Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Jiongeze...Ulisagana wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiongeze...Ulisagana wewe
Rejea kisa cha sodoma na gomora, sio vizuri pleasNapenda tu kwa Mpalange
NimekusikiaRejea kisa cha sodoma na gomora, sio vizuri pleas
ThanksNimekusikia
Daaah aiseee.......Ahh wappp
Alikuwa amelewa.
Nimefika kwake kajibwaga pembeni kakoroma
Kumekucha akanipa changu
Ww utakuwa n mdau bila shaka
Siku moja nilikuwa nafanya mazoezi nikakutana na jamaa mmoja nae alikuwa anafanya mazoezi,badae tukafika sehem kama jamaa tu wa kawaida,tukawa tunabadilishana mawazo,ila kiukweli jamaa alinishawishi vp mpaka nikajikuta sikimbii tena na kuanza kupiga Stori ndo sikuelewa,Ila badae kadri tulivyokuwa tunatembea,jamaa akawa anazidi kunisogelea na badae alikuja akaanza kunigusa sehem mkunyenge upo,badae ikabidi afunguke kuwa anataka nikamkune,nikamwambia mi siwezi na hata kama tukienda, mkunyenge hautasimama kbs utagoma katu katu,nikamuaga kistaarabu nikaendelea na jogging yangu,Ila nilihisi kabisa jamaa ame spoil siku yangu
Mkasa mwingine nilipataga demu mmoja hv wa kihindi kwenye magazet ya advertising dar,anaitwa Mehjabin,sasa kumbe ye lengo lake alikuwa anamtafutia uncle wake mtu wa kumkuna,alikuwa shoga,basi akawa ananiambia kuwa uncle wake Yuko poa na ana kila kitu Ila anataka mtu wa kumkuna kwa kipindi cha miezi miwili atakapokuwa hapa bongo, nikamwambia sifanyagi ujinga huo,hyo ndio mikasa miwili ya mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaJiongeze...
[emoji39][emoji39][emoji39]Napenda tu kwa Mpalange
Badoo kuna sehem ya kublock?[emoji848]Facebook na Badoo nishawai tongozwa na mashoga wakisifia eti nimependa weusi wako unanivutia ,nikiona ivyo namblock kbsa staki huo upuuzi....
Kha! kha!,tutajie jina lake kabisa mkuu.mimi nishawahi kutokewa na shoga humuhumu akanitumia na picha zake za utupu kabisa.
Duh!!!, Hatari sana aisee.hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
Mwisho wa siku ilikuwaje??.Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Hakuna raha kama kuwa na mwanaume,ile sautii nzito,kifua kipana weeee
Kila nikiona ID yako nakumbuka ile stori yako ya jamaa alokupasua kizazi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Napenda tu kwa Mpalange
Unatoa kweli? Au unafurahisha baraza tu!Msituletee za kuleta, kama pesa ipo napeana vizur tu kwa mparange kwan sh ngap?[emoji23][emoji23]
Badoo ndio ipoBadoo kuna sehem ya kublock?[emoji848]
We dada wewe! Kwanini unapita pita huku!?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]