Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sijamshindisha, kaamua mwenyewe kutokula. Mimi ni nani jamani niingilie maamuzi binafsi ya mtu🤷♀️🤷♀️Wewe sina shaka, hushindwi kumshindisha mtoto wa watu njaa na kumlaza njaa, nasema hushindwi😅😅