Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana. Be blessed.Nimekupenda bure....
Kiongozi.SIO UNDERWEAR NI SHUMIZI
UnderskirtKipindi nilipokuwa nasoma shule ya msingi kuona msichana akiwa amevaa underwear ilikuwa jambo la kawaida kwani zilikuwa zimezoeleka kuvaliwa.
Hata wanawake wengine mtaa walikuwa wanavaa underwear kama kawaida, kwa sisi wanaume ilikuwa ukiona underwear ya mwanamke accidentally hasa aina ya rangi ilikuwa tunapata msisimko fulani kama tunavyopata siku hizi tukiona chupi.
View attachment 708518
View attachment 708519
View attachment 708520
Ivi hizi underwear bado zipo siku hizi?
Ya rangi gani inayokuvutia zaidi na unayopenda kuivaa?
gaguloKiongozi.
Na ile ya kulalia kama Chandarua wanaiitaje?
Msaada tafadhali
Una maadili yako.Mie bado navaa aisee , hasa pale ninapovaa gauni au sketi zile ndefu sababu naona kile kitambaa cha ndani ni kifupi hivyo najiona kama ntatembea uch*.
John bravoSisi tulikuwa tunaziita Gagulo, duuu cdhan kama wanawake wa cku hizi kama wanazivaa hizo
Nini tofauti ya shumizi na gagulo?Kiongozi.
Na ile ya kulalia kama Chandarua wanaiitaje?
Msaada tafadhali