Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Afande usibishe wateja wa mbagala ni siku za holiday tu pale Hadi kuna photographer mashoga
Nakubaliana na ww tena wao wapo muda wote utawakuta wanacheza cheza pale juu kwa dj wanaonekana tu
 
Kuna siku(last wikiend)nipo zangu hapo rongoni na demu angu mida ya saa 10 jioni,tumepoa ile kinyamwezi tu,tunaenjoy breeze na vinywaji mbele yangu naona kuna meza wamekaa watu wanne wanaume wa 3,na demu mmoja.

Wanaume wawili kati yao ni wenye asili ya asia(wahindi).

Wengine ni wabongo tu,ja maa walikuwa wanakula gambe na kiepe na mambo yao mengine,wale wahindi walikuwa wanakula sana gambe asee,baada ya muda kidogo gambe lao likakata muhindi mmoja akainuka,akaanza kuvua nguo ili akaogelee,picha linaanza anatoa mtandio kwenye rasket anajifunika then anabadili nguo..

Ile kuvua suruali jamaa ana shanga kiunoni,daaah aseee nilishangaa kinoma yaaani,nikajikuta natukana mbele ya yule demu angu ,ye akaanza kucheka sana,coz niliona soo kinoma,muhuni alikuwa anatuchoresha sana vidume pale beach asee.

Basi mwana akaenda kuoga zake,akiwa na mshakaji mmoja ambaye alikuwa anaonekana ni beach boy tu,jamaa full kuweka mapozi ya kike coz alikuwa anapigigwa picha na kale kademu pale.

Muda mfupi badae yule mwana mwingine sasa ambaye ni muhindi pia akainuka akazama zake kwenye maji pale wakaanza kucheza cheza pale mbele ya watu hapo,hata hawajali wala nini asee.

Wakaoga palee mpaka walipoona wamechoka mwana mvaa shanga akatoka zake akaja kufua boxer za jamaa yake akazianika kwenye moja ya matairi makubwa pale pembeni ya bahari.

Uvumilivu ukanishinda nikamwambia demu angu twenzetu feri tukanunue mboga twendezetu getto mitaa ya magogoni tupike tule tu.Dah
Wahindi ndo tabia zao
 
Afu baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, hivi kuna la ajabu katika suala la mwanamke kuliwa mata.ko?
Ni sunna kama ilivyo kwenda chumvini.
Tena ukikutana na mwanaume anayejua anachofanya, very fantastic.
Na kama hataingiza nyuma...nitamruhusu aingize kidole.
Hakuna la ajabu.
Wengi sana wanafanyiwa huu mchezo, ila ukikutana nae katikati ya mada, atajifanya mlokole....hanyonywi kisimmi wala kufirw.a
Mscheeeeeeeeeeeeewwwwwwwww!!!!!!!!

Nimekuquote wewe ila ujumbe umeenda kwa wengine.
Mchana mwema.
Watu hawajui fantasy ya kufanywa huku unaingizwa kidole kwenye ndogo aseeee, afu jamaa awe rough in sex utainjoy
 
Kuna siku(last wikiend)nipo zangu hapo rongoni na demu angu mida ya saa 10 jioni,tumepoa ile kinyamwezi tu,tunaenjoy breeze na vinywaji mbele yangu naona kuna meza wamekaa watu wanne wanaume wa 3,na demu mmoja.

Wanaume wawili kati yao ni wenye asili ya asia(wahindi).

Wengine ni wabongo tu,ja maa walikuwa wanakula gambe na kiepe na mambo yao mengine,wale wahindi walikuwa wanakula sana gambe asee,baada ya muda kidogo gambe lao likakata muhindi mmoja akainuka,akaanza kuvua nguo ili akaogelee,picha linaanza anatoa mtandio kwenye rasket anajifunika then anabadili nguo..

Ile kuvua suruali jamaa ana shanga kiunoni,daaah aseee nilishangaa kinoma yaaani,nikajikuta natukana mbele ya yule demu angu ,ye akaanza kucheka sana,coz niliona soo kinoma,muhuni alikuwa anatuchoresha sana vidume pale beach asee.

Basi mwana akaenda kuoga zake,akiwa na mshakaji mmoja ambaye alikuwa anaonekana ni beach boy tu,jamaa full kuweka mapozi ya kike coz alikuwa anapigigwa picha na kale kademu pale.

Muda mfupi badae yule mwana mwingine sasa ambaye ni muhindi pia akainuka akazama zake kwenye maji pale wakaanza kucheza cheza pale mbele ya watu hapo,hata hawajali wala nini asee.

Wakaoga palee mpaka walipoona wamechoka mwana mvaa shanga akatoka zake akaja kufua boxer za jamaa yake akazianika kwenye moja ya matairi makubwa pale pembeni ya bahari.

Uvumilivu ukanishinda nikamwambia demu angu twenzetu feri tukanunue mboga twendezetu getto mitaa ya magogoni tupike tule tu.Dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afande usibishe wateja wa mbagala ni siku za holiday tu pale Hadi kuna photographer mashoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kigamboni mashoga wamejaa teleee, tena wengi ni wanafunzi wa IFM na MNMA.
 
Kuna mwaka nilikuwa Mbeya, kama kawaida nilikuwa nakula Bata Club Moja inabamba sana. Iliitwa Maisha Club, nikiwa ndani nikakuta jamaa ananisalimia. Sikuona shida. Akaniomba nitoke nje ana jambo la kuzungumza
Kutoka nje akawa anamung'unya maneno aisee nilihisi laana katika maisha yangu.

Nikirudi ndani nikabeba Alter wine yangu nikasepa kulala. Nilijipiga ban kwenda miezi miwili Natafakari.
 
Kuna mwaka nilikuwa Mbeya, kama kawaida nilikuwa nakula Bata Club Moja inabamba sana. Iliitwa Maisha Club, nikiwa ndani nikakuta jamaa ananisalimia. Sikuona shida. Akaniomba nitoke nje ana jambo la kuzungumza
Kutoka nje akawa anamung'unya maneno aisee nilihisi laana katika maisha yangu.

Nikirudi ndani nikabeba Alter wine yangu nikasepa kulala. Nilijipiga ban kwenda miezi miwili Natafakari.
Uongo mtupuuu huu. Lol
 
Nilikua Arusha.., nimeingia Triple six kusakata raha..
Nimekaa ktk kona moja nawinda kwa macho nione mtoto mzuri nimsalindie.., hamadi nasikia mkono unanipapasa mbele hapa ktk zipu ya jeans yangu... Nikapata matumaini, hapa na mie kumbe nimedondokewa na zali la mentali..

Kutazama mkono unatokea wapi ..., lahaulaaa... [emoji134] , toba yailahi.., kijana shombe shombe ananitazama kwa matamanio huku akijing'ata ng'ata vidole...
Kilinitoka kibao hicho..., na raha zote ziliishia pale pale..!

Hiyo ilikua ni mara ya pili kutokewa na shoga.., hapa Dar yalishanikuta pia.

Kwa kweli kutokewa na shoga inafedhehesha sana..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom