Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Duu pole sna aisee ,yni anaona akikupa elf 20 ndio million....kiukweli inasikitisha sna aisee na sjui kwanini mashoga yanazidi kuwa mengi aisee
Dah alituma na picha zake ni kijana yupo fresh kabisa tena ndo hawa washkaji wa kimarekani sana inasikitisha
 
Hivi wakuu .......kuna uhusiano gani ...kati ya wapiga GYM na ushoga [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] coz nliwah tafutwa sana na hao watu baada ya kupost picha yangu fb since mm ni mtu wa mazoez
Na wajaa misuli pia ni mashoga sana sijui kwanini wale wanaopakuliwa
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
. .Uliona tofauti yoyote na kupigwa na Mtulinga??[emoji16]
 
ivi bongo kuna shemales? waliokutana nao watupe mrejesho
 
Hapo ndo nataka kujua ...kuna relation gan kati ya vitu ivo
Wale wasiofanya mazoezi Wanaopigwa wanaamini wafanya mazoezi wana pumzi, hata mademu ukiacha mvuto wa mwili wanaamini una pumzi, sasa sijaelewa wanaofanya mazoezi halafu wanapigwa ni kwanini

Unaweza kuona pande la mtu halafu linapumuliwa
 
Back
Top Bottom