuielewa

Rip dada/kaka
 
Sijawahi kutokewa na ninaomba kwa Mungu nisitokewe maana
1.Ni mkosi mkubwa ukiwa mwanaume kutamkiwa au kufanyiwa hayo huku una jinsia yako iliyokamilika.

2.Inakuondolea ujasiri wa kimaamzi imagine mwanaume tu aliyewahi kufanyiwa unyama na wanaume huwa hayuko huru na wengine hujinyonga kabisa.

3.Ni kinyume na maadili ya dini na mila zetu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…