Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Nilikua Arusha.., nimeingia Triple six kusakata raha..
Nimekaa ktk kona moja nawinda kwa macho nione mtoto mzuri nimsalindie.., hamadi nasikia mkono unanipapasa mbele hapa ktk zipu ya jeans yangu... Nikapata matumaini, hapa na mie kumbe nimedondokewa na zali la mentali..

Kutazama mkono unatokea wapi ..., lahaulaaa... [emoji134] , toba yailahi.., kijana shombe shombe ananitazama kwa matamanio huku akijing'ata ng'ata vidole...
Kilinitoka kibao hicho..., na raha zote ziliishia pale pale..!

Hiyo ilikua ni mara ya pili kutokewa na shoga.., hapa Dar yalishanikuta pia.

Kwa kweli kutokewa na shoga inafedhehesha sana..!
clinton wa kinondoni, kidoti wa kinondoni balaa sana
 
Hii mbona kawaida siku hizi, mimi imewahi kunitokea mara mbili . Mhindi mmoja ameniomba nimfanye kinyume na maumbile nikamwambia NO. Ila juzi kanitumie -Happy Valentine's Day Cowman-
mhindi ana mpunga?
 
Hao wanahitaji maombi makali.. mi naona wengine ni mapepo kabisa basi tu yani..tunaishi nao.. ila wabadilike... cha ajabu wanaoneana hadi wivu wenyewe kwa wenyewe..
 
Mwenyewe na shangaa? Manake si wengine hapo ingechomoka ngumi.

Ngumu sana mashine kudinda kama hujatamani,mashine inasimama baada ya kutafsiri mvuto fulani kutoka kwa anaye kuvutia na ndipo unadindisha.

Ila siku hizi vijana wanatamaa sana ya hela na kuna mwanangu dereva bajaj aliniambia pale mtaani wapo watatu majamaa wana hela zao wanakamuliwa na madereva bajaj, tena wanagombaniwa.

Ila nilichoka kuna muuza kuku mmoja ana mchina wake kamgeuza kama mke wake na yule mchina anampa hela sana jamaa.Siku nyingine ana msubiriga mpaka akimaliza kuuza kuku hao wana ondoka.

Yaani wee acha,ila naamini punga hawezi kukutongoza kabla hujampa greenlight au sometimes anajua upo kwenye circle yao.Mimi kuna punga namjua miaka kibao kanipita miaka 6,watu waliomgonga ni wale walio shobokea ofa zake za bia na kuna jamaa mmoja Fundi mwashi baada ya kuona kitonga ,kaamua akae nae nyumba moja kama mume na mke na naijua couple nyingine imepanga nyumba ya mwanangu mmoja hivi wapo kama mke na mume.
Swali kwa wote mnaofahamu:

Hao machoko huwa wanadindisha pindi wakiwa wanapelekewa moto? pia huwa yanafikaje kileleni? yanaejaculate?
 
Nilikuwa second year,hostel mabibo naenda zangu kupanda shuttle nakakutana na mdada mzuri anaongea ki Arusha,akanishika mamboo?mie Tena poa!Akasema nimependa nywele zako umesukwa vizuri naomba nipeleke kwa aliyekusuka,nikamwambia sawa,tukabadilishana number tukawa tumekubaliana jmosi nimpeleke.Kweli nikampeleka ilikuwa temeke mi nikaondoka zangu,alivyorudi hostel akanipigia akisisitiza niende nimuone na yeye alivyopendeza,nikaenda room kwake block F,Basi ndio ukawa mwanzo wa kuzoena,yeye alikuwa anafanya masters kwa hiyo nikawa namchukulia Kama dada,kwa siku napigiwa simu hata Mara nne yaani alivutaa Hadi nikamzoea,ananunua vyakula utasikia we katoto kazuri njoo tule....na mie nikaona nimepata kitonga wacha nitelemke nacho were kilichofuata Sasa...
Siku hiyo jmosi akaniambia njoo room tuangalie movie,nikaenda nikamkuta kaweka series moja Ina Mambo ya kusaganasana yupo anakunywa wine,Basi nilivyofika ananishauri kunywa wine kidogo,roho ikasita tu nikamwambia baadae naenda fellowship siwezi kwenda na pombe,mi nikajilaza kitandani huku naangalia movie nimepunguza nguo so unajua Mambo ya kiwanafunzi,Basi yeye Mara asimame acheze muziki mi najua kalewa,Mara acheke kimalayamalaya kafanya vituko pale na yeye kaja kitandani anajifanya anasinzia kaanza kunipapasa,mie Tena TOBA!we vipi ?ananiambia usiogope Bwana Ni vitu vya kawaida nataka nikupe Raha,nikaishiwa nguvu nikamwambia hapana siwezi fanya hivyo kwanza boyfriend wangu atagundua hapo nilikuwa decent girl[emoji16]...kanisumbua nikakataa nikamwambia ngoja niende fellowship nikirudi nitakuja nikaondoka,Yangu siku Ile nilimuona Kama kibaka mkubwa,nikakataa mguu room kwake akaanza nitumia meseji kabisa eti ananipenda Sana[emoji849][emoji849][emoji849]......Yupo humo mitandaoni Ni motivation speaker kwa Sasa,ana you tube channel,naishiaga kumwangalia na kusema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ndosi?
 
Nakumbuka kuna siku nimeenda barbershop kurepair dread,pale salun nlikuta kunafoleni kubwa.sasa yule kinyoz akanishauri niende saluni ya kike(ipo mkabala na ile barbrshp),nlipofika nkakuta muhudumu mwanaume nikamueleza shida yangu akaanza kunihudumia...
Akaanza kusifia haruf ya perfume mara dread zako nene mara umekua adim,mwisho wa siku aliniomba namba nikampa bila kujua dhamira yake....
Alinipigia jion akiomba appointment tukutane bar...
NB:Toka muda nilikua naskia kuwa mwana ni shoga..
Tulikutana bar me nkaagza konyag kubwa na yy akachukua savanna kubwa,baada ya mtungi kupanea akanambia"MAWIDA NYIE WAVUTA BANGI NASKIA MNATABIA YA KUWAINGILIA KINYUME MA DADA POA".Nikamwambia kama tako laini nanyonya kabisa,akasema "ukininyonya mimi nakupa 100k" yan akafanya kama tuweke challenge...tulienda lodge
1.stress za kuliwa BETPAWA
2.100k
3.MAUNO ANAVOKATIKA
4.KONYAG KICHWANI
Wakuu me nilifumua tena niliuza mechi...
NB:MPAKA LEO TUNAMAHUSIANO NA HUWA NAMUUZIA BAO 1=75K
 
Nakumbuka kuna siku nimeenda barbershop kurepair dread,pale salun nlikuta kunafoleni kubwa.sasa yule kinyoz akanishauri niende saluni ya kike(ipo mkabala na ile barbrshp),nlipofika nkakuta muhudumu mwanaume nikamueleza shida yangu akaanza kunihudumia...
Akaanza kusifia haruf ya perfume mara dread zako nene mara umekua adim,mwisho wa siku aliniomba namba nikampa bila kujua dhamira yake....
Alinipigia jion akiomba appointment tukutane bar...
NB:Toka muda nilikua naskia kuwa mwana ni shoga..
Tulikutana bar me nkaagza konyag kubwa na yy akachukua savanna kubwa,baada ya mtungi kupanea akanambia"MAWIDA NYIE WAVUTA BANGI NASKIA MNATABIA YA KUWAINGILIA KINYUME MA DADA POA".Nikamwambia kama tako laini nanyonya kabisa,akasema "ukininyonya mimi nakupa 100k" yan akafanya kama tuweke challenge...tulienda lodge
1.stress za kuliwa BETPAWA
2.100k
3.MAUNO ANAVOKATIKA
4.KONYAG KICHWANI
Wakuu me nilifumua tena niliuza mechi...
NB:MPAKA LEO TUNAMAHUSIANO NA HUWA NAMUUZIA BAO 1=75K
Khaaa aiseee hii balaaa
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom