Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Kwanza kabisa niwaambie kitu wabongo tuache unafiki....asilimia kubwa ya watu humu waliochangia wanadai kuwa wao ndo wametongozwa sio kutongoza hao wajinsia sawa na wao,wamedai pia wamewatolea nje hao mashoga...
Ipo hivi,nimewahi kufanya utafiti au kutaka kujua huko kwenye mapenzi ya jinsia moja hasa kuna nini? .Basi nikaanza harakati hizo kuingia katika mitandao yao(siwezi kuitaja hapa) nilichogundua ni kama ifuatavyo;-
Moja,kuna watu wengi sana vijana kwa watu wazima wamo katika hii michezo ambao ukitajiwa utabaki mdomo wazi ila kimsingi wapo wengi sana,
Mbili,sio mashoga wote wapo kama wanawake kuna watu ambao yupo kiume sana yaani mshikaji zaidi lakini ni shoga tena anapigwa sana yaani kama mwanamke,
Tatu,Kuna watu wazima wenyepesa zao unaweza kukuta hata humu wapo wanawashawishi vijana wakiume kuwa nao katika hayo mapenzi iwe kwa wao kuombwa kufanywa au kuwafanya mwisho wa siku hao vijana wanasambaza kwa wengine.
Nne,mitandao ya kijamii hasa fb na Instagram kimekuwa kichocheo kikubwa kwa watu kutongozana na urahisi kwa watu kufanya hivi vitendo.
Tano,ni watu wenye Siri kubwa sana katika hizo tabia kiasi kwamba huwezi kugundua kuwa wamo ila kiukweli kuna tatizo
Sita,kingine nilichokuja kugundua ni kwamba ni kitu ambacho kina nguvu sana kiasi kwamba ukishajiingiza kutoka sio rahisi maana kuna wengine wameingizwa na watu au walifata mkumbo au vyovyote vile ila wanataabika sana kutoka hasa vijana akifikia muda sasa wa kutaka kusettle na kuwa na familia wanashindwa na kuhisi kwamba watajulikana...
Kuna Mengi sana ambayo jamii haijui kuhusiana na hayo mambo ya LGBTQ,hivyo kujudge juu juu hatuwezi kupata solution ya maana...
USHAURI
Hasa kwa wazazi tuwe karibu sana na vijana wetu wakiume kwa ukaribu sana hii itakusaidia kumgundua mapema kama ameanza hizo tabia kwa sababu kuna viashiria vya mapema japo wengine wanafanya kwa Siri kubwa sana kama huna uelewa na hayo mambo huwezi kungundua
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
Uvaaji wenu wa siku hizi ndiyo umeleta haya! Pengine kijana alivaa kisuruali cha kubana bila kusahau hereni za kubandika na juu kuweka kiduku...mwana akajua ni mali mpya [emoji23][emoji23]
 
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Kila siku tunasoma tu kwenye mitandao mambo ya usagaji na Ushoga katika kila jamii. Nina imani kama hali hii ipo lazima yamemkuta mwenzetu humu mmu labda kwa kutokewa au kuwa na uhusiano wa hali hiyo.

Kwa yeyote aliyewahi aje atupe ilivyokuwa alipotokewa kwa mara ya kwanza na kama alikubali au alikataa alikurana na changamoto zipi. Nianze na mimi mwenyewe nimewhi kusumbuliwa na boss wangu mmoja wa kiume kule mombasa nilikuwa kuwa field attachment, by then yule jamaa alikuwa front office manager, mtu wa mtaa mmoja unaitwa kibokoni, kwa wasafiri wengi wa mji wa mombasa huu ni mtaa wa mashoga wengi, nilipata wakati mgumu mpaka nikawa namkwepa mwisho nikaacha field attachment kwa sababu tofauti.

Alikuwa hana aibu nakumbuka kabla sijamjua tulienda wote nje usiku mmoja kula nyama choma na kuongea mawili matatu, wote tulikuwa hatunywi pombe lakini huyu jamaa alikuwa ameniambia atachelewa kwenda mjini ambapo ni kwake kwa hyo tukatoka na kwenda kupata nyama choma, nilikuwa na muhisi ana mwagiwa maji nikasema acha nijionee, kwa usiku ule akishindwa kunitamkia live lakini alikuwa anajilegeza.Nakumbuka nilimuuliza ulisema unataka tuongee usiku unazidi vipi?

Alinijibu vitu tofauti mwisho nika jiongeza na kumuuliza kwa kiingereza "Abdio samahani kama nitakukera naomba nikuulize kitu.. Akanijibu bila smahani kede,uliza tu.Nikamuuliza are you gay? Hakunijibu aliitikia kwa kichwa kama mtoto wa chekechea,nikajiskia vibaya sana.

Akafunguka mengi sana akaniambia niwe na siri na kadhalika nikamjibu kuwa nitampa jibu,kipindi hicho simu za mkononi kama zilikuwepo mimi sikuwa nayo it was in 1997/98.Usumbufu ulikuwa ule wa live.Huyu jamaa alikuwa shoga.

Bwana Abdio nakukumbuka sana sijui kama uko hai. Samahani mimi sio mwandishi mzuri.
Mbona mwandiko wako unaakisi kuwa wewe Ni mmoja wao? Au ndo marketing strategy? Biashara matangazo.
 
Facebook na Badoo nishawai tongozwa na mashoga wakisifia eti nimependa weusi wako unanivutia ,nikiona ivyo namblock kbsa staki huo upuuzi....
 
Nakumbuka christmass 2006 nikiwa natokea mitaa ya kujinafasi nipo njian nikakutana na jamaa mmoja barabarani na tukasalimiana fresh tu,tukawa tunaongozana uelekeo mmoja.
Baada ya mwendo wa dakika km 3 akaanza kuniambia nimsaidie kupiga mzigo atanipa 20000! Kwa kohoro changu nikawa namhoji mzigo gani!? Akawa ananizungusha kuniambia, yeye anang'ang'ania mm nipige mzigo atanipa hiyo pesa maana nlikua napiga hesabu za kupiga hata mzinga wa konyagi,nyama kilo na bia 7 kesho yake kwa hiyo pesa maana ilikua inatosha kabisa nikakubali, ndipo akafunguka nikamfire kichakan. Nilimwelekeza sehemu maana nilikua nipo jiran na hom hivyo n mwenyeji hapo, kabla ya kufanya yetu nikaomba hiyo pesa kwanza na akanipa! Ile kuvua suruali na boxer yake na kuinama tu nilopiga teke moja la kushindilia likamfanya aangukie uso mimi nikatoka nduki kama nilivokimbizwaga na mbwa miaka miwili kabla ambapo mbwa wenyewe walihisi mm n Seleman Nyambui. nafkir yy aliona zile mbio n risasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
In
Afu baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, hivi kuna la ajabu katika suala la mwanamke kuliwa mata.ko?
Ni sunna kama ilivyo kwenda chumvini.
Tena ukikutana na mwanaume anayejua anachofanya, very fantastic.
Na kama hataingiza nyuma...nitamruhusu aingize kidole.
Hakuna la ajabu.
Wengi sana wanafanyiwa huu mchezo, ila ukikutana nae katikati ya mada, atajifanya mlokole....hanyonywi kisimmi wala kufirw.a
Mscheeeeeeeeeeeeewwwwwwwww!!!!!!!!

Nimekuquote wewe ila ujumbe umeenda kwa wengine.
Mchana mwema.
Inaonekana wewe ni mhanga katika hili why hivo
 
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Kila siku tunasoma tu kwenye mitandao mambo ya usagaji na Ushoga katika kila jamii. Nina imani kama hali hii ipo lazima yamemkuta mwenzetu humu mmu labda kwa kutokewa au kuwa na uhusiano wa hali hiyo.

Kwa yeyote aliyewahi aje atupe ilivyokuwa alipotokewa kwa mara ya kwanza na kama alikubali au alikataa alikurana na changamoto zipi. Nianze na mimi mwenyewe nimewhi kusumbuliwa na boss wangu mmoja wa kiume kule mombasa nilikuwa kuwa field attachment, by then yule jamaa alikuwa front office manager, mtu wa mtaa mmoja unaitwa kibokoni, kwa wasafiri wengi wa mji wa mombasa huu ni mtaa wa mashoga wengi, nilipata wakati mgumu mpaka nikawa namkwepa mwisho nikaacha field attachment kwa sababu tofauti.

Alikuwa hana aibu nakumbuka kabla sijamjua tulienda wote nje usiku mmoja kula nyama choma na kuongea mawili matatu, wote tulikuwa hatunywi pombe lakini huyu jamaa alikuwa ameniambia atachelewa kwenda mjini ambapo ni kwake kwa hyo tukatoka na kwenda kupata nyama choma, nilikuwa na muhisi ana mwagiwa maji nikasema acha nijionee, kwa usiku ule akishindwa kunitamkia live lakini alikuwa anajilegeza.Nakumbuka nilimuuliza ulisema unataka tuongee usiku unazidi vipi?

Alinijibu vitu tofauti mwisho nika jiongeza na kumuuliza kwa kiingereza "Abdio samahani kama nitakukera naomba nikuulize kitu.. Akanijibu bila smahani kede,uliza tu.Nikamuuliza are you gay? Hakunijibu aliitikia kwa kichwa kama mtoto wa chekechea,nikajiskia vibaya sana.

Akafunguka mengi sana akaniambia niwe na siri na kadhalika nikamjibu kuwa nitampa jibu,kipindi hicho simu za mkononi kama zilikuwepo mimi sikuwa nayo it was in 1997/98.Usumbufu ulikuwa ule wa live.Huyu jamaa alikuwa shoga.

Bwana Abdio nakukumbuka sana sijui kama uko hai. Samahani mimi sio mwandishi mzuri.
kumbe ushoga upo kutoka kitambo
 
Me nshamnyandua shoga mmoja nilitumia kinga lakni.ukimuona.huwezi.jua.kua.ni
Shoga.anavaa
Vizuri.tu
Tena
Kihiphop
Mwenyewe.nlikua
Sijui.wala kuhisi.kuwa ni.gay.one.day
Kanialika
Kwake.magetoni.vituko.alivyonifanyia.vilinconvice nimnyoose.malinda.yake
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hana tabia za kike za umbeya au kurusha mikono
 
Wakati naanza chuo mwaka wa kwanza nilikua nakaa hostel, sasa kuna jamaa flani alikua yeye mwaka wa tatu tulizoeana kama brother na alikua ameoa kabisa huko kwao pale alikua anajiendleza tu kielimu, sasa Mimi mwaka wa pili nilitaka kuondoka hostel nihamie mtaani nkamwambia yule bwana mkubwa kua anitafutie room huko mtaani maana ye alipanga, akanambia "mdogo wangu usijali Mimi naondoka nitakuunganisha na Landlord wangu pale ninapokaa uhamie wewe halafu ukitaka na vyombo nitakuuzia vyangu coz siondoki navyo" akanambia siku Fanya uje uvicheki ucheki na chumba ukiridhika tufanye biashara.

kweli weekend moja nikampigia simu nakuja akanambia poa utanikuta sehemu flani, nimeenda nkamkuta sisi hao hadi kwake, kufika nikacheki room ipo fresh na vtu vipo fresh tu nikamuuliza sh. Ngapi sasa akaanza ooh vile ni wewe mi nitakupa tu bure nikamuliza kwa nini unipe bure akaniambia naomba unifanyie kitu kimoja, kitu gani? Mara akasogea nakuanza kunishika shika ndevu, kifua, Mara kagusa mkuyenge.

Aiseeee nilimdaka kabali moja hatari nkampiga kichwa cha pua damu zikawa zimenirukia kwenye Shati langu jeupe nikaondoka kurud hostel nimefika washikaji wananiuliza Shati vipi nkawapa mkasa ndio wakaniambia yule mbona shoga!

Nilifadhaika sanaaa nilitamani nirud nikamkate tena mitama
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dah! Nimekumbuka mbali sana, namshukuru Mungu kwa kuninusuru na dhambi hii maana ilikuwa bado kidogo tu nifukue tope za mtu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
ilikuaje?
 
Kuna Demu nlikua nae,..kaka yake alikua na michezo ya kishoga..daily ananilazimisha nimkae..jamaa yupo vizuri kiuchumi but sikua na mzuka na ushenzi ule..siku moja my galfrend simu yake ilikua mbovu nkampa my iPhone 5s and ile simu ukitumia vitu vinajisevu kwenye icloud...demu kunirudishia simu nkakuta usaliti wake ,ushenzi wake wote..kulipa kisasi nkamuita kaka yake..ni gay hata family yao inajua nkamwambia nimekubali kumla choo.akafurahi sna tukapanga appointment nkakutana nae..hotel room nkamueka mikao kama Nambandua huku narecord..yupo naked nipo nimevaa Calvin Klein boxer..jamaa anataka dushe,nkazuga nkamtoroka bila Kula mzigo..then zile pics na video clips nkamtumia dada yake..haha haha haha kilichotokea..anyway jioni njema
unamchukua shoga unampeleka hotel???
 
Kwanza kabisa niwaambie kitu wabongo tuache unafiki....asilimia kubwa ya watu humu waliochangia wanadai kuwa wao ndo wametongozwa sio kutongoza hao wajinsia sawa na wao,wamedai pia wamewatolea nje hao mashoga...
Ipo hivi,nimewahi kufanya utafiti au kutaka kujua huko kwenye mapenzi ya jinsia moja hasa kuna nini? .Basi nikaanza harakati hizo kuingia katika mitandao yao(siwezi kuitaja hapa) nilichogundua ni kama ifuatavyo;-
Moja,kuna watu wengi sana vijana kwa watu wazima wamo katika hii michezo ambao ukitajiwa utabaki mdomo wazi ila kimsingi wapo wengi sana,
Mbili,sio mashoga wote wapo kama wanawake kuna watu ambao yupo kiume sana yaani mshikaji zaidi lakini ni shoga tena anapigwa sana yaani kama mwanamke,
Tatu,Kuna watu wazima wenyepesa zao unaweza kukuta hata humu wapo wanawashawishi vijana wakiume kuwa nao katika hayo mapenzi iwe kwa wao kuombwa kufanywa au kuwafanya mwisho wa siku hao vijana wanasambaza kwa wengine.
Nne,mitandao ya kijamii hasa fb na Instagram kimekuwa kichocheo kikubwa kwa watu kutongozana na urahisi kwa watu kufanya hivi vitendo.
Tano,ni watu wenye Siri kubwa sana katika hizo tabia kiasi kwamba huwezi kugundua kuwa wamo ila kiukweli kuna tatizo
Sita,kingine nilichokuja kugundua ni kwamba ni kitu ambacho kina nguvu sana kiasi kwamba ukishajiingiza kutoka sio rahisi maana kuna wengine wameingizwa na watu au walifata mkumbo au vyovyote vile ila wanataabika sana kutoka hasa vijana akifikia muda sasa wa kutaka kusettle na kuwa na familia wanashindwa na kuhisi kwamba watajulikana...
Kuna Mengi sana ambayo jamii haijui kuhusiana na hayo mambo ya LGBTQ,hivyo kujudge juu juu hatuwezi kupata solution ya maana...
USHAURI
Hasa kwa wazazi tuwe karibu sana na vijana wetu wakiume kwa ukaribu sana hii itakusaidia kumgundua mapema kama ameanza hizo tabia kwa sababu kuna viashiria vya mapema japo wengine wanafanya kwa Siri kubwa sana kama huna uelewa na hayo mambo huwezi kungundua
Ww utakuwa n mdau bila shaka
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Ulisagana wewe
 
Back
Top Bottom