Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Mimi Facebook mashoga wananisumbua sana sijui tatizo nini?mpaka wahindi (alikuwa anaishi hapahapa tz)

Yani mmoja hivi ndio juzi juzi,,nilishangaa akawa ananisalimia sana inbox,,sasa nikawa namchukulia tu kama mshikaji,,,nashangaa juzi hapa kaja na hiyo gia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaniuliza bro unajua sehemu wanapouza mafuta ya ''KY '' ,,daah nikashangaa sana yani nikasema kumbe huyu nae shoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah siku mdhania kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Daaah Alo nakumbuka mwaka jana jamaa mmoja alinambia nakuelewa ,daaah kumbe alikua choko eti oh cjui Nini hivi vitu vinaenda na hisia yaani nikamfiree ##daah kiukweli nliishiwa pozi , akantajia mpaka washakaji waliomtaka ila Bado akawa ananing'ang'ania ,siku Moja nimekaa nae karibu mara akaanza kinishika mashine bac mjomba ndiii ,bac tangia hapo nikaacha nae mazoe kabisa nikamuonya ukiendelea na kuniletea pigo hizi nasambaza habari bac tokea hapo akawa ananiogopa mbaya

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
1. Mwako 2002 nilibahatika kwenda UK kwa mwaka mmoja na nusu. Basi jioni moja nilikuwa napunga upepo kwenye bustani ya Hyde Park London, akaja mzungu mmoja akaketi jirani nami. Akanisalimia huku akijipigisha story za hapa na pale kujenga atmosphere nzuri . Alipoona mazingira yanaruhusu alibadili mada taratibu akaanza kuingiza verse za kuniomba kinyeo. Yaani jamaa alikuwa kama mwendawazimu, akanipigia magoti eti, I promise it'll be ok!! Duh, kilistuka kwa mshangao mkubwa, nikapigwa bumbuwazi. Nikuwa wima (sikumbuki hata nilisimama saa ngapi) nilisonya kwangu kisha nikajikuta nimeacha tusi kwa Kiswahili, "kumbe wewe mshenzi sana". Jamaa aliona temper yangu akainuka ghafla akisema I'm sorry huku anasema. Kweli Ulaya mashetani wamejaa tele!

2. Mwaka 2006 nilihamishiwa kikazi kwenye mojawapo wa mikoa yenye baridi kali, nikiwa bado mgeni mkubwa wangu wa kazi aliniita chumbani mwake. Nikajua nakwenda kupokea maagizo ya kazi. Alikuwa maji ya kunde ana umbo la kike, matako makubwa yamelegea akikupa mgongo utadhani mwanamke. Anapiga pafyumu mpaka kero, akiingia sehemu, basi panafurika harufu kali ya marashi, ni mtanashati hatari. Nilipoingia akanijaribisha kiti, kisha akainuka akafunga mlango. Alikuwaamefunga taulo tu, basi akatupa taulo, pumzi ikanioanda vibaya sana, moyo unaunda mpaka nasikia, nikawa tayari kwa lolote, hasira kali sana ndani yangu. Jamaa kwa upole na unyonge akajilaza kitandani kifudifudi kisha akaniambia, huwa nina matatizo ya mgongo, naomba utoe nguo uje unijalie mgongoni uwe unanisugua mgongo. Huwezi amini, hasira zote zitaisha nikabaki nimepigwa bumbuwazi, sikupiga hatua, sijui hata niseme nini. Akasema tena baada ya muda, panda kitandani basi. Duh, ndipo fahamu zikanirudia, nikamwambia naomba nikatoa na jasho kwanza nakuja sasa hivi bosi. Basi akadhani nimemwelewa akasema nisichelewe kwani hali yake mbaya.

Nilipotoka nikamwita rafiki yangu mmoja mwenyeji (class mate wangu A Level) nikamhadithia mkasa, ndipo akanitonya, huyu bosi ni shoga na kuna mkubwa mwingine alishamfanya kama mkewe. Nilichoka mwili na roho.

**Haya ni matukio ya kweli kabisa.
Matukio yako yamepooza hayashawishi hata kidogo....

Wait, mzungu alikuomba kinyeo?? [emoji15]
 
Daaah Alo nakumbuka mwaka jana jamaa mmoja alinambia nakuelewa ,daaah kumbe alikua choko eti oh cjui Nini hivi vitu vinaenda na hisia yaani nikamfiree ##daah kiukweli nliishiwa pozi , akantajia mpaka washakaji waliomtaka ila Bado akawa ananing'ang'ania ,siku Moja nimekaa nae karibu mara akaanza kinishika mashine bac mjomba ndiii ,bac tangia hapo nikaacha nae mazoe kabisa nikamuonya ukiendelea na kuniletea pigo hizi nasambaza habari bac tokea hapo akawa ananiogopa mbaya

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Yani shoga mpaka anakushika mashine umetulia tu..kuna kitu hakiko sawa mahali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nilwahii nikutaga kwa jamaa ambae ni afsa wa serikali,maendeleo ya jamii nilikuwa namchukulia smart Sana,lakini tuko ofisini kwake ananielekeza namna ya kuandika katiba ya kikundi gafla anaza kunishika umee na kusifia ni Mkubwa,Wala sikupata nae kazi nikamuacha achee tuu juu ya suruali mara mlango ukagongwa akaingia mfanyakazi mwezake wa kike,naisi alisi Kuna jambo halikuwa sawaa,akawa ajiongeresha yeye tuu Mimi nimetulia namuangaria tu,baada ya pale nikamtuma katibu wangu ndio afuatilie Mimi sikwenda Tena,ila badae nikasikia katibu kapiga,na wanagawana mshara wa serikali na katibu. Mashoga ni jau Sana hawa jamaa.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Nilwahii nikutaga kwa jamaa ambae ni afsa wa serikali,maendeleo ya jamii nilikuwa namchukulia smart Sana,lakini tuko ofisini kwake ananielekeza namna ya kuandika katiba ya kikundi gafla anaza kunishika umee na kusifia ni Mkubwa,Wala sikupata nae kazi nikamuacha achee tuu juu ya suruali mara mlango ukagongwa akaingia mfanyakazi mwezake wa kike,naisi alisi Kuna jambo halikuwa sawaa,akawa ajiongeresha yeye tuu Mimi nimetulia namuangaria tu,baada ya pale nikamtuma katibu wangu ndio afuatilie Mimi sikwenda Tena,ila badae nikasikia katibu kapiga,na wanagawana mshara wa serikali na katibu. Mashoga ni jau Sana hawa jamaa.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mzee usikute na ww kama jamaa wa nyuma hadi ulisimamisha...
 
Back
Top Bottom