Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Fact
 
Duuh
 
Duuuh
 
Sasa hukuacha kazi?
 
Malizia story we itakua ulimbandua tu
 
Mimi nilitongozwa na mwanafunzi anayesoma sekondari ya ILALA KASULU KATA YA ILALA WILAYA YA ILALA DAR ES SALAAM MWINGINE UHURU MCHANGANYIKO MWINGINE NI MPEMBA MUUZA NGUO PALE BUGURUNI MALAPA HATA UKIENDA JIONI HII YUPO DUKA LIPO UPANDE WA KUSHOTO KWAKO KAMA UNATOKEA KARIAKOO NAMNA YA KUMFAHAMU USIKU HUPENDELEA KUKAA NJE YA DUKA NA KITI KIREFU BAADA YA KUFUNGA DUKA HUTAFUTA MABAHASHA MAENEO YA ILALA SOKONI MASHOGA NI WENGI SANA HATA SERIKALI YA TANZANIA INAPOKEA FEDHA NYINGI KWA AJILI YA KUWASAIDIA MASHOGA ILA MWIGULU NA SAMIA WANAPIGA SERIKALI YA TANZANIA IMEISAINI MKATABA KIMYAKIMYA BILA KUTANGAZA KWA WANAINCHI MAANA NI JAMBO LA AIBU
 
Jitu kubwa,jeusi zee la mazoezi,hahaa nimekupata
 
Duuuh
 
mwanafunzi wa form ngapi? Haw na ujasiri huo
 
Mimi sikutongozwa ila nilijichanganya kwa shoga.

Kitu kama 2012 hivi Sinza kuna club moja ilikua inaitwa sanciro,kwa sasa naona kama wamebadiri biashara haipo tena

Club ilikua ya moto sana kwa upande wa sinza na wahindi na waarabu walikua wanaipenda sana.

Siku hiyo niko na wanangu kaboom kametoka, tukaona ngoja tukajibless kupunguza machungu ya kunywa chai na mkate kwa siku mara tatu.

Tumeingia ndani,tukakaa juu gorofani,baada ya mbili tatu kichwa kikawaka basi kila ngoma ikipigwa inanoga,nikaona sio kesi ngoja nishuke chini nikacheze mziki kidogo.

Kufika chini nikaona toto afcast ya kibongo na kihindi,inakata kiuno na kunengua balaa,basi nikaisogelea tucheze wote

Ile kuishika kiuno ikatulizana,tukaendelea kucheza pale fresh,miuno kama yote,akinikumbatia mixer kunilamba shingoni.

Bada ya muda nikapanda juu ili niwapange wadau kuwa kuna toto pale naplan nisepe nae akielewa kwahiyo wao wahakikishe wanalewa sana ili pombe ijue wao watalala wapi.

Sasa zile za chuo wakiona demu mkali halafu useme wako lazima wabishe mpaka uwape ushahidi,ndio akatokea mwamba mmoja akasema yule demu hawezi ondoka na wewe usituchanganye hapa kwa hela gani mbwa wewe.tukabishana ndio jamaa akasema ngoja akamkate marks(kumthaminisha)

Nikashangaa jamaa akarudi anacheka sana,kumbe nae ashawah kumuona kabla,ndio akawambia wadau kuwa mimi nataka kula shoga,nikashtuka balaa kivipi

Akaniambia yule sio demu ni punga lile,tukajibeba wote kwenda kuhakikisha, dah kumbe kweli bana

Pale pale nikaanza kusikia kichefuchefu,nilitoka nje nikatapika sana,yani kiupepo kikipita tu nikahis harufu yake natapika na nikikumbuka nilikusisha nae lips basi natapika zaidi.hadi wadau wakacha kunicheka na kuanza kunipa huduma ya kwanza kunimwagia maji.

Tukaondoka muda huo huo na ndio ilikua mara yangu ya mwisho kwenda sanciro hadi imefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nyie straight acheni kufuata gays ili mpate pesa,
Wamejaa sana mtaani, kutwaa kutaka gays wenye pesa ili wafaidike.

Gay anatongoza straight, namuona km ameishiwa vilee. Lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi mbavu zinaumaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…